Yanga yatuma salamu Msimbazi ikiichapa JKT Tanzania 5-0
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wameendelea kuthibitisha ubora wao katika ligi hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa nane mfululizo kufuatia kuwachapa Maafande wa JKT Tanzania mabao 5-0, mechi iliyopigwa leo Jumatano Februari 25, 2026 kwenye Uwanja wa KMC, Dar. Ushindi huo mnono unaifanya Yanga kama kutuma salamu kuelekea kwenye Dabi ya Kariakoo…