Gaucho anukia umeneja Simba Queens

MABINGWA wa zamani wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens imepanga kumpa heshima mshambuliaji mkongwe wa timu hiyo, Mwanahamisi Omary ‘Gaucho’ kwa kumtunuku cheo cha umeneja wa timu. Gaucho aliyehudumu kikosini hapo kwa takribani misimu nane kwa sasa tangu alipojiunga akitokea Mlandizi Queens iliyoweka heshima ya kuwa timu ya kwanza kubeba ubingwa wa WPL….

Read More

Opah Clement ndo basi tena FC Juzrez

KLABU ya FC Juarez ya Mexico imeachana na mshambuliaji wa Kitanzania, Opah Clement baada ya kuhudumu kikosini hapo kwa msimu mmoja. Opah alijiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini humo  akitokea Henan Jianye ya China alikocheza msimu mmoja. Kupitia taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa Instagram wa klabu hiyo imetangaza kuachana na nyota huyo…

Read More

Boban, Redondo wana jambo lao Arusha

NYOTA mbalimbali waliowahi kucheza kwa mafanikio makubwa katika michuano ya Kombe la Klabu za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) wakiwamo Haruna Moshi ‘Boban’, Abdallah Kibadeni, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ na wengine wana jambo lao jijini Arusha kuanzia kesho Ijumaa. Nyota hao na wale wa klabu za nchi za Kenya, Uganda na Rwanda wanatarajiwa kuchuana katika michuano…

Read More

Maisha yameenda kasi sana kwa Yao

YAO Kouassi Attohoula alipokuja kujiunga na kuanza kuitumikia Yanga, mambo yalimwendea vizuri sana hadi akateka hisia za mashabiki wa timu hiyo na wadau wengi wa soka. Uwezo wake mzuri wa kujilinda lakini kusaidia kupeleka mbele mashambulizi ulifanya karibia wote hapa kijiweni tukubaliane jamaa ni beki wa pembeni wa kisasa kutokana na anavyofanya vizuri katika maboksi…

Read More

Sarakasi za dabi zinavyotoboa mifuko ya watu

Katika historia ya michezo nchini Tanzania, hakuna tukio linalovuta hisia za watu kama pambano la watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba. Hii ni zaidi ya mechi; ni tamasha la kijamii, kiuchumi, na kiutamaduni. Hivyo basi, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC wenye namba 184 ambao umekuwa ukisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki na wadau…

Read More

Ofisa Habari KenGold anusurika kwenda jela

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu, Ofisa Habari na Mawasiliano wa Timu ya Mpira wa Miguu ya KenGold Sport Club, Joseph Mkoko(34), kulipa faini ya Sh1 milioni au kwenda jela miaka miwili baada ya kupatikana na hatia ya kuomba na kupokea rushwa. Mkoko anadaiwa kuomba rushwa ya Sh1.5 milioni kutoka kwa mchezaji wa zamani wa  timu…

Read More

Kyaruzi aitega Mtibwa Sugar | Mwanaspoti

BEKI mkongwe wa zamani wa Kagera Sugar, Erick Kyaruzi ‘Mopa’ amesema ametimiza malengo aliyopewa na Mtibwa Sugar kuhakikisha anaisaidia kurejea Ligi Kuu Bara, huku akijivunia kutoa mchango mkubwa kwa kufunga mabao sita kwenye Ligi ya Championship msimu huu. Kyaruzi akiwa sehemu ya kikosi cha Mtibwa Sugar msimu huu katika Ligi ya Championship ameiwezesha kuwa bingwa…

Read More

Prisons Hesabu kali mechi ya Yanga

TIZI linaloendelea huko Tanzania Prisons kwa ajili ya mechi ijayo dhidi ya Yanga limempagawisha kocha mkuu wa timu hiyo, Aman Josiah akitamba kuwa kazi ni moja tu kubaki salama Ligi Kuu. Maafande hao wapo katika nafasi ya 13 katika msmamo kwa pointi 30, ambapo Juni 18 wanatarajia kuikaribisha Yanga katika pambano hilo litakalopigwa kwenye Uwanja…

Read More

Uamuzi wa kushtua Simba, Camara atajwa

FAGIO kubwa na la kushitua linaweza likapita kwa Wana fainali wa Kombe la Shirikisho Afrika, Simba kama kamati yenye dhamana ya kusajili itaendelea kushikilia msimamo inaouamini kwaajili ya kuisuka timu mpya ya makombe. Kutokana na mwenendo wa timu hiyo kwenye mashindano mbalimbali msimu huu pamoja na majadiliano na benchi la ufundi huenda wakafanya baadhi ya…

Read More

Klabu zaigeuka Yanga | Mwanaspoti

SAKATA linaloendelea baina ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Yanga kuhusiana na deni la fedha za zawadi za ubingwa wa Kombe la Shirikisho (FA), limechukua sura mpya. Yanga iliyotangaza kugomea pambano la Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba lililopangwa Juni 15, iliibua jambo jipya ikitishia kutocheza fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Singida…

Read More