Injili ya Fyatu kwa mafyatu na maajabu ya Kaya

Katika kufanya utafiti wangu usio rasmi, nimegundua mambo ya ajabu. Naweza kujiita mgunduzi wa karne hii kwenye sayansi ya jamii. Nianze na niliyogundua. Mosi, nimegundua kuwa fyatu anaweza kwenda shule asielimike. Kifyatu, hii inaitwa education for ignorance. Fyatu anaweza kuoga lakini akabaki mchafu achia mbali kutakata. Pili, Fyatu anaweza kula kwa miguu na mikono lakini…

Read More

Majimbo haya Singida usibeti, kila mtu bingwa

Singida. Ni kama watu wanaoisubiri ile siku ya kuja Masihi! ndivyo ilivyo kwa makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea ubunge katika majimbo ya Mkoa wa Singida huku kila mmoja akiota kwamba kuna mtu ‘amekanyaga waya’ ili siku zisitembee. Hiyo inajidhihirisha kwa namna joto lilivyopanda huku makada wakianza kujipitisha kwenye mikusanyiko na…

Read More

Nyota Savio aongoza kutupia BDL

WAKATI ushindani wa ufungaji ukiendelea katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), huko kunaonyesha kwamba  nyota wa Savio, Ntibomela Bukenge ndiye anayeongoza kwa ufungaji akiwa keshatupia pointi 124. Mchezaji huyo amegeuka moto katika mashindano hayo na ubora wake umekuwa ukionekana kila anapokuwa karibu na nyavu, kwani ni nadra kukosa kikapu anaposhuti. Bukenge…

Read More

Zamalek washusha mzigo Yanga | Mwanaspoti

NDANI ya wiki chache zijazo, mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize ataweka rekodi mbili kwenye soka la Tanzania endapo dili lake la kucheza nje litakwenda kama lilivyopangwa. Rekodi ya kwanza ni kwamba anakwenda mchezaji wa kwanza wa Tanzania Bara kuuzwa kwa dau kubwa zaidi nje ya nchi, lakini pili anakuwa staa wa kwanza mzawa kununuliwa na…

Read More

Yanga yaibuka tena, yaijibu TFF kuhusu madeni

Baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutoka hadharani na kuijibu Yanga kuhusu madeni inayowadai, klabu hiyo imeibuka tena. Katika taarifa kwa umma iliyowekwa kwenye kurasa rasmi za mitandao ya kijamii ya Klabu ya Yanga, imeeleza hivi: “Tumeona taarifa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuwa inaidai Klabu ya Young Africans…

Read More

TFF yajibu tuhuma, yaithibitisha kuidai Yanga

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepinga madai kuwa linadaiwa na Yanga, fedha za zawadi ya ubingwa ya mashindano ya Kombe la Shieikisho la CRDB msimu uliopita na badala yake limesema kuwa lenyewe ndio linaloidai klabu hiyo. Taarifa iliyotolewa na TFF leo Juni 10, 2025 imeeleza kuwa kinyume na madai ya Yanga, klabu hiyo…

Read More

Coastal Union yapanga kusajili kiungo, mshambuliaji

KOCHA wa Coastal Union, Joseph Lazaro ameweka wazi maeneo makubwa mawili ya kiungo na ushambuliaji ambayo kikosi hicho kinatakiwa kuongezewa nguvu kwa ajili ya msimu ujao. Coastal ambayo msimu huu imeshuka kiwango tofauti na uliopita, kwa sasa inashika nafasi ya 10 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa imecheza mechi 28, ikishinda saba, sare 10…

Read More

Nahodha APR atajwa Azam | Mwanaspoti

TAARIFA kutoka Rwanda zinabainisha nahodha wa kikosi cha APR FC, Claude Niyomugabo anatakiwa na Azam FC kwa ajili ya msimu ujao. Beki huyo wa kushoto mwenye umri wa miaka 26, alikuwa mchezaji muhimu wa APR katika msimu uliomalizika hivi karibuni wakati timu hiyo ikitwaa mataji mawili ambayo ni Ligi Kuu ya Rwanda na Kombe la…

Read More

Ngasa, Dodoma Jiji suala la muda

DODOMA Jiji imeingia sokoni mapema, huku ikiwa iko kwenye hatua za mwisho kumalizana na winga wa Tanzania Prisons, Benno Ngasa. Benno ambaye mkataba wake na Tanzania Prison unamalizika mwishoni mwa msimu huu, ameichezea timu hiyo kwa miaka miwili huku akiwa miongoni mwa wachezaji tegemeo. Taarifa za ndani kutoka Dodoma Jiji ilizonazo Mwanaspoti zinabainisha klabu hiyo…

Read More