
Mastaa tisa Stars warudishwa kuiwahi dabi
WAKATI hatima ya Dabi ya Kariakoo kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Simba ikiwa bado haifahamiki kama itachezwa au la, nyota tisa wa vigogo hivyo waliokuwa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ iliyocheza juzi usiku mechi ya kirafiki ya kimataifa na Bafana Bafana ya Afrika Kusini wamerudishwa Dar. Nyota hao walikuwa sehemu ya kikosi hicho cha…