Makocha Ligi ya U20 hamna baya wanangu

SOKA limepigwa hasa katika 8-Bora ya Ligi Kuu ya soka kwa Vijana wenye umri chini ya miaka 20 nchini na mvuto zaidi ulikuwa kwenye nusu fainali. Timu nne zilizoingia nusu fainali ambazo ni Azam FC, Kagera Sugar, KenGold na Fountain Gate kwa hakika zimetupa ladha sana hapa kijiweni kutokana na timu zilivyoonyesha viwango vizuri na…

Read More

Gamondi lolote linaweza kutokea | Mwanaspoti

ALIYEKUWA Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina ni miongoni mwa makocha wanaotajwa kwa ajili ya kukifundisha kikosi cha APR FC ya Rwanda kwa msimu ujao, baada ya mabingwa hao wa Ligi Kuu ya Rwanda kuachana na Mserbia Darko Novic. Gamondi aliyeifundisha Yanga kwa mafanikio makubwa, kwa sasa yupo huru baada ya kuachana na…

Read More

Fainali Shirikisho yarudishwa Zanzibar | Mwanaspoti

ILE Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB kati ya Yanga dhidi ya Singida Black Stars, wakati wowote inaweza kurejea Zanzibar,huku tarehe ikiwa bado haijajulikana. Ikumbukwe kuwa, Fainali iliyopita kati ya Azam dhidi ya Yanga ilichezwa uwanja huo na Yanga kutetea ubingwa wake kwa mikwaju ya penalti. Taarifa kutoka ndani ya TFF ni kwamba mchakato…

Read More

Simba yaipiga bao tena Yanga

HUKO mtaani mashabiki wa Yanga wanaendelea kuchekea tumboni baada ya watani wao, Simba kushindwa kubeba ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu tofauti na ile kauli mbiu yao ya ‘Hii Tunabeba’. Simba ililazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na RS Berkane ya Morocco baada ya awali kupoteza ugenini kwa mabao 2-0 katika mechi za fainali…

Read More

Singida Black Stars ifanye jambo Shirikisho Afrika

KIJIWENI hapa tuliuangalia kwa utulivu wa hali ya juu kutokana na mpira uliochezwa katika mechi baina ya Simba na Singida Black Stars katika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kwenye Uwanja wa Tan-zanite Kwaraa, mjini Babati mkoani Manyara. Singida BS ilimaliza kibabe mechi kwa ushindi wa mabao 3-1, lakini haikuishia kupata ushindi tu bali…

Read More

Tumewachokoza wakubwa sasa wanatupora | Mwanaspoti

HIZI habari za timu mbalimbali maarufu barani Afrika kuanza mikakati ya kuchukua wachezaji muhimu na tegemeo wa timu zetu kubwa hapa nchini za Simba na Yanga hazitakiwi kuchukuliwa poa. Ilianza kama utani tuliposikia Wydad Casablanca ya Morocco inamhitaji Stephane Aziz Ki. Tukaona kama ni tetesi za siku zote kumbe jamaa walikuwa siriazi buana. Juzi kati…

Read More

Kahama Sixers yaivuruga Veta | Mwanaspoti

TIMU ya mpira wa kikapu ya Kahama Sixers imedhihirisha ubora ilionayo katika Ligi ya Mkoa wa Shinyanga baada ya kuiadhibu Veta kwa pointi 75-37. Mchezo huo ulichezwa kwenye Uwanja wa Veta, katika mchezo wa kwanza kwa timu hiyo, Kahama Sixers iliishinda Risasi kwa pointi 54-46. Katika mchezo huo, Julius George wa timu ya Kahama Sixers…

Read More

Kakolanya: Makipa wageni wana kitu

KIPA wa Singida Black Stars, Beno Kakolanya aliyekuwa anacheza kwa mkopo Namungo, amesema hakuwa na msimu mzuri kutokana na kucheza mechi saba na sasa yupo nje ya kazi, akisema kwake sio poa, japo hana namna kwani msimu umeshaisha. Namungo ilitangaza kuachana na Kakolanya, hivyo alirejea SBS ambako hawezi kucheza hadi msimu umalizike, alikiri endapo kama…

Read More

Azam yampotezea Diao, akitajwa APR Rwanda

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Alassane Diao anaweza kutua APR FC ya Rwanda mara baada ya msimu huu kumalizika, kufuatia taarifa za kuaminika kueleza kuwa mabosi wa klabu hawapo tayari kumuongezea mkataba mpya straika huyo aliyekuwa na wakati mgumu tangu arejee kutoka majeruhi. Diao, alijiunga na Azam msimu uliopita Julai 4, 2023, kwa kishindo na kuonyesha…

Read More

DABI YA KARIAKOO: Hoja mpya za wazee Yanga

KAMA unadhani Yanga wanatania juu ya tishio lao la kuigomea Dabi ya Kariakoo iliyopangwa Juni 15 basi utakuwa umekosea, baada ya wanachama wa matawi wakiongozwa na wazee wa klabu hiyo kutoa msimamo mzito jana wakiupiga mkwara uongozi. Wanachama hao waendelea kusisitiza kwa kusema; ‘HATUCHEZI’ huku wakitoa hoja mpya kwa mabosi wa klabu hiyo kama wanatakiuka…

Read More