
Sakata la Dabi, Ally Kamwe aibua mambo mapya
MSEMAJI wa Yanga, Ally Kamwe amesema klabu hiyo, iko siriazi katika msimamo wa kutocheza mechi ya Kariakoo Dabi dhidi ya Simba, akisema Bodi ya Ligi Tanzania imepotosha juu ya matakwa yao manne. Akizungumza jioni hii katika makao makuu ya Yanga, Kamwe amesema Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi Almas Kasongo ameshindwa kufafanua vizuri matakwa manne kwamba…