Chomelo: Haukuwa msimu mzuri, tutajipanga

KIUNGO wa Konya Amputee inayoshiriki Ligi ya Walemavu Uturuki, Ramadhan Chomelo amesema haukuwa msimu mzuri kwa upande wao kutokana na ushindani kuongezeka huku kwa upande wake akitakiwa kufanya majukumu mengi uwanjani. Akiwa pamoja na Shedrack Hebron anayekipiga Sisli Yeditepe, ni Watanzania pekee wanaosakata soka la walemavu nchini humo ukiwa msimu wa tatu mfululizo sasa na…

Read More

Lunyamila kumaliza ukame wa mabao FC Juarez

USAJILI wa nyota mpya Mtanzania, Enekia Lunyamila aliyetua FC Juarez huenda ukamaliza tatizo la ufungaji mabao katika klabu hiyo kutokana na rekodi zake nzuri alikotoka. Mshambuliaji huyo wa timu ya Taifa ya wanawake ya Twiga Stars alisajiliwa na miamba hiyo ya Mexico wiki iliyopita akitokea Mazaltan ya nchi hiyo akijiunga na Watanzania wengine Opah Clement…

Read More

Mlandege ilivyopiga bao Zanzibar | Mwanaspoti

MLANDEGE imeandika historia ya kubeba ubingwa wa nane wa Ligi Kuu Zanzibar, baada ya wikiendi iliyopita kumaliza kileleni ikizipiga bao timu nyingine 15 zilizoshiriki ligi hiyo. Wababe hao wa mjini Unguja, walitwaa taji hilo dakika za jioni baada ya ligi hiyo kuongozwa kwa muda mrefu na Mwembe Makumbi iliyopanda daraja msimu huu iliyomaliza katika nafasi…

Read More

Aziz KI ampa mzuka Gomez

MSHAMBULIAJI wa Wydad Casablanca ya Morocco, Seleman Mwalimu ‘Gomez’, amesema ni jambo zuri na la kifahari kucheza timu moja na aliyekuwa kiungo nyota wa Yanga raia wa Burkina Faso, Stephane Aziz KI aliyejiunga hivi karibuni na kikosi hicho. Akizungumza na Mwanaspoti, Gomez alisema kitendo cha mchezaji huyo kutoka Ligi Kuu Bara kinaonyesha kwa sasa Tanzania…

Read More

Hoja sita kuamua Dabi ya Kariakoo

WAKATI sintofahamu ikiendelea kutanda juu ya hatma ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo, viongozi wa Yanga wameitwa makao makuu ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB). Katika kikao hicho ambacho kimepangwa kufanyika Jumatatu hii kwenye Ofisi za TPLB zilizopo Ilala jijini Dar es Salaam, kuna hoja sita nzito mezani za kujadiliwa ambazo zitaonyesha mwanga…

Read More

Siri imefichuka… Kilichombakisha Diarra hiki hapa

YANGA ina uhakika sasa wa kuendelea kuwa na kipa namba moja wa kikosi hicho, Djigui Diarra baada ya mwenyewe kufanya uamuzi wa kubaki ndani ya timu hiyo. Uamuzi wa Diarra kubaki Yanga umewafurahisha mashabiki wa timu hiyo, lakini kuna siri iliyojificha juu ya jambo hilo ambayo imefichuliwa na kocha raia wa Ubelgiji. Kocha huyo si…

Read More

Mbeya City yampigia hesabu beki Mzenji

KATIKA mikakati ya kuimarisha kikosi, imeelezwa kwamba Mbeya City ni kati ya timu nne zinazowania saini ya beki wa kati wa Singida Black Stars, Mzanzibar Mukrim Issa ‘Miranda’. Mbeya City itakayoshiriki Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya kumaliza katika nafasi ya pili ya Ligi ya Championship na kupanda daraja, inawania saini ya nyota huyo…

Read More

Dau nono kumchomoa Mukwala Simba SC

WAKATI Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ikiendelea na mazungumzo ya kuhitaji huduma ya mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala, inaelezwa RS Berkane imeingilia kati dili hilo kwa kuweka dau nono ili kumchomoa nyota huyo kutoka kwenye viunga vya Msimbazi. Hadi kufikia hatua ya kuhitaji kumsajili Mukwala, inaelezwa RS Berkane ilivutiwa na kiwango alichokionyesha mshambuliaji huyo katika…

Read More

Miroshi ashindwa kuandika rekodi Ulaya

KIRAKA wa Goztepe inayoshiriki Ligi Kuu ya Uturuki, Novatus Dismas Miroshi ameshindwa kuandika historia nyingine kwenye michuano ya Ulaya baada ya chama lake kumaliza nafasi ya nane kwenye msimamo wa ligi. Iko hivi. Mabingwa wa ligi kuu na mshindi wa pili ndizo zinakata tiketi ya kushiriki katika raundi ya pili ya mchujo ya Ligi ya…

Read More

Majeraha yamtibulia Kachwele Marekani | Mwanaspoti

STRAIKA wa Whitecaps FC anayecheza kwa mkopo Vancouver Whitecaps inayoshiriki Ligi Kuu Marekani (MLS), Cyprian Kachwele amesema msimu huu ameuanza vibaya baada ya kupata majeraha ya nyama za paja. Kinda huyo wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ aliyewahi kupita timu ya vijana ya Azam FC huu ni msimu wake wa pili Marekani na uliopita akiwa…

Read More