Bosi TFF atia neno ishu ya Mnguto

TAARIFA iliyoshtua juzi haikuwa kupangwa upya kwa tarehe ya kiporo cha Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba, bali ile iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) yenye mistari minne tu, lakini ikatingisha huku bosi wa zamani wa kamati ya sheria TFF akisema suala hilo limechelewa kuchukuliwa uamuzi. Taarifa hiyo ilikuwa kujiuzulu kwa Mwenyekiti…

Read More

Coastal, Azam zamtega kocha Fountain

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate, Mohamed Laizer amedai mechi mbili za Ligi Kuu Bara zilizosalia ni ngumu kutokana na mahitaji ya wapinzani wao, akizitaja dakika 180 kuwa ndizo zinazomnyima usingizi kwa sasa. Fountain Gate ambayo masikani yake ni Babati mkoani Manyara ilianza msimu huu ikiwa moto kabla ya pumzi kukata na kujikuta ikipambania kubaki kwenye…

Read More

Tanzania yaifumua Sudan Kusini Cecafa

BAADA ya Burundi kuichapa Uganda kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa kwanza wa mashindano ya Cecafa ya Wanawake, Tanzania ikawachapa Sudan Kusini mabao 4-0. Tanzania na Burundi zimeanza kwa ushindi katika siku ya kwanza ya mashindano ya Cecafa 2025 yanayofanyika katika Uwanja wa Azam Complex Dar es Salaam. …

Read More

Watoto wachuana kuongelea ubingwa Taifa

WAOGELEAJI 295 wamejitokeza kushiriki mashindano ya kuogelea ya ubingwa wa Taifa kwa vijana wadogo chini ya miaka 12 kutoka Bara na Zanzibar. Mashindano hayo yameanza leo yanatarajia kutamatika kesho, Jumapili lengo likiwa ni kukuza na kuendeleza vipaji vya waogeleaji. Akizungumzia mashindano hayo, Mwenyekiti wa Chama Cha Kuogelea Tanzania (TSA), David Mwasyoge amesema ushiriki huo unaonyesha…

Read More

Bocco kuagwa kwa heshima JKT

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, John Bocco imeelezwa huenda ukatumika mchezo dhidi ya Mashujaa utakaopigwa Juni 22, Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma kuagana na mashabiki wa timu hiyo.  Bocco alijiunga na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Simba alikokuwa anafundisha timu ya vijana, licha ya kufunga mabao mawili akiwa na JKT Tanzania, ilielezwa sababu…

Read More

Taoussi siku zinahesabika Azam | Mwanaspoti

AZAM FC inaendelea kujifua kwa ajili ya mechi mbili za kumalizia msimu ikiwamo dhidi ya Tabora United na ile ya Fountain Gate, lakini mabosi wa klabu hiyo wameanza mapema mipango kikosi hicho kuanzia kwa wachezaji hadi benchi la ufundi na siku za kocha Rachid Taoussi kwa sasa zinahesabika. Taarifa ambazo Mwanaspoti imepenyezewa kutoka kwa mabingwa…

Read More

Singida Black Stars ina saa 48 tu

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema amebakiza siku mbili ikiwa sawa na saa 48 za maandalizi ya mwisho kabla ya kuifuata Dodoma katika pambano la Ligi Kuu Bara, huku akifurahia kufikia malengo ya kuipeleka timu hiyo katika michuano ya kimataifa. Singida imesaliwa na mechi mbili za kufungia msimu ikiwamo ile ya Tanzania…

Read More

JKT, UDSM Outsiders mambo magumu Dar

TIMU za kikapu ya KIUT na DB Oratory zimezitikisa timu kongwe zinazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) baada ya kuzifumua katika mechi zilizokutana wiki hii. Ubabe wa timu kongwe za JKT na UDSM Outsiders pamoja na Srelio na Savio ulijikuta ukielea kufuatia vipigo visivyotarajiwa kutoka kwa timu hizo ambazo zinachukuliwa kuwa…

Read More

Lori lililoanguka lazua foleni Mikumi usiku kucha

Mikumi. Abiria wa mabasi na watumiaji wengine wa vyombo vya moto wamekwama katikati ya Mbuga ya Mikumi, Barabara ya Morogoro – Iringa kwa zaidi ya saa saba kutokana na lori kuanguka barabarani. Foleni ilianza saa saba usiku wa kuamkia leo Juni 14, 2025 hadi alfajiri, kukiwa na magari zaidi ya 100 yaliyokwama, abiria na madereva…

Read More

Ayoub Lakred, Simba kuna kitu

MSIMBAZI kuna kitu kinaendelea chini kwa chini wakati macho ya mashabiki wa Simba yakielekezwa kwenye sakata la dabi, nyuma ya pazia jina la kipa Ayoub Lakred limeanza kuzungumziwa kwenye korido za uongozi wa klabu hiyo katika hesabu za kuboresha kikosi msimu ujao. Lakred siyo mchezaji mpya, bali ni yuleyule raia wa Morocco aliyewahi kuwa nguzo…

Read More