Yanga, Simba zapishana na mamilioni CAF
Hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu wa 2025/2026 inaanza wiki hii bila uwepo wa klabu za Tanzania kwa vile klabu za Yanga, Simba, Azam na Singida Black Stars zimeishia katika hatua ya makundi. Timu hizo nne za Tanzania hasa Simba na Yanga ni kama zimepishana…