Kocha Fountain Gate kapiga mkwara huko!

KOCHA wa Fountain Gate, Mohamed Ismail ‘Laizer’ amesema mechi ya keshokutwa Alhamisi dhidi ya Yanga hawataingia kinyonge bali wataonyesha ushindani mkubwa mbele ya mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara. Mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara imepangwa kuchezwa keshokutwa Alhamisi saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar na Fountain Gate imetoka kufungwa 2-0…

Read More

Pantev afichua jambo Simba, Magori atia neno

Kikosi cha Simba kimerejea mapema asubuhi ya leo kikitokea Bamako, Mali kilipoenda kucheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien na kupoteza kwa mabao 2-1. Kipigo hicho kilikuwa ni cha pili mfululizo Simba katika makundi ya michuano hiyo baada ya kile cha kwanza cha bao 1-0 nyumbani kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa…

Read More

Azam FC, Singida Black Stars kuliamsha upya Ligi Kuu

BAADA ya kumaliza majukumu ya mechi za kimataifa, wawakilishi wanaoshiriki hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC na Singida Black Stars kesho watarudi katika Ligi Kuu kuanza kusaka pointi za kuwaweka pazuri. Azam ambayo imepoteza mechi mbili mfululizo za Kundi B mbele ya As Maniema ya DR Congo na Wydad Casablanca ya…

Read More

Utamu BDL wateka shoo kikapu taifa

WAKATI Ligi ya Kikapu Taifa (NBL), ikiendelea mjini Dodoma kuna ushindani wa mastaa hasa wale wanaocheza Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Nyota hao waliosajiliwa na timu za mikoa mbalimbali kutokana na zile wanazozichezea kukosa nafasi ya kushiriki NBL, wamekuwa wakionyesha ushindani kama ilivyo BDL kwenye Uwanja wa Chinangali. Baadhi ya wachezaji…

Read More

Simba, Yanga zarudi mzigoni Ligi Kuu Bara

VIGOGO wa soka nchini, Simba na Yanga waliokuwa katika majukumu ya mechi za kimataifa wakishiriki Ligi ya Mabingwa Afrika, wanatarajiwa kurejea tena mzigoni kwenye Ligi Kuu Bara baada ya kucheza mara ya mwisho mapema mwezi uliopita na kila moja kuvuna pointi tatu kwa ushindi. Yanga iliyopo Kundi B imetoa kupata suluhu ugenini dhidi ya JS…

Read More

Mabosi Simba wamuweka mtu kati Mpanzu

SIMBA inarejea nchini leo Jumanne ikitokea Mali ilikopoteza mechi ya pili ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufungwa mabao 2-1 na Stade Malien, ambapo kama ilivyo kwa mashabiki kuwashtukia wachezaji kupoteza viwango, ndivyo ilivyo kwa mabosi wa klabu hiyo walioamua kuwakalisha kitimoto baadhi ya nyota wa timu hiyo wakianza na winga Ellie Mpanzu….

Read More