Andabwile afichua jambo Yanga | Mwanaspoti
Andabwile aliyewahi kutamba ndani ya Mbeya City na Singida Fountain Gate, kwa sasa anakipiga Yanga ukiwa ni msimu wake wa pili huku akianza vizuri 2025-2026 akiwa na uhakika wa namba kufuatia kuaminiwa na benchi la ufundi linaloongozwa na Kocha Romain Folz. Akizungumza jijini Mbeya wakati Yanga ikijiandaa kuikabili Mbeya City hapo kesho katika mechi ya…