Ofisa Habari KenGold anusurika kwenda jela

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu, Ofisa Habari na Mawasiliano wa Timu ya Mpira wa Miguu ya KenGold Sport Club, Joseph Mkoko(34), kulipa faini ya Sh1 milioni au kwenda jela miaka miwili baada ya kupatikana na hatia ya kuomba na kupokea rushwa. Mkoko anadaiwa kuomba rushwa ya Sh1.5 milioni kutoka kwa mchezaji wa zamani wa  timu…

Read More

Kyaruzi aitega Mtibwa Sugar | Mwanaspoti

BEKI mkongwe wa zamani wa Kagera Sugar, Erick Kyaruzi ‘Mopa’ amesema ametimiza malengo aliyopewa na Mtibwa Sugar kuhakikisha anaisaidia kurejea Ligi Kuu Bara, huku akijivunia kutoa mchango mkubwa kwa kufunga mabao sita kwenye Ligi ya Championship msimu huu. Kyaruzi akiwa sehemu ya kikosi cha Mtibwa Sugar msimu huu katika Ligi ya Championship ameiwezesha kuwa bingwa…

Read More

Prisons Hesabu kali mechi ya Yanga

TIZI linaloendelea huko Tanzania Prisons kwa ajili ya mechi ijayo dhidi ya Yanga limempagawisha kocha mkuu wa timu hiyo, Aman Josiah akitamba kuwa kazi ni moja tu kubaki salama Ligi Kuu. Maafande hao wapo katika nafasi ya 13 katika msmamo kwa pointi 30, ambapo Juni 18 wanatarajia kuikaribisha Yanga katika pambano hilo litakalopigwa kwenye Uwanja…

Read More

Uamuzi wa kushtua Simba, Camara atajwa

FAGIO kubwa na la kushitua linaweza likapita kwa Wana fainali wa Kombe la Shirikisho Afrika, Simba kama kamati yenye dhamana ya kusajili itaendelea kushikilia msimamo inaouamini kwaajili ya kuisuka timu mpya ya makombe. Kutokana na mwenendo wa timu hiyo kwenye mashindano mbalimbali msimu huu pamoja na majadiliano na benchi la ufundi huenda wakafanya baadhi ya…

Read More

Klabu zaigeuka Yanga | Mwanaspoti

SAKATA linaloendelea baina ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Yanga kuhusiana na deni la fedha za zawadi za ubingwa wa Kombe la Shirikisho (FA), limechukua sura mpya. Yanga iliyotangaza kugomea pambano la Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba lililopangwa Juni 15, iliibua jambo jipya ikitishia kutocheza fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Singida…

Read More

Job amaliza utata Yanga | Mwanaspoti

KIPINDI hiki cha kuelekea kumalizika kwa msimu, taarifa ambazo Wanayanga wanahitaji kuzisikia mbali na mambo mengine, ni maendeleo ya kikosi chao na mustakabali wa mastaa wa kikosi hicho hasa wale mikataba yao inayoelekea ukingoni. Katika hilo, kuna nyota kadhaa wanaomaliza mikataba mwishoni mwa msimu huu akiwemo beki na nahodha msaidizi wa kikosi hicho, Dickson Job….

Read More

Fundi wa danadana Hadhara afariki, azikwa usiku huu

FUNDI wa danadana, mwanadada Hadhara Charles ambaye mwili wake umekutwa umefia chumbani tangu siku tatu zilizopita unazikwa usiku huu nyumbani kwake Chanika jijini Dar es Salaam. Hadhara aliyejizolea umaarufu mkubwa enzi za uhai wake kwa kipaji cha kuuchezea mpira atakavyo, amekutwa amefariki dunia ndani akiwa peke yake. Mdogo wa Hadhara aliyejitambulisha kwa jina la Mama Raiyan…

Read More

Fundi wa Danadana, Hadhara afia chumbani, mwili waharibika kuzikwa usiku huu

FUNDI wa danadana, mwanadada Hadhara Charles ambaye mwili wake umekutwa umefia chumbani tangu siku tatu zilizopita unazikwa usiku huu nyumbani kwake Chanika jijini Dar es Salaam. Hadhara aliyejizolea umaarufu mkubwa enzi za uhai wake kwa kipaji cha kuuchezea mpira atakavyo, amekutwa amefariki dunia ndani akiwa peke yake. Mdogo wa Hadhara aliyejitambulisha kwa jina la Mama Raiyan…

Read More

Mashujaa yaitaka nafasi ya Tabora United

UONGOZI wa Mashujaa ya Kigoma umefunguka kuwa mikakati iliyopo kwa sasa ni kushinda mechi mbili za mwisho zilizosalia ili kumaliza katika nafasi ya tano kwenye Ligi Kuu Bara iliyosaliwa mechi za raundi mbili kwa sasa kabla ya kufikia tamati Juni 22. Mashujaa kwa sasa inashika nafasi ya nane katika msimamo kwa pointi 33 baada ya…

Read More