Fountain Gate, Tabora zimepishana kidogo tu

KIJIWENI kwetu hapa tulikuwa tunautazama msimamo wa Ligi Kuu Bara wakati huu ambao zimebaki raundi mbili msimu wa 2024/2025 umalizike. Tukawaona jamaa zetu wa kule Babati, Manyara, Fountain Gate wapo katika nafasi ya 14 kwenye msimamo ikiwa imekusanya pointi 29 katika mechi 28 ilizocheza hadi sasa ikipata ushindi mara nane na kutoka sare tano na…

Read More

Mtaalamu wa Video Tabora United asepa

UONGOZI wa Tabora United umeachana rasmi na aliyekuwa mtaalamu wa utathimini wa viwango vya wachezaji na mchambuzi wa video ‘Video Analyst’, Brian David Aswani raia wa Kenya kwa kile kilichoelezwa kuamua kuondoka mwenyewe kikosini humo. Licha ya uongozi wa Tabora kutotaka kuweka wazi juu ya suala hilo, ila Mwanaspoti linatambua mtaalamu huyo ameondoka kwa kile…

Read More

KenGold yaikaushia mechi ya Simba

LICHA ya kubaki siku kama tano tu kabla ya kuvaana na Simba katika mechi ya kukamilishia ratiba baada ya kushuka mapema daraja, benchi la ufundi la Ken Gold limesema lipo njiapanda kutokana na timu hiyo kutokuwa kambini hadi sasa tofauti na walivyotaka ianze Juni 10. Timu hiyo iliyoshuka daraja sawa na Kagera Sugar baada ya…

Read More

ZFF yaanza uchunguzi vurugu Uhamiaji vs KVZ

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), kupitia Kamati yake ya Mashindano, limetangaza kufuatilia kwa kina tukio linalodaiwa Kikosi maalum cha Ulinzi cha Valantia Zanzibar kuvamia uwanja pamoja na kusababisha vurugu katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA CUP), kati ya Uhamiaji FC dhidi ya KVZ FC, huku ikilaani vikali tukio hilo…

Read More

SIMBA YADAI KUTOSHIRIKI MCHEZO MWINGINE NA YANGA

:::: Klabu ya Simba imesema itaingia uwanjani Juni 15, 2025 kwa ajili ya kushiriki mchezo namba 184 dhidi ya Yanga SC kama ilivyopangwa na Bodi ya Ligi Kuu. Aidha, imesema mabadiliko yoyote ya kujaribu kuahirisha mchezo huo ni batili na kinyume na taratibu za uendeshaji wa mpira wa miguu, na kwamba haitashiriki mchezo wowote wa…

Read More

Straika Coastal yamemtibukia Bara | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Maabad Maulid huenda akakosa mechi zote mbili zilizosalia za kumaliza Ligi Kuu Bara msimu huu, kutokana na kutokuwa fiti kwa asilimia 100 kwa sasa, baada ya nyota huyo kujiumiza tena goti lake la mguu wa kulia. Nyota huyo alipata majeraha hayo dhidi ya Singida Black Stars, ambao kikosi hicho cha Coastal…

Read More

KMC yasaka dawa mechi za ugenini

KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema kwa sasa yeye na kikosi hicho, wamejichimbia kutafuta dawa ya kusaka ushindi ugenini katika mechi mbili za kuamua hatma yao ya kucheza msimu ujao kwa kujenga umoja na ushirikiano baina na benchi na wachezaji. KMC ambayo ipo nafasi ya tisa kwenye msimamo ikiwa na pointi 33 inatarajia kumaliza…

Read More

Srelio yainyoosha Mgulani JKT | Mwanaspoti

BAADA ya Srelio kuifunga Mgulani JKT kwa pointi 107-64, kocha wa timu hiyo Miyasi Nyamoko amesema ushindi huo umewanyooshea njia ya kucheza hatua ya nane bora. Tambo za kocha huyo zimekuja baada ya kuwepo na muunganiko mzuri wa wachezaji wake kwa sasa, tofauti ilivyokuwa katika michezo yao ya mwanzo. “Timu ilikuwa inabezwa na kila mtu…

Read More

Salim, Abel ndio wanamponza Camara

MOUSSA Camara ni kipa mzuri lakini amekuwa na makosa fulani hivi yanayoigharimu Simba, huo ndio ukweli mchungu hata kama unauma. Mfano tu ni ile mechi ya duru la kwanza wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga ambayo alisababisha bao jepesi la kujifunga la beki Kelvin Kijili katika dakika za jiooooni za mchezo huo lililowapa wapinzani…

Read More