Andabwile afichua jambo Yanga | Mwanaspoti

Andabwile aliyewahi kutamba ndani ya Mbeya City na Singida Fountain Gate, kwa sasa anakipiga Yanga ukiwa ni msimu wake wa pili huku akianza vizuri 2025-2026 akiwa na uhakika wa namba kufuatia kuaminiwa na benchi la ufundi linaloongozwa na Kocha Romain Folz. Akizungumza jijini Mbeya wakati Yanga ikijiandaa kuikabili Mbeya City hapo kesho katika mechi ya…

Read More

Malindi yarejea Unguja na pointi tatu za Chipukizi

TIMU ya Malindi kutoka Unguja, imefanikiwa kuvuna alama tatu kwa kuifunga Chipukizi bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa Septemba 27, 2025 kwenye Uwanja Gombani uliopo kisiwani Pemba. Bao hilo lilifungwa na Tchakei Moucheri dakika 15 akimalizia pasi ya Ramadhan Mponda ambapo lilidumu hadi timu hizo zinakwenda mapumziko. Kipindi cha pili kilianza kwa…

Read More

Sababu iliyomtoa Denis Kitambi Fountain Gate

BAADA ya Denis Kitambi kutoonekana na kikosi cha Fountain Gate katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar iliyochezwa Septemba 28, 2025 kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, taarifa zinabainisha amemalizana na uongozi wa klabu hiyo huku sababu ya kufanyika hayo ikiwekwa wazi. Kitambi aliyeonekana kwa mara ya kwanza akikiongoza kikosi hicho Agosti…

Read More

Bado Watatu – 43

Tulishirikiana kulifukua kaburi hilo hadi tukalipata sanduku lililokuwa ndani, ambalo lilikuwa limeshaoza lakini maiti iliyoanza kuharibika ilikuwemo ndani. Kitu ambacho kilitushitua ni kuwa kwenye dole gumba lake la mkono wa kulia kulikuwa na rangi mbichi ya bluu, rangi ambayo hutumika katika mihuri.

Read More

Clara Luvanga anaitaka rekodi Saudia

BAADA ya kuingia kwenye kikosi bora cha wiki mara mbili kwenye Ligi Kuu ya Wanawake Saudi Arabia, mshambuliaji wa Kitanzania, Clara Luvanga anayekipiga Al Nassr amesema huo ni mwanzo tu kwake. Msimu mpya wa Ligi ya Wanawake Saudia umeanza na hadi sasa zimechezwa mechi tatu na nyota huyo ameingia kwenye kikosi bora cha wiki mara…

Read More

Juma Kaseja mguu sawa Championship

BAADA ya ratiba ya Ligi ya Championship kuwekwa wazi, Kocha wa Kagera Sugar, Juma Kaseja amesema moja ya malengo makubwa anayopambana nayo ni kuhakikisha anakirejesha tena kikosi hicho Ligi Kuu Bara, licha ya ushindani mkubwa uliopo. Akizungumza na Mwanaspoti, Kaseja alisema baada ya ratiba kutoka na kikosi hicho kuanza mechi mbili mfululizo nyumbani, wanahitaji kupambana…

Read More

Kipa Dodoma Jiji aipigia hesabu Taifa Stars

KIPA wa Dodoma Jiji, Ally Salim amesema japo ni mapema kwa sasa kuanza kutamba, lakini nafasi anayopata ya kucheza katika timu hiyo, imempa matumaini makubwa ya kumrejesha tena kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars. Kipa huyo juzi alicheza mechi ya tatu ya Ligi Kuu akiwa na Dodoma na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi…

Read More

Jean Baleke kuibukia Libya | Mwanaspoti

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba na Yanga, Mkongomani Jean Baleke, anakaribia kujiunga na kikosi cha Al-Khums ya Libya, baada ya nyota huyo kudaiwa amekubaliana masilahi binafsi na timu hiyo ambayo imeonyesha nia ya kumhitaji. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Libya, zinaeleza Baleke aliyeachana na Yanga baada ya mabosi wa timu hiyo kutoridhishwa na kiwango chake, kwa…

Read More

Simba yavamia jeshini, yataka kubeba kocha

BAADA ya kufuzu raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ikiwa chini ya kaimu kocha mkuu, Hemed Suleiman ‘Morocco’ uongozi wa Simba umetuma maombi ya kumhitaji kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally ili kuongeza nguvu benchi la timu hiyo kama kocha msaidizi. Simba iliyofikia makubaliano ya kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo,…

Read More