Laizer atwishwa zigo Fountain Gate

KOCHA mpya wa Fountain Gate, Mohamed Ismail ‘Laizer’, amefikia makubaliano ya kukiongoza kikosi hicho katika mechi mbili zilizobakia msimu huu, huku akiweka wazi sharti kubwa alilopewa ni kuhakikisha timu hiyo inabakia Ligi Kuu msimu ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Laizer alisema hahofii masharti aliyopewa kutokana na kuamini timu hiyo inaweza kujinasua katika janga la kushuka daraja,…

Read More

Mkomola kambi kokote, apiga mkwara

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga na Tanzania Prisons, Yohana Mkomola anayekipiga kwa sasa KVZ amesema kitendo cha kujiunga na timu hiyo kimempa motisha kubwa ya kurejea katika kiwango chake msimu huu, baada ya kuanza vibaya kutokana na kuandamwa na majeraha ya mara kwa mara. Nyota huyo amejiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Zanzibar…

Read More

Kocha Berkane aondoka na jina la staa huyu Simba

KOCHA wa RS Berkane, Moine Chaabani, amekiri pamoja na timu anayoinoa kubeba ubingwa wa tatu wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuzidi akili Simba ikiwa nyumbani kwa kulazimisha sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar, lakini kuna jina la mchezaji waliloondoka nalo. Berkane ilitwaa ubingwa huo wa CAF ikiifikia CS Sfaxien ya…

Read More

Zile vurugu Simba, Berkane adhabu hii hapa

MASHABIKI wa Simba bado wanaendelea kujiuliza kutokana na timu huyo kupoteza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mbele ya RS Berkane, Morocco lakini gumzo ni kile kilichotokea mara baada ya pambano hilo lililochezwa kwenye Uwanja wa New Amaan, visiwani Unguja. Katika mchezo huo Berkane ilitwaa ubingwa, kulikuwa na tukio lililosambaa sana katika mitandao ya kijamii…

Read More

Yule refa wa Simba, Berkane kumbe ndo zake

KILICHOTOKEA kwa mwamuzi wa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Simba dhidi ya RS Berkane, Dahane Beida raia wa Mauritania, kinatajwa kuwa ni mwendelezo wa upepo mbaya alionao kwa timu za Tanzania huku baadhi ya uamuzi wa matukio uwanjani yakitafsiriwa si ya haki. Mwamuzi huyo analalamikiwa kuikandamiza Simba kutokana na kutotenda…

Read More

Diana Msewa amaliza kibabe Uturuki

KIUNGO Mtanzania Diana Msewa anayechezea klabu ya Trabzonspor ni miongoni mwa wachezaji waliomaliza Ligi Kuu ya Uturuki (W) na rekodi nzuri kwenye mechi 14 alizocheza. Septemba 20 mwaka jana Msewa alitambulishwa kwenye kikosi cha Trabzonspor ya Wanawake akitokea Amed SK ya nchini humo. Nyota huyo wa timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars, kwenye mechi…

Read More

Simba ilivyokiwasha Amaan Complex | Mwanaspoti

SIMBA licha ya kushindwa kubeba ubingwa wa kwanza wa Afrika baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na RS Berkane ya Morocco, imeendeleza rekodi ya kutopoteza mechi yoyote nyumbani msimu huu katika mechi za Kombe la Shirikisho Afrika. Bao la mapema la dakika 16 la Joshua Mutale liliipa nguvu Simba jana mbele ya wageni, huku…

Read More

Morrison: Simba ilistahili ubingwa | Mwanaspoti

NYOTA wa zamani wa Simba na Yanfa, Bernard Morrison, amefunguka baada ya Wekundu kushindwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika, licha ya juhudi kubwa ilizoonyesha dhidi ya RS Berkane ya Morocco. Morrison ambaye kwa sasa anakipiga KenGold, klabu iliyoshuka daraja Ligi Kuu Bara, alisema pamoja na kwamba si mchezaji wa Simba kwa sasa, moyo…

Read More

PAOK, Southampton zamtaka Samatta | Mwanaspoti

MKATABA wa mshambuliaji wa PAOK, Mbwana Samatta unatamatika mwishoni mwa mwezi huu na inaelezwa timu hiyo tayari imeanza mazungumzo ya kumuongezea kuendelea kusalia kikosini hapo. Nyota huyo wa zamani wa Aston Villa kwa sasa yuko nchini kwa mapumziko baada ya Ligi ya Ugiriki kutamatika wikiendi iliyopita na chama lake kumaliza katika nafasi ya nne likifuzu…

Read More

Aucho, Mukwala katika vita nzito

VITA ya nyota wawili wa Yanga na Simba, kiungo Khalid Aucho na mshambuliaji Steven Mukwala imehamia Uganda, baada ya kuteuliwa kuwania tuzo za Shirikisho la Soka la Uganda (FUFA), katika kipengele cha Mwanasoka Bora Anayecheza nje ya nchi. Wengine wanaowania tuzo hiyo mbali na Aucho na Mukwala wanaocheza Ligi Kuu Bara, ni Bevis Mugabi wa…

Read More