
Mgaza aiokoa Dodoma Jiji dakika za jioni
WAKATI Tanzania Prisons ikiwa na matumaini ya kuondoka na pointi tatu, mshambuliaji wa Dodoma Jiji, Yassin Mgaza dakika ya mwisho akaiokoa timu hiyo na kichapo katika mechi ya kwanza wa mashindano ya Tanzanite Pre-Season International. Mchezo huo ulioanza kupigwa saa 7:00 mchana leo Agosti 31, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, kipindi cha kwanza kilimalizika…