Mtoto wa Mjini – 6

HUKU akiendelea kuwatazama kwa zamu vijana wale kutaka kuwakumbuka kama aliwahi kuwaona mahali, mzee Mangushi alijibu: “Marhaba…”Na baada ya kutambua sura zao zilikuwa ngeni machoni pake, akawauliza: “Niwasaidie nini?” “Kuna shida kidogo mzee wangu,” alisema mmoja wao na kumfanya mzee Mangushi kuutoa mwili wake wote nje ya mlango.“Shida gani tena?” alihoji uso wake ukitaliwa na wasiwasi.“Mimi…

Read More

Ishu ya kocha Simba ipo hivi

KATIKA benchi la ufundi la Simba, hakuna kocha mkuu, hiyo ni baada ya kuondoka kwa Fadlu Davids ambaye tayari ametambulishwa kuinoa Raja Casablanca ya Morocco. Wakati Fadlu akiondoka huku akiiacha Simba ikipambana kumsaka mbadala wake, timu hiyo tayari imecheza mechi mbili, moja ya…

Read More

Malindi kurejea Unguja na pointi tatu za Chipukizi

TIMU ya Malindi kutoka Unguja, imefanikiwa kuvuna alama tatu kwa kuifunga Chipukizi bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa Septemba 27, 2025 kwenye Uwanja Gombani uliopo kisiwani Pemba. Bao hilo lilifungwa na Tchakei Moucheri dakika 15 akimalizia pasi ya Ramadhan Mponda ambapo lilidumu hadi timu hizo zinakwenda mapumziko. Kipindi cha pili kilianza kwa…

Read More

New King yakaribishwa Ligi Kuu Zanzibar kwa kipigo

WAGENI katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), New King wamekaribishwa na kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Mwembe Makumbi katika mwendelezo wa ligi hiyo, mechi ikichezwa leo Septemba 29, 2025 kwenye Uwanja wa Mao A uliopo Unguja. Said Suleiman aliitanguliza New King kwa bao la mapema dakika ya 17 huku Yakoub Mohamed akiisawazisha Mwembe Makumbo dakika…

Read More

Andabwile afichua jambo Yanga | Mwanaspoti

Andabwile aliyewahi kutamba ndani ya Mbeya City na Singida Fountain Gate, kwa sasa anakipiga Yanga ukiwa ni msimu wake wa pili huku akianza vizuri 2025-2026 akiwa na uhakika wa namba kufuatia kuaminiwa na benchi la ufundi linaloongozwa na Kocha Romain Folz. Akizungumza jijini Mbeya wakati Yanga ikijiandaa kuikabili Mbeya City hapo kesho katika mechi ya…

Read More

Malindi yarejea Unguja na pointi tatu za Chipukizi

TIMU ya Malindi kutoka Unguja, imefanikiwa kuvuna alama tatu kwa kuifunga Chipukizi bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa Septemba 27, 2025 kwenye Uwanja Gombani uliopo kisiwani Pemba. Bao hilo lilifungwa na Tchakei Moucheri dakika 15 akimalizia pasi ya Ramadhan Mponda ambapo lilidumu hadi timu hizo zinakwenda mapumziko. Kipindi cha pili kilianza kwa…

Read More