Tanzania ya pili Kombe la Dunia la vijana wa mazingira magumu

Timu ya Tanzania ya Wanawake kutoka kituo cha Future Stars Academy cha jijini Arusha, imeshika nafasi ya pili katika michuano ya vijana wanaotoka kwenye mazingira magumu (Homeless World Cup) yaliyofanyika kati ya Agosti 22-30 jijini Oslo, Norway, yakishirikisha timu 60 kutoka mataifa 48. Future Stars Academy imetwaa nafasi hiyo baada ya kushinda mchezo wa fainali…

Read More

Simba, Yanga zabanwa, kisha zalainishiwa Bara

VIGOGO vya soka nchini, Simba, Yanga na Azam FC wamelainishwa mambo katika ishu za usajili, lakini wakabanwa kwa upande mwingine katika Ligi Kuu Bara na michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) kwa msimu mpya wa 2025-26. Msimu huo unatarajiwa kuzinduliwa na mechi ya Ngao ya Jamii itakayopigwa Septemba 16 Kwa Mkapa ikizikutanisha Simba na Yanga…

Read More

Haroun Mandanda kutua Polisi Tanzania

TIMU ya maafande wa Polisi Tanzania iko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa kipa wa kikosi cha Tabora United, Haroun Mandanda baada ya kumaliza mkataba, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine. Nyota huyo aliyetamba na timu mbalimbali za Mbeya City, Ihefu (Singida Black Stars) kisha baadaye pia kujiunga na Tabora United,…

Read More

Mgaza aiokoa Dodoma Jiji dakika za jioni

WAKATI Tanzania Prisons ikiwa na matumaini ya kuondoka na pointi tatu, mshambuliaji wa Dodoma Jiji, Yassin Mgaza dakika ya mwisho akaiokoa timu hiyo na kichapo katika mechi ya kwanza wa mashindano ya Tanzanite Pre-Season International. Mchezo huo ulioanza kupigwa  saa 7:00 mchana leo Agosti 31, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, kipindi cha kwanza kilimalizika…

Read More

Samatta, Gomes waitwa Taifa Stars

NAHODHA na nyota wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga, Le Havre ya Ufaransa, Mbwana Samatta na mshambuliaji mpya wa Simba, Seleman Mwalimu ‘Gomes’ ni miongoni mwa wachezaji waliotwa katika kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kilichotangazwa rasmi leo Jumapili. Kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amekitaja kikosi hicho kwa ajili ya kambi ya…

Read More

HUSTLERS WAUNGANA UZINDUZI CHROME GIN KWA SGANGWE LA KIPEKEE

 :::::::::  Dar es Salaam ilishuhudia usiku wa burudani na sherehe zisizosahaulika pale Tanganyika Packers – Kawe, wakati wa uzinduzi wa Chrome Gin, kinywaji kipya kinacholenga kusherehekea hustlers wa Tanzania. Kwa mara ya kwanza, hustlers kutoka maeneo mbalimbali ya jiji waliunganishwa pamoja – kuanzia Manzese, Kariakoo hadi Kinondoni – wote wakija kusherehekea ushindi wao, mdogo au…

Read More

Mpango kuinua kikapu vijana wazinduliwa

MPANGO maalumu wa kuwawezesha vijana kujifunza mchezo wa kikapu umezinduliwa wikiendi kwa ushirikiano baina ya Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Vodacom Tanzania sambamba na Shirika la Salesian of Donbosco Kanda ya Tanzania. Uzinduzi huo umefanyika kwenye viwanja vya Donbosco Oysterbay, jijini Dar es Salaam ukishuhudiwa na viongozi wa Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa…

Read More

Kitambi aibukia Fountain Gate kumrithi Mnigeria

FOUNTAIN Gate katika kuboresha kikosi hicho kwa msimu wa 2025-2026, imemchukua Denis Kitambi kuwa kocha mkuu. Kitambi aliyewahi kufundisha timu mbalimbali za Ligi Kuu ikiwemo Simba, Namungo, Geita Gold na Singida Black Stars, anachukua nafasi ya Mnigeria, Ortega Deniran. Taarifa za uhakika kutoka ndani ya kambi ya Fountain Gate, zinasema uamuzi wa kumchukua Kitambi umekuja…

Read More

Tido akumbuka rekodi ya Bayi, akitaja riadha ilivyoibeba nchi

Mwandishi wa habari nguli, Tido Mhando ameeleza kumbukumbu ya miaka 52 ya nguli wa riadha, Filbert Bayi akibainisha namna alivyoibeba nchi enzi zake. Tido amebainisha hayo jana Agosti 30, katika mahafali ya Shule ya Msingi na Sekondari za Filbert Bayi, yaliyofanyika kwenye ‘Campus’ ya Kibaha. Tido aliyekuwa mgeni rasmi,  alishuhudia utoaji wa tuzo mbalimbali za…

Read More