Pamba yaanza hesabu za msimu ujao

LICHA ya kubakiwa na mechi mbili tu kabla ya kuhitimisha msimu wa Ligi Kuu Bara wa 2024/2025, Pamba Jiji tayari imeanza kupiga hesabu za msimu ujao ikiwemo mustakabali wa mdhamini mkuu na maboresho ya kikosi chake. Pamba Jiji licha ya kukamata nafasi ya 12 katika msimamo ikiwa na alama 30 baada ya mechi 28, ikishinda…

Read More

Chama la Wana, Geita kumaliza ubishi

MECHI ya marudiano ya play-off kusaka tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao, inapigwa leo ambapo wenyeji, Stand United ‘Chama la Wana’, itakuwa kwenye Uwanja wa Kambarage, mjini Shinyanga kumalizana na Geita Gold. Timu hizo zinakutana baada ya mechi ya kwanza iliyopigwa Uwanja wa Nyankumbu, mjini Geita kumlizika kwa sare ya mabao 2-2, hali…

Read More

Kiungo Singida agomea mamilioni | Mwanaspoti

SINGIDA Black Stars imeanza harakati za mapema za kumuongeza mkataba mpya, kiungo Morice Chukwu, huku Mnigeria huyo akiwagomea mabosi hao, licha ya kuahidiwa donge nono. Chukwu alisaini mkataba wa miaka mitatu na timu hiyo, huku akiwa amezitumikia klabu tatu tofauti hadi sasa kote alikwenda kwa mkopo. Mnigeria huyo alianzia Singida Black Stars, kisha akapelekwa Singida…

Read More

Pina mwamba aliyeandika rekodi mpya Zanzibar

UNGUJA: STRAIKA wa Mlandege na nyota wa timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Abdallah Idd ‘Pina’ ameweka rekodi Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) wakati msimu ukiwa ukingoni. Pina aliyekosa mechi saba kati ya 27 ilizocheza timu hiyo anamiliki mabao 19, amekuwa gumzo kwa kufunga hat trick mbili katika mechi moja ya ligi shidi ya Tekeleza…

Read More

Coastal Union yaanza na Chikola, Bwenzi

WAKATI msimu huu ukielekea ukingoni, klabu mbalimbali zinazoshiriki Ligi Kuu Bara zimeanza hesabu mapema za kuimarisha vikosi vyao kwa ajili ya msimu ujao ambapo inaelezwa Coastal Union imefanya mazungumzo na nyota wawili, Offen Chikola wa Tabora United na Seleman Bwezi anayecheza KenGold. Coastal Union imeanza na wachezaji hao ikiamini kwamba ikikamilisha kuwasajili watasaidia timu kufanya…

Read More

‘Ni feitoto na mzize tu’

MSHAMBULIAJI wa Tanzania Prisons, Jeremiah Juma amesema kati ya wachezaji wazawa waliofanya vizuri kwa msimu huu ni Feisal Salum ‘Fei Toto’ anayeitumikia Azam. Mbali na Fei Toto, Juma pia amesema Clement Mzize wa Yanga naye amefanya kazi kubwa ikingatiwa ndiye kinara wa mabao kwa wazawa. Msimu huu Fei Toto anaongoza kwa asisti akiwa nazo 13,…

Read More

Saa 72 za mtego Simba

DAKIKA 90 zilizopita zilikuwa na maumivu makali kwa Simba baada ya kushuhudia ikipoteza nafasi ya kubeba ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika kufuatia sare ya bao 1-1 dhidi ya RS Berkane kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Sare hiyo iliifanya Simba kupoteza fainali kwa jumla ya mabao 3-1 baada ya ugenini kufungwa 2-0. Baada…

Read More

Percy Tau mezani Yanga | Mwanaspoti

DAU la kuvutia walilopata baada ya kuondoka kwa Stephane Aziz KI Yanga, kumeifanya klabu hiyo mapema kuingia sokoni kumsaka mbadala wake ambapo hadi sasa ina majina ya wachezaji wawili walio kwenye hatua nzuri ya kumalizana nao. Yanga imemuuza Aziz KI kwenda Wydad Casablanca ya Morocco na tayari nyota huyo ameondoka akiiacha timu hiyo ikimalizia Ligi…

Read More