Azam v Singida vita ya mbinu Ligi Kuu Bara

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi leo ana mtihani mgumu mbele ya Florent Ibenge anayeinoa Azam, wakati timu hizo zitakapocheza mechi ya Ligi Kuu Bara. Mechi hiyo itakayochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar kuanzia saa 3:00 usiku, inazikutanisha timu zilizotoka kucheza mechi za Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi. Azam ambayo imepoteza…

Read More

Kiwango cha Diarra chamshtua kiungo Simba

YANGA inafurahia sare ya ugenini iliyoipata kule Algeria Ijumaa iliyopita katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi B, lakini matokeo hayo yameitibua hali ya hewa JS Kabylie, huku kiungo wa zamani wa Simba, Babacar Sarr akifichua tatizo lilianzia kwa Djigui Diarra. Kiungo huyo aliyejiunga na Simba dirisha dogo la usajili msimu wa 2023-2024 na…

Read More

Mastaa mtegoni, Gamondi akiita 53 Taifa Stars

Kocha Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, ametangaza kikosi cha awali cha wachezaji 53 kwa ajili ya kuanza maandalizi ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, uteuzi ambao hapana shaka utawaweka katika presha kubwa nyota wa baadhi ya nafasi. Wachezaji hao 53, watapaswa kupunguzwa hadi kubakia 28 ambao wanahitajika…

Read More

Kilichomuondoa Pantev Simba hiki hapa

Uamuzi wa Simba kuachana ghafla na Meneja wake Dimitar Pantev ambaye alikuwa mkuu wa benchi la ufundi, leo Jumanne, Desemba 2, 2025 unatajwa kuchangiwa na sababu tatu. Kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari, Simba imeanika kuwa imefikia makubaliano ya kuvunja mkataba wa Pantev na timu hiyo itakuwa chini ya usimamizi wa Selemani Matola kwa…

Read More

Siku 61 za Pantev zilivyohitimishwa Simba

KLABU ya Simba, leo Desemba 2, 2025 imetangaza kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba na Meneja Mkuu, Dimitar Pantev pamoja na wasaidizi wake wawili. Uamuzi huo wa Simba umekuja baada ya Pantev kudumu klabuni hapo kwa takribani siku 61 sawa na miezi miwili pekee, kutokana na kutambulishwa Ijumaa ya Oktoba 3, 2025, kisha mkataba wake kusitishwa…

Read More

Huyu hapa kumrithi Pantev Simba

Baada ya uongozi wa klabu ya Simba kufikia makubaliano ya kumfuta Meneja Dimitar Pantev, klabu hiyo inayoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika, imeanza harakati za kusaka mrithi wa kubeba mikoba yake. Simba impoteza mechi mbili za mwanzo ilizocheza kwenye kundi D la Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo, ilianza kufungwa nyumbani kwa bao 1-0 na Petro Luanda…

Read More