Simba ni mchaka mchaka, hakuna kulala!

KIKOSI cha Simba kinarudi tena katika kambi ya mazoezi kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni saa chache tangu irejee kutoka kambini jijini Cairo, Misri ilikokuwa kwa muda wa mwezi mmoja ikijifua na kucheza mechi nne za kirafiki za kimataifa za kujipima nguvu. Simba ilianza kambi ya muda mfupi jijini Dar es Salaam kisha Julai 30 ikasafiri…

Read More

Ile ishu ya uwanja Yanga, kazi inaanza upya

KAMA ulidhani Yanga inapiga porojo katika ujenzi wa Uwanja pale Jangwani, tulia kwanza, kwani kuna mambo mazito yameshaanza na habari mpya ni rasmi mchakato wa kuongezewa eneo unakamilika leo Septemba Mosi. Kuanzia kesho Jumanne (Septemba 2), Yanga itakuwa inamiliki eneo la mita za mraba 37,500 pale Jangwani ikiwa ni baada ya kukamilisha eneo ambalo waliliomba…

Read More

Simba yajivunia jezi mpya, Mangungu akiweka angalizo

WAKATI Simba ikitamba kuwa jezi zao mpya zinazozinduliwa leo Agosti 31, 2025 zitakuwa za ubora wa hali ya juu, mwenyekiti wa klabu hiyo, Murtaza Mangungu amewataka mashabiki na wanachama kuilinda chapa yao. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo unaofanyika leo katika Ukumbi wa The Super Dome Masaki jijini Dar, Mangungu amesema kuwa jezi zao ni…

Read More

Mbwana Samatta mdogo mdogo Ligue 1

NAHODHA wa timu ya taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta ameendelea kuizoea Ligi Kuu ya Ufaransa, baada ya usiku timu anayoichezea ya Le Havre kupata ushindi wa kwanza wa mabao 3-1 dhidi ya Nice. Katika mechi hiyo ya Ligue 1, nyota huyo wa kimataifa wa Tanzania alitumika kwa dakika 85, wakati timu ikiwa tayari inaongoza kwa…

Read More

Akandwanaho, Chobwedo wailiza Fountain Gate

MABAO mawili yaliyofungwa na Joseph Akadwanaho na Ramadhan Chobwedo, yametosha kuipa furaha Tabora United na kupeleka kilio Fountain Gate. Hiyo ilikuwa katika mchezo wa kwanza wa Kundi A kwenye michuano ya Tanzanite Pre-Season International iliyoanza leo Agosti 31, 2025. Michuano hiyo inayofanyika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manywara, Akandwanaho alianza kuifungia Tabora United…

Read More

Tanzania ya pili Kombe la Dunia la vijana wa mazingira magumu

Timu ya Tanzania ya Wanawake kutoka kituo cha Future Stars Academy cha jijini Arusha, imeshika nafasi ya pili katika michuano ya vijana wanaotoka kwenye mazingira magumu (Homeless World Cup) yaliyofanyika kati ya Agosti 22-30 jijini Oslo, Norway, yakishirikisha timu 60 kutoka mataifa 48. Future Stars Academy imetwaa nafasi hiyo baada ya kushinda mchezo wa fainali…

Read More

Simba, Yanga zabanwa, kisha zalainishiwa Bara

VIGOGO vya soka nchini, Simba, Yanga na Azam FC wamelainishwa mambo katika ishu za usajili, lakini wakabanwa kwa upande mwingine katika Ligi Kuu Bara na michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) kwa msimu mpya wa 2025-26. Msimu huo unatarajiwa kuzinduliwa na mechi ya Ngao ya Jamii itakayopigwa Septemba 16 Kwa Mkapa ikizikutanisha Simba na Yanga…

Read More

Haroun Mandanda kutua Polisi Tanzania

TIMU ya maafande wa Polisi Tanzania iko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa kipa wa kikosi cha Tabora United, Haroun Mandanda baada ya kumaliza mkataba, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine. Nyota huyo aliyetamba na timu mbalimbali za Mbeya City, Ihefu (Singida Black Stars) kisha baadaye pia kujiunga na Tabora United,…

Read More