Pina amaliza msimu kibabe, aziita timu mezani

MSHAMBULIAJI wa timu ya Mlandege, Abdallah Iddi ‘Pina’ amesema malengo aliyojiwekea msimu huu wa 2024-25 ikiwemo timu hiyo kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) na kuwa mfungaji bora wa ligi hiyo, yametimia ambapo kwa sasa anataka kucheza soka nje ya Zanzibar. Katika ufungaji, Pina amefanikiwa kuvunja rekodi ya mchezaji wa zamani wa KVZ FC…

Read More

MTEI: Mwamba Prisons aliyeinusuru isishuke

JAPOKUWA katibu wa Tanzania Prisons, John Mtei hakuanza kufanya majukumu hayo mwanzoni mwa msimu huu 2024/25, mchango wake umekuwa mkubwa kwa wachezaji kutokana na uzoefu wake wa kukichezea kikosi hicho miaka ya nyuma. Katika mahojiano baina yake na Mwanaspoti Mtei anasema kipindi anachezea timu iliwahi kushuka daraja kabisa na pia kuna msimu iliponea chupuchupu kucheza…

Read More

Sowah, Mukwala waingizwa vitani Sauzi

KITENDO cha Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kujiandaa kuachana na straika Ranga Chivaviro, kumeibua vita mpya kwa nyota wanaokiwasha katika Ligi Kuu Bara, Jonathan Sowah wa Singida Black Stars na Steven Mukwala wa Simba wanaohusishwa kuwindwa na AmaKhosi. Awali ilielezwa Kaizer ilikuwa ikiwapigia hesabu Joshua Mutale (Simba), Feisal Salum (Azam) na kipa Diarra Djigui (Yanga),…

Read More

Kumekuchaa! Kisa Dabi viongozi Yanga waitwa TPLB

WAKATI sintofahamu ikiendelea kutanda juu ya hatma ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo, viongozi wa juu wa Yanga wameitwa makao makuu ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB). Taarifa kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inaeleza TPLB imewaita viongozi hao mezani, kuzungumza nao kwani Yanga ndiyo timu mwenyeji wa mchezo huo. Kwenye kikao hicho,…

Read More

Siku saba za maajabu Dabi ya Kariakoo

DABI ya Kariakoo bado ina kipengele. Hakuna anayejua kama itapigwa au la hiyo Juni 15. Hii ni kwa sababu ya msimamo wa Yanga juu ya kuisusia mechi hiyo ambayo awali ilikuwa ipigwe Machi 8. Hali hiyo imewafanya mashabiki wa soka nchini kubaki njiapanda kama Dabi ya Kariakoo itapigwa Juni 15 au la kutokana na msimamo…

Read More

Mastaa tisa Stars warudishwa kuiwahi dabi

WAKATI hatima ya Dabi ya Kariakoo kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Simba ikiwa bado haifahamiki kama itachezwa au la, nyota tisa wa vigogo hivyo waliokuwa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ iliyocheza juzi usiku mechi ya kirafiki ya kimataifa na Bafana Bafana ya Afrika Kusini wamerudishwa Dar. Nyota hao walikuwa sehemu ya kikosi hicho cha…

Read More

Kocha JKT Tanzania aanika usajili mpya

KOCHA Mkuu wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amefichua juu ya mpango wa kuboresha kikosi katika dirisha kubwa la usajili baada ya kushindwa kufikia malengo msimu huu, huku akitaja maeneo mawili atakayoshughulika nayo ili maafande hao warudi na moto katika Ligi Kuu Bara. Maafande hao wa JKT wanaokamata nafasi ya sita katika msimamo wakiwa na pointi…

Read More

Mastar tisa Stars warudishwa kuiwahi dabi

WAKATI hatima ya Dabi ya Kariakoo kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Simba ikiwa bado haifahamiki kama itachezwa au la, nyota tisa wa vigogo hivyo waliokuwa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ iliyocheza juzi usiku mechi ya kirafiki ya kimataifa na Bafana Bafana ya Afrika Kusini wamerudishwa Dar. Nyota hao walikuwa sehemu ya kikosi hicho cha…

Read More

Kaseja awaita nyota Kagera Sugar Dar

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Juma Kaseja amewaita wachezaji wa timu hiyo haraka kambini jijini Dar es Salaam kwa maandalizi ya mechi mbili zilizosalia zitakazopigwa kati ya Juni 18 na 22. Kagera iliyoshuka daraja ikishika nafasi ya 15 katika msimamo wa Ligi Kuu kwa sasa itakuwa wageni wa Namungo Juni 18 na Kaseja ameona hakuna…

Read More

Tabora United kuja kivingine Ligi Kuu

KIKOSI cha Tabora United kimeingia kambini kujiwinda na mechi mbili za Ligi Kuu Bara zilizosalia kumalizia msimu huu, huku kocha mkuu Simonda Kaunda akieleza kuwa hali ya timu na wachezaji wako fiti. Timu hiyo imebakisha mechi mbili kufunga msimu huu ambapo Juni 18 itakuwa ugenini kucheza dhidi ya Azam huku ikiwa na kumbukumbu ya kushinda…

Read More