Nabi hajataka tamaa, atua tena Simba

Mambo ni moto! Siku chache baada ya nyota wa kimataifa wa Burkina Faso na Yanga, Stephanie Aziz KI kusajiliwa na Wydad Casablanca ya Morocco ni kama amefungua milango kwa mastaa wa Ligi Kuu Bara wanaowindwa na timu mbalimbali nje ya nchi. Wakati Aziz KI akijiandaa kushuka uwanjani nchini Marekani kukipiga dhidi ya Manchester City, Juni…

Read More

Kumuona Aziz KI? Jiandae na gharama hizi

FLORIDA, MAREKANI: KOMBE la Dunia la Klabu la Fifa mwaka huu litaweka historia mpya kwa mara ya kwanza likishirikisha klabu 32 kutoka mabara yote. Mashabiki kutoka kila kona ya dunia wanajiandaa kwa safari ya kipekee kusafiri kwenda kushuhudia michuano hiyo ya kibabe kabisa duniani. Kwa wengi, hiyo siyo tu safari ya burudani, bali pia ni…

Read More

JKT Queens yaanza na kocha

WAKATI JKT Queens ikijiandaa na mashindano ya Cecafa ili kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika imeanza marekebisho ya benchi la ufundi ikidaiwa kumalizana na kocha mkuu Ester Chabruma ‘Lunyamila’. Kocha huyo aliyehudumu kwa misimu miwili mfululizo tangu 2023 akichukua nafasi ya Ally Ally, ndiye aliyeipa ubingwa msimu huu na kulingana na Simba Queens kwa kutwaa mataji…

Read More

Vita ya maneno Trump, Musk inavyotikisa soko la Marekani

Washington. Kuna methali isemayo ‘panapofuka moshi, kuna moto’, ndivyo unavyoweza kuelezea mvutano mkubwa kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump na bilionea maarufu wa teknolojia, Elon Musk. Wawili hao ambao kwa muda mrefu walionekana kuwa marafiki wa karibu na washirika wa kimkakati, sasa wamejikuta wakiwa mahasimu wakubwa katika vita ya maneno inayoibua sintofahamu nchini Marekani…

Read More

Mahakama yafanya uamuzi kesi Dabi ya Kariakoo

SAKATA la mchezo wa Dabi ya Kariakoo ambalo Yanga imeapa kuwa haitapeleka timu uwanjani Juni 15, mwaka huu, limechukua sura mpya baada ya kuwasilishwa mahakamani na mmoja wa wanachama wa Yanga, ambako hata hivyo chombo hicho cha kutafsiri sheria kimetoa uamuzi rasmi leo, Ijumaa, Juni 6, 2025.  Mchezo huo wa Yanga dhidi ya Simba ambao…

Read More

Bingwa mpya ZPL ni KVZ au Mlandege

BINGWA mpya wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) anatarajiwa kujulikana leo wakati Mlandege na KVZ zitakaposhuka viwanja viwili tofauti kusaka pointi za kufungia msimu wa ligi hiyo. Mlandege inayoongoza msimamo wa Ligi hiyo kwa tofauti na mabao ya kufunga na kufungwa ikiwa na pointi 59 kama ilizonazo KVZ, itakwaruzana na New City iliyoshuka daraja mapema kwenye…

Read More

Straika Namungo ndio basi tena!

MSHAMBULIAJI wa Namungo, Ibrahim Ali Mkoko amemaliza msimu kutokana na kufanyiwa tena upasuaji wa pili wa goti la mguu wa kulia, kutokana na mishipa yake kushindwa kupeleka damu kwa wakati sahihi. Akizungumza na Mwanaspoti, Daktari wa Namungo, Richard Yomba alisema mchezaji huyo kwa sasa hawezi kucheza tena mechi zote zilizosalia msimu huu, ingawa maendeleo yake…

Read More

Kiungo JKT aziingiza vitani Mbeya City, Mtibwa

KIUNGO mshambuliaji anayemaliza mkataba alionao na JKT Tanzania, Maka Edward ameziingiza vitani klabu zilizorejea Ligi Kuu Bara msimu ujao, Mtibwa Sugar na Mbeya City baada ya mwenyewe kuchomoa ofa ya kwenda mafunzoni katika kikosi cha sasa. Mtibwa na Mbeya City zimepanda daraja msimu huu kutokea Ligi ya Championship na tayari zimeanza maandalizi ya kufanya usajili…

Read More

Makocha Ligi ya U20 hamna baya wanangu

SOKA limepigwa hasa katika 8-Bora ya Ligi Kuu ya soka kwa Vijana wenye umri chini ya miaka 20 nchini na mvuto zaidi ulikuwa kwenye nusu fainali. Timu nne zilizoingia nusu fainali ambazo ni Azam FC, Kagera Sugar, KenGold na Fountain Gate kwa hakika zimetupa ladha sana hapa kijiweni kutokana na timu zilivyoonyesha viwango vizuri na…

Read More