Mnguto ajiuzulu, Karia amsimamisha Kasongo TPLB

Saa chache baada ya Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), kupanga tarehe ya mchezo wa Yanga dhidi ya Simba, Mwenyekiti wake  Steven Mnguto amejiuzulu. Taarifa iliyotoka usiku huu kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imesema Mnguto ameandika barua ya kuachia nafasi hiyo. Hatua hiyo imekuja wakati ambao Mnguto amebakiza miezi michache kuachia nafasi hiyo baada ya…

Read More

Burundi yaanza na ushindi CECAFA, yaichapa Uganda

TIMU ya taifa ya Burundi imeanza vyema kampeni za kutafuta ubingwa wa mashindano ya CECAFA Senior Women Championship 2025 kwa kuichapa Uganda bao 1-0. Mashindano hayo yanayopigwa Uwanja wa Azam Complex Chamanzi yameanza leo Juni 13 na kutarajiwa kufikia kikomo Juni 25. Bao la Esperancia Habonemana dakika ya 75 lilifanya mchezo huo kwenda dakika 90…

Read More

Mzigo wa Kariakoo Dabi umerudi

MZIGO umerudi. Ndivyo unavyoweza kusema kwa ishu ya Dabi baada ya sasa kutangazwa itapigwa Juni 25 na si keshokutwa Jumapili kama ilivyokuwa awali. Vigogo wa Simba na Yanga waliitwa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma kuzungumza na Rais, Samia Suluhu Hassan na muda mchache Bodi ya Ligi ilitoa taarifa kwamba mechi hiyo itapigwa Juni 25, tofauti…

Read More

Kikosi cha Feisal, Yanga 5 Simba 2

LIGI Kuu Bara imesaliwa na jumla ya mechi 17 kabla ya msimu kufikia tamati, lakini kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amevunja ukimya kwa kutangaza kikosi chake cha msimu akiwajumuisha nyota watano wa Yanga na wawili wa Simba. Fei ambaye aliwahi kuichezea Yanga misimu miwili iliyopita amekuwa miongoni mwa mastaa wazawa wenye…

Read More

Tanzania Prisons washtuka, wajipanga upya

WAKATI Tanzania Prisons ikijiandaa kuikabili Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, nahodha wa timu hiyo, Jumanne Elfadhil ametahadharisha wenzake kikosini kuwa tayari na historia yao na wapinzani hao ni ngumu wanapokutana uwanjani. Prisons inatarajia kuwa uwanjani Juni 18 kuikaribisha vinara wa Ligi Kuu na rekodi inaonyesha timu hizo zilipokutana katika mechi tano nyuma, Yanga…

Read More

Kikosi cha Feisal, Yanga 4 Simba 2

LIGI Kuu Bara imesaliwa na jumla ya mechi 17 kabla ya msimu kufikia tamati, lakini kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amevunja ukimya kwa kutangaza kikosi chake cha msimu akiwajumuisha nyota wanne wa Yanga na wawili wa Simba. Fei ambaye aliwahi kuichezea Yanga misimu miwili iliyopita amekuwa miongoni mwa mastaa wazawa wenye…

Read More

Fountain Gate hesabu zipo kwa Wagosi

NI kufa au kupona. Ndivyo unavyoweza kusema wakati Fountain Gate itakapokuwa ugenini kukabiliana na Coastal Union, Juni 18 katika mechi ya Ligi Kuu Bara ikiwa inahitaji ushindi wa ina yoyote ili kuepuka janga la kucheza play-off ya kushuka daraja. Fountain ipo nafasi ya 14 juu ya timu mbili zilizoshuka daraja mapema KenGold na Kagera Sugar…

Read More

Kisa Karia, Manara ahojiwa Polisi, aachiwa

OFISA Habari wa zamani wa Simba na Yanga, Haji Manara ameshtakiwa polisi na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia. Leo Ijumaa, Manara aliitwa na Jeshi la Polisi Tanzania kisha kuhojiwa kwa tuhuma za kumdhalilisha Karia mtandaoni. Manara ambaye ni mwanachama wa Yanga, inaelezwa ametoa maelezo kwa maandishi katika Kituo cha Polisi cha…

Read More

Wakongwe watikisika BDL | Mwanaspoti

KIUT na DB Oratory zimeendelea kuzitikisa timu kongwe zinazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) kutokana na kutokuzihofia na kuzitembezea vichapo. KIUT ilionyesha ubabe wake kwa kuichapa JKT kwa pointi 84-74, kisha kuifunga UDSM Outsiders kwa pointi 64-53 na kocha wa timu hiyo, Denisi Funganoti alisema mipango waliyojiwekea ya kufanya vizuri katika…

Read More

Noela, Juliana wachuana kwa asisti

WAKATI ushindani kwa timu za wanawake ukizidi kushika kasi katika Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (WBDL), kwa upande wa asisti, Noela Uwendameno kutoka  Jeshi Stars anaongoza kwa kutoa 34. Noela ambaye msimu uliopita aliichezea Vijana Queens, msimu huu ameonyesha kiwango kizuri akiwa na Jeshi Stars, huku Juliana Sambwe wa Tausi Royals anayecheza nafasi ya…

Read More