Waarabu wavamia kambi ya Simba, mchongo mzima upo hivi

BAADA ya Simba kufanikiwa kucheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu na kupoteza mbele ya RS Berkane, kuna jambo linakwenda kutokea likimuhusu kiungo muhimu wa kikosi hicho ambaye anatakiwa na Waarabu. Achana na Steven Mukwala ambaye hivi karibuni Mwanaspoti ilikuhabarisha kwamba Waarabu wa Morocco, RS Berkane wamevutiwa na uwezo wake na kuweka mezani…

Read More

Mtibwa yaiwinda saini ya beki Coastal Union

BAADA ya Mtibwa Sugar kurejea tena Ligi Kuu baada ya kushuka msimu uliopita, mabosi wa timu hiyo wako katika mchakato wa kuboresha kikosi hicho, ambapo tayari wanampigia hesabu kali beki wa kushoto wa Coastal Union, Miraji Abdallah ‘Zambo’. Zambo, ambaye pia ni nahodha wa kikosi hicho baada ya kuondoka kwa Jackson Shiga aliyejiunga na Fountain…

Read More

Kaseja, mastaa wang’ang’aniwa Kagera | Mwanaspoti

KAGERA Sugar inaendelea kujifua ili kumalizia mechi mbili za mwisho za Ligi Kuu Bara kabla ya kuanza kujiandaa na msimu mpya wa Ligi ya Championship baada ya kushuka daraja, lakini mabosi wa klabu hiyo wameamua kufanya jambo moja la kuwang’ang’ania kocha Juma Kaseja na mastaa kadhaa. Hatua hiyo imeelezwa ina lengo la kuanza mikakati ya…

Read More

Ripoti yamng’oa beki Yanga | Mwanaspoti

ZILE nyakati za kufanya mambo zimeshafika katika Ligi Kuu Bara, kwani licha ya kwamba msimu bado haujamalizika, lakini timu zimeanza kujiandaa kwa ajili ya msimu ujao zikifanya usajili kimyakimya kusikilizia tu umalizike ili zianze kutangaza majina ya mastaa zinaowasajili. Lakini, katikati ya hilo huenda kukawa na sapraizi kibao mara tu dirisha la usajili wa wachezaji…

Read More

Dalali abaini jambo Simba, Yanga

MWENYEKITI wa zamani wa Simba, Hassan Dalali ‘Field Marshal’ amesema amezifuatilia kwa karibu Simba na Yanga katika michuano ya kimataifa ya CAF na kushtukia jambo ambalo kama klabu hizo zitarekebisha kidogo tu, basi muda si mrefu zitabeba ubingwa wa Afrika. Simba imecheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu ikipoteza mbele ya RS Berkane…

Read More

Sikia alichosema Kagoma Simba | Mwanaspoti

UNAKUMBUKA kilichomkuta kiungo mkabaji wa Simba, Yusuf Kagoma katika ile mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane iliyopigwa katika Uwanja wa New Amaan Complex mjini Zanzibar? Kagoma katika mechi hiyo alilambwa kadi mbili za njano na hivyo chama lake kucheza bila huduma yake kwa muda mrefu kipindi cha…

Read More

Sakata la Dabi, Ally Kamwe aibua mambo mapya

MSEMAJI wa Yanga,  Ally Kamwe amesema klabu hiyo, iko siriazi katika msimamo wa kutocheza mechi ya Kariakoo Dabi dhidi ya Simba, akisema Bodi ya Ligi Tanzania imepotosha juu ya matakwa yao manne. Akizungumza jioni hii katika makao makuu ya Yanga, Kamwe amesema Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi Almas Kasongo ameshindwa kufafanua vizuri matakwa manne kwamba…

Read More