Stein, Dar City patachimbika BDL

ULE uhondo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) unaendelea tena leo kwenye Uwanja Donbosco Upanga wakati Stein Warriors na Dar City zitakaposhuka uwanjani kuonyeshana kazi katika mfululizo wa ligi hiyo inayozidi kushika kasi. Mchezo huo unaosubiriwa kwa hamu na wapenzi wengi wa kikapu utachezwa saa 2:00 usiku, huku Stein Warriors inayoongoza…

Read More

Mashujaa, Mgunda ni suala la muda tu

MASHUJAA haijamkatia tamaa aliyekuwa mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo, Ismail Mgunda aliyekuwa ametimkia AS Vita ya DR Congo katika dirisha dogo msimu huu kabla ya kurejea nchini hivi karibuni. Vita ilimtaka Mgunda kwenda kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji, ambako straika huyo ni mmoja wa mastaa waliotakiwa na aliyekuwa kocha Youssouf Dabo aliyewahi kuifundisha…

Read More

Mwalwisi aichorea ramani Mbeya Kwanza

WAKATI Mbeya Kwanza ikiendelea kusota Ligi ya Championship kwa misimu minne sasa, kocha mkuu wa timu hiyo, Makka Mwalwisi amesema iwapo uongozi utazingatia ripoti aliyowasilisha, huenda msimu ujao wakarejea Ligi Kuu. Mbeya Kwanza iliyowahi kucheza Ligi Kuu msimu wa 2021/22 tangu iliposhuka daraja, haijarejea tena licha ya kuonyesha ushindani kwenye Championship ikiwamo kushika nafasi ya…

Read More

Kalambo aanika kilichomkwamisha | Mwanaspoti

KIPA wa Coastal Union, Aaron Kalambo amesema sababu kubwa ya kutocheza kwa muda mrefu akiwa na kikosi hicho msimu huu, ni kutokana na kuandamwa na majeraha ya goti kwa muda mrefu, hali iliyomfanya kutoonekana kama alivyotarajia mwanzoni. Nyota huyo alijiunga na Coastal Union siku ya mwisho ya dirisha la usajili kufungwa Januari 15, 2025, baada…

Read More

Vurugu viwanjani mambo ya kishamba

POLE kwa mashabiki wote ambao walikutana na kadhia ya kupigwa, kuchaniwa jezi au kufanyiwa kitendo chochote kisicho cha kiungwana kwenye mechi ya Simba dhidi ya RS Berkane ya Morocco, Jumapili iliyopita kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar. Sio vitendo vya kuviunga mkono na ni vya ovyo sana kwani vinachafua taswira ya nchi yetu kiujumla huku…

Read More

Yanga yamleta Dar beki wa Mazembe

BEKI wa TP Mazembe ya DR Congo, Ibrahim Keita yupo njiani kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya mazungumzo na mabosi wa Yanga inayompigia hesabu kumsajili kwa kikosi cha msimu ujao. Yanga imeamua kumuita beki huyo Dar ili kufanya mazungumzo ya mwisho kabla ya kumpa mkataba wa kukiwasha katika kikosi hicho, ikielezwa ataziba…

Read More

Ubunge wa Siha unavyomtesa Dk Mollel, awalalamikia Takukuru

Siha. Mbunge wa Siha mkoani Kilimanjaro, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel ameibua gumzo wilayani humo, akituhumu kuhujumiwa ubunge wake huku akivihusisha vyombo vya usalama ikiwemo Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ambapo taasisi hiyo imejibu hoja hiyo. Siyo mara ya kwanza Dk Mollel kulalamika kuhujumiwa ubunge wake, mara…

Read More

Mbeya City yamnyatia nyota wa Yanga

UONGOZI wa Mbeya City umeanza hesabu za kuiwinda saini ya winga wa Yanga, Farid Mussa ili kuongeza nguvu ya timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, ikiwa ni katika harakati za kukisuka kikosi hicho ili kilete ushindani zaidi. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimeliambia Mwanaspoti, Farid ni miongoni mwa wachezaji…

Read More