Azam v Singida vita ya mbinu Ligi Kuu Bara
KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi leo ana mtihani mgumu mbele ya Florent Ibenge anayeinoa Azam, wakati timu hizo zitakapocheza mechi ya Ligi Kuu Bara. Mechi hiyo itakayochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar kuanzia saa 3:00 usiku, inazikutanisha timu zilizotoka kucheza mechi za Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi. Azam ambayo imepoteza…