Tambwe aipa ubingwa Singida Black Stars

BAADA ya kuikanda Simba kwa mabao 3-1 katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), Meneja wa Singida Black Stars aliyewahi kuitumikia timu hiyo miaka ya nyuma, Amissi Tambwe amesema haoni kitakachoizuia msimu huu kuandika historia ya kubeba ubingwa wa michuano hiyo. Ushindi huo uliopatikana wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, uliopo…

Read More

Yanga, Bodi ya Ligi waachana njia panda!

Dar es Salaam. Licha ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kutangaza tarehe mpya ya kuchezwa mechi ya marudiano kati ya Yanga na Simba, hali ya sintofahamu imeendelea kutanda upande wa Jangwani kuhusu hatma ya mchezo huo wa Kariakoo Dabi. Katika taarifa yao ya hivi karibuni kupitia mitandao ya kijamii, Yanga wameonyesha ratiba ya mechi zao…

Read More

Nabi akomaa na Ahoua, kuhusu Fei Toto ipo hivi

KOCHA wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Nasredine Nabi ameondoka nchini na kumtimkia Ulaya kwa mapumziko, lakini hapa Tanzania alimuacha skauti wao mmoja maalum kwa ajili ya kuwaangalia viungo wawili wa Simba. Nabi alipokuwa nchini kwa mambo yake binafsi alishuhudia mchezo wa Simba dhidi ya Singida Black Stars uliopigwa pale KMC Complex, wekundu hao wakishinda…

Read More

Mtasingwa kiroho safi Azam | Mwanaspoti

KIUNGO mkabaji wa Azam FC, Adolf Mtasingwa amesema licha ya timu hiyo kushindwa kufikia malengo kwa msimu huu ikiwamo kung’olewa mapema katika Kombe la Shirikisho (FA) na ile ya CAF, kwa upande wake ulikuwa msimu bora. Azam iliyoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika ilitolewa katika raundi ya kwanza na APR ya Rwanda, kisha ikang’olewa hatua ya…

Read More

Mokwena, Yanga ngoma nzito | Mwanaspoti

YANGA inaendelea kupasua kichwa juu ya kocha gani imchukue kwa ajili ya kulijenga upya benchi la ufundi la msimu ujao, na sasa ni kwamba kuna uwezekano mkubwa ikapoteza chaguo jingine la tatu kwenye mawindo hayo. Hesabu za Yanga zilikuwa kwa makocha watatu bora, ilianza na Marcel Koller aliyekuwa Al Ahly ya Misri lakini inaelezwa jamaa…

Read More

Waarabu watia mkono Yanga | Mwanaspoti

WAKATI Yanga ikijiandaa kumleta nchini beki wa kulia wa TP Mazembe na timu ya taifa ya Mauritanian, Ibrahima Keita, dili hilo limeanza kuingia gundu baada ya matajiri wa Tunisia kuingilia kati. Nyota huyo anayemaliza mkataba na TP Mazembe Juni 30, 2025, inaelezwa hivi karibuni atatua hapa nchini kwa ajili ya mazungumzo na Yanga kuhusu maslahi…

Read More

Nabi akomaa na Ahoua | Mwanaspoti

KOCHA wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Nasredine Nabi ameondoka nchini na kumtimkia Ulaya kwa mapumziko, lakini hapa Tanzania alimuacha skauti wao mmoja maalum kwa ajili ya kuwaangalia viungo wawili wa Simba. Nabi alipokuwa nchini kwa mambo yake binafsi alishuhudia mchezo wa Simba dhidi ya Singida Black Stars uliopigwa pale KMC Complex, wekundu hao wakishinda…

Read More

Maajabu sita ya Fiston Mayele Afrika

Jumapili, Juni Mosi, 2025, mshambuliaji wa zamani wa Yanga na AS Vita Club, Fiston Mayele aliiongoza Pyramids FC ya Misri kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya timu hiyo ya Misri kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini. Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Juni 30,…

Read More

Aucho, Mukwala wachemsha Uganda | Mwanaspoti

KIUNGO nyota wa Yanga, Khalid Aucho na mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala wamechemsha huko Uganda baada ya kushindwa kubeba tuzo  tuzo za mashabiki kwa wachezaji wanaocheza nje. Tuzo hizo zilizofanyika Mei 30, chini ya Shirikisho la Soka Uganda (FUFA), Aucho na Mukwala waliangushwa Rodgers Mato, aliyeibuka mshindi. Mato ambaye ni mshambuliaji anayeichezea klabu ya Vardar…

Read More

Manula katikati ya timu nne

AISHI Manula ni moja ya makipa bora zaidi kuwahi kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni. Hakuna ubishi kuwa ubora wake ulionekana kuanzia akiwa na Azam FC, Simba wakamuona na kumchukua kwenye timu yao kwa ajili ya michuano ya kimataifa. Kiwango chake kwenye klabu pamoja na timu ya Taifa, Taifa Stars ni kielelezo tosha…

Read More