Pantev afichua jambo Simba, Magori atia neno

Kikosi cha Simba kimerejea mapema asubuhi ya leo kikitokea Bamako, Mali kilipoenda kucheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien na kupoteza kwa mabao 2-1. Kipigo hicho kilikuwa ni cha pili mfululizo Simba katika makundi ya michuano hiyo baada ya kile cha kwanza cha bao 1-0 nyumbani kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa…

Read More

Azam FC, Singida Black Stars kuliamsha upya Ligi Kuu

BAADA ya kumaliza majukumu ya mechi za kimataifa, wawakilishi wanaoshiriki hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC na Singida Black Stars kesho watarudi katika Ligi Kuu kuanza kusaka pointi za kuwaweka pazuri. Azam ambayo imepoteza mechi mbili mfululizo za Kundi B mbele ya As Maniema ya DR Congo na Wydad Casablanca ya…

Read More

Utamu BDL wateka shoo kikapu taifa

WAKATI Ligi ya Kikapu Taifa (NBL), ikiendelea mjini Dodoma kuna ushindani wa mastaa hasa wale wanaocheza Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Nyota hao waliosajiliwa na timu za mikoa mbalimbali kutokana na zile wanazozichezea kukosa nafasi ya kushiriki NBL, wamekuwa wakionyesha ushindani kama ilivyo BDL kwenye Uwanja wa Chinangali. Baadhi ya wachezaji…

Read More

Simba, Yanga zarudi mzigoni Ligi Kuu Bara

VIGOGO wa soka nchini, Simba na Yanga waliokuwa katika majukumu ya mechi za kimataifa wakishiriki Ligi ya Mabingwa Afrika, wanatarajiwa kurejea tena mzigoni kwenye Ligi Kuu Bara baada ya kucheza mara ya mwisho mapema mwezi uliopita na kila moja kuvuna pointi tatu kwa ushindi. Yanga iliyopo Kundi B imetoa kupata suluhu ugenini dhidi ya JS…

Read More

Mabosi Simba wamuweka mtu kati Mpanzu

SIMBA inarejea nchini leo Jumanne ikitokea Mali ilikopoteza mechi ya pili ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufungwa mabao 2-1 na Stade Malien, ambapo kama ilivyo kwa mashabiki kuwashtukia wachezaji kupoteza viwango, ndivyo ilivyo kwa mabosi wa klabu hiyo walioamua kuwakalisha kitimoto baadhi ya nyota wa timu hiyo wakianza na winga Ellie Mpanzu….

Read More

Dickson Job atoa kauli ya kibabe CAF

KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujifua kwa ajili ya mechi mbili zijazo za Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate na Coastal Union, huku nahodha msaidizi wa timu hiyo, Dickson Job akitoa kauli ya kibabe kwa mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika wawakilishi hao wa Tanzania wakiwa Kundi B. Katika mechi hizo za CAF, Yanga imekusanya…

Read More

Benki ya Exim na Simba waja na mpango kurahisisha umiliki wa nyumba

Dar es Salaam. Benki ya Exim Tanzania kwa kushirikiana na Simba Developers Limited imesaini makubaliano ya kimkakati yanayolenga kuongeza upatikanaji wa makazi bora na nafuu kwa Watanzania, kupitia mpango maalumu wa mikopo ya nyumba. Kupitia ushirikiano huo, wateja watakaonunua nyumba za kisasa zinazojengwa na Simba Developers watapata mikopo yenye masharti nafuu kupitia bidhaa ya Exim…

Read More

Kinachombeba Fabrice Ngoy Namungo hiki hapa

MSHAMBULIAJI wa Namungo, Fabrice Ngoy amesema kitu pekee kinachombeba kwa sasa ni kutokana na ushirikiano wa wachezaji wenzake na kuaminiwa na benchi la ufundi, jambo linalomuongezea motisha ya kupambana kila anapopata nafasi ya kucheza. Kauli ya nyota huyo inajiri baada ya juzi kuifungia Namungo bao moja katika ushindi wa timu hiyo wa 1-0, dhidi ya…

Read More