
Bado Watatu – 15 | Mwanaspoti
“Nani ameleta taarifa hizo?”“Ni mwenyekiti wa mtaa huo.”“Polisi wameshakwenda?”“Wanajiandaa kuondoka.”“Kwaminchi ni kubwa, hilo tukio limetokea sehemu gani?”“Ametupa jina la mtaa na namba ya nyumba.”“Ni mtaa gani?” Polisi huyo alikuwa na kipande cha karatasi mkononi, akanisomea jina la mtaa huo na namba ya nyumba.“Hebu nipe hicho kikaratasi.” Polisi huyo akanipa kipande hicho cha karatasi. Baada ya…