Saa 72 za mtego Simba

DAKIKA 90 zilizopita zilikuwa na maumivu makali kwa Simba baada ya kushuhudia ikipoteza nafasi ya kubeba ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika kufuatia sare ya bao 1-1 dhidi ya RS Berkane kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Sare hiyo iliifanya Simba kupoteza fainali kwa jumla ya mabao 3-1 baada ya ugenini kufungwa 2-0. Baada…

Read More

Percy Tau mezani Yanga | Mwanaspoti

DAU la kuvutia walilopata baada ya kuondoka kwa Stephane Aziz KI Yanga, kumeifanya klabu hiyo mapema kuingia sokoni kumsaka mbadala wake ambapo hadi sasa ina majina ya wachezaji wawili walio kwenye hatua nzuri ya kumalizana nao. Yanga imemuuza Aziz KI kwenda Wydad Casablanca ya Morocco na tayari nyota huyo ameondoka akiiacha timu hiyo ikimalizia Ligi…

Read More

Samia asimame hapo, Lissu pale mechi dakika 90 – Heche

Rombo. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, John Heche amesema wanahitaji mabadiliko ya sheria za uchaguzi ili Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ni mgombea mteule wa Chama cha Mapinduzi  (CCM) ashindane na mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu. Heche amesema hayo leo, Mei 27, 2025 Tarakea, Kilimanjaro,…

Read More

Lwassa jeshi la mtu mmoja Kagera

KATIKA msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kagera Sugar na KenGold zimeshuka daraja tayari huku timu hizo zikiwa ndiyo zenye idadi ndogo zaidi ya mabao ya kufunga ambayo ni 22 hadi sasa zikiwa zimecheza mechi 28 kila moja. Katika idadi hiyo ya mabao, vikosi hivyo vimeonekana kuwa na shida kubwa eneo hilo la ushambuliaji kiasi cha…

Read More

Aziz KI kukipiga mara ya kwanza Wydad AC

LEO huenda ikawa siku ya kwanza kumshuhudia nyota wa zamani wa Yanga na Burkina Faso, Stephane Aziz Ki ndani ya kikosi cha Wydad Athletic Club itakapokuwa ikicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Sevilla kutoka Hispania. Mchezo huo utakuwa maalumu kwa ajili ya maandalizi ya Wydad kuelekea michuano ya Klabu Bingwa ya Fifa ya Dunia itakayopigwa…

Read More

Vijimambo vya Fountain Gate | Mwanaspoti

MSIMU wa 2024/25 uko mbioni kumalizika, lakini ndani ya msimu huu kuna mambo flani yametokea katika kikosi cha Fountain Gate na Foutain Gate Pricess ambayo yafurahisha. Timu hizo zimekuwa na mwendelezo wa matukio ya kusisimua nje ya uwanja. Itakumbukwa mwaka jana ilimsimamisha ofisa habari, Issa Liponda na baadaye ikamrejesha kuendelea na majukumu, katika tukio lililokuwa…

Read More

KenGold ndoto mpya Ligi Kuu

PAMOJA na kukubali kilichoikuta, KenGold imesema itafuatilia njia zilizotumiwa na Mtibwa Sugar na Mbeya City kuhakikisha inarejea tena Ligi Kuu, huku ikitoa msimamo kwa nyota waliosimamishwa kwa tuhuma za utovu wa nidhamu. Timu hiyo yenye maskani yake wilayani Chunya mkoani Mbeya, imeshiriki Ligi Kuu msimu mmoja na kushuka daraja na msimu ujao itacheza Championship kujitafuta…

Read More

Mtibwa yajipanga Ligi Kuu, yaanza na mkali wa mabao

MTIBWA Sugar imesema imebaini baadhi ya timu zinamnyatia staa wake, Raizin Hafidh hivyo imemuwahi mapema kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu huku ikidokeza mwelekeo mpya wa timu hiyo. Timu hiyo ambayo imerejea tena Ligi Kuu baada ya kushuka daraja msimu uliopita, inajivunia rekodi ya kumaliza Championship ikiwa kinara kwa pointi 71. Pamoja na…

Read More