Yanga, Simba zapishana na mamilioni CAF

Hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu wa 2025/2026 inaanza wiki hii bila uwepo wa klabu za Tanzania kwa vile klabu za Yanga, Simba, Azam na Singida Black Stars zimeishia katika hatua ya makundi. Timu hizo nne za Tanzania hasa Simba na Yanga ni kama zimepishana…

Read More

Pata ODDS Zote za Simba Ndani ya Meridianbet

Meridianbet inakwambia kuwa unaweza ukabashiri mechi zote za Simba ambapo ODDS zao ni kubwa lakini pia mechi hiyo inakuwa na machaguo unayoyapenda. Jisajili na ubashiri sasa. Kwenye ligi kuu ya Tanzania yaani (NBC Premier League), Simba imekuwa ikikumbwa na mwenendo usio thabiti wa matokeo. Kumekuwa na vipindi vya ushindi vinavyofuatwa na matokeo yasiyoridhisha, hali iliyosababisha…

Read More

Simba, Yanga zarudishwa tena Zanzibar, kukichafua Aprili 21

ZIKIWA zimepita siku chache baada ya Yanga na Simba kutoka kucheza mechi ya Ligi Kuu Bara iliyomalizika bila kufungana kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, timu hizo zimetajwa kati ya nane zinazotarajiwa kushiriki michuano ya Kombe la Muungano 2026. Kwa kutajwa huko, timu hizo zinatarajiwa kurejea tena Zanzibar kusaka heshima baada ya kushindwa kutambiana…

Read More

Uhamiaji yaanza kuuwinda ubingwa ZPL

WAKATI Ligi Kuu ya Zanzibar ikisimama kwa ajili ya kupisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku ikitarajiwa kuendelea Machi 28, 2026, Kocha Mkuu wa Uhamiaji, Abdul Saleh amesema timu hiyo itaanza mazoezi hivi karibuni. Alisema timu hiyo inajinoa kwa ajili ya kujiandaa na mechi 10 za mzunguko wa mwisho wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL)…

Read More

Yanga ilivyomchomoa kocha Uingereza | Mwanaspoti

KATIKA mpango wa kuibua na kuendeleza vipaji vya vijana, Yanga imeonyesha kuwa siriazi na jambo lake baada ya kumchomoa Kocha Mohamed Badru huko Uingereza ambako alikuwa akiinoa May & Baker F.C. Badru atakuwa kocha mkuu wa mradi wa Yanga Soccer School, uliozinduliwa Novemba 15, 2025, ukilenga kutafuta wachezaji wenye vipaji kati ya umri wa miaka…

Read More

Prisons v Yanga kupigwa Ali Hassan Mwinyi Tabora

Siku moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuufungia Uwanja wa Sokoine kwa kukosa sifa ya kuchezewa mechi za mashindano yaliyo chini ya shirikisho hilo, Tanzania Prisons imehamishia mechi yake dhidi ya Yanga mkoani Tabora kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi. Sokoine umefungiwa jana Machi 8, 2026 ikiwa ni muda mfupi baada ya mechi…

Read More