Sasii afungiwa miezi sita, Fadlu, Sowah nao yawakuta

Mwamuzi Herry Sasii amekumbana na adhabu Kali, baada ya kufungiwa miezi sita kwa makosa ya kushindwa kutafsiri Sheria kwenye mchezo kati ya Simba na Singida Black Stars. Taarifa iliyotolewa na Kamati ya Usimamizi wa Ligi imesema Sasii amekumbana na adhabu hiyo baada ya kuwa na makosa mengi yaliyotafsirika kushindwa kumudu mchezo huo ambao Simba ilishinda…

Read More

Kilichobaki Bara ni vita ya nafasi na noti

LIGI Kuu Bara imesaliwa na mechi 19 ikiwamo Dabi ya Kariakoo kabla ya kufungwa kwa msimu huu, huku vita ya ubingwa ikisalia kwa vigogo Simba na Yanga, ilihali nafasi nyingine imebaki kuwa ni vita ya nafasi ya pesa za wadhamini wa ligi hiyo iliyoasisiwa mwaka 1965. Yanga ndio inayoongoza msimamo ikiwa na pointi 73, ikifuatiwa…

Read More

Ouma aanza tambo mapema fainali FA

BAADA ya kuifanikisha Singida Black Stars kutinga fainali ya Kombe la FA kocha wa timu hiyo Mkenya, David Ouma ameweka wazi kuwa anafurahia mafaniko ya soka ambayo anaendelea kupata nchini. Singida BS iliichapa Simba kwa mabao 3-1 katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), iliyopigwa wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa…

Read More

Mwalyanzi: Moto wa Mbeya City hauzimiki

KIUNGO mshambuliaji wa Mbeya City, Peter Mwalyanzi amesema ubora waliouonyesha katika Ligi ya Championship hautazimika kwani wamepania kuendelea nao hata kwenye Ligi Kuu Bara kutokana na uwekezaji na umoja uliopo ndani ya timu hiyo. Mbeya City imerejea Ligi Kuu Bara baada ya kukosekana kwa misimu miwili tangu iliposhuka 2022-2023, ikishika nafasi ya pili nyuma ya…

Read More

Mlandege, KVZ vita nzito ubingwa ZPL

USHINDI wa mabao 3-0 iliyopata Mlandege dhidi ya Kipanga na ule wa KVZ iliyoinyoa Mwembe Makumbi City, umeziweka timu hizo mbili katika nafasi nzuri ya kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) ambao umetemwa mapema na waliokuwa watetezi, maafande wa JKU. Mlandege ilipata ushindi huo jana jioni katika mfululizo wa mechi za ligi hiyo iliyosaliwa…

Read More

Vikumbo ubunge majimbo ya Dar es Salaam

Ukiacha vikumbo vya ubunge katika mikoa mingine, Dar es Salaam inabeba vita ya pekee katika mbio za kuisaka nafasi hiyo, huku wanasiasa, wafanyabiashara na wanahabari wakiwa ndani ya kinyang’anyiro hicho. Jiji hilo linaloundwa na majimbo 12 ya uchaguzi, imekuwa kiu ya watu wengi kuusaka ubunge kupitia majimbo hayo hasa Kawe, Kinondoni, Chamazi na Kigamboni. Kwa…

Read More

Ikanga Speed yamemkuta Yanga | Mwanaspoti

LIGI Kuu Tanzania Bara ipo kwenye dakika za lala salama. Tayari nafasi nne za juu zimeshajulikana. Hiyo ikimaanisha kwamba Simba, Yanga, Azam na Singida watakwenda kimataifa msimu ujao. Baada ya uhakika huo, Yanga tayari wameanza kukaa mkao wa usajili wa dirisha kubwa wakiangalia zaidi maeneo ya kiungo mkabaji, beki wa kati, mshambuliaji wa mwisho, winga…

Read More