Mgaza aiokoa Dodoma Jiji dakika za jioni

WAKATI Tanzania Prisons ikiwa na matumaini ya kuondoka na pointi tatu, mshambuliaji wa Dodoma Jiji, Yassin Mgaza dakika ya mwisho akaiokoa timu hiyo na kichapo katika mechi ya kwanza wa mashindano ya Tanzanite Pre-Season International. Mchezo huo ulioanza kupigwa  saa 7:00 mchana leo Agosti 31, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, kipindi cha kwanza kilimalizika…

Read More

Samatta, Gomes waitwa Taifa Stars

NAHODHA na nyota wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga, Le Havre ya Ufaransa, Mbwana Samatta na mshambuliaji mpya wa Simba, Seleman Mwalimu ‘Gomes’ ni miongoni mwa wachezaji waliotwa katika kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kilichotangazwa rasmi leo Jumapili. Kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amekitaja kikosi hicho kwa ajili ya kambi ya…

Read More

HUSTLERS WAUNGANA UZINDUZI CHROME GIN KWA SGANGWE LA KIPEKEE

 :::::::::  Dar es Salaam ilishuhudia usiku wa burudani na sherehe zisizosahaulika pale Tanganyika Packers – Kawe, wakati wa uzinduzi wa Chrome Gin, kinywaji kipya kinacholenga kusherehekea hustlers wa Tanzania. Kwa mara ya kwanza, hustlers kutoka maeneo mbalimbali ya jiji waliunganishwa pamoja – kuanzia Manzese, Kariakoo hadi Kinondoni – wote wakija kusherehekea ushindi wao, mdogo au…

Read More

Mpango kuinua kikapu vijana wazinduliwa

MPANGO maalumu wa kuwawezesha vijana kujifunza mchezo wa kikapu umezinduliwa wikiendi kwa ushirikiano baina ya Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Vodacom Tanzania sambamba na Shirika la Salesian of Donbosco Kanda ya Tanzania. Uzinduzi huo umefanyika kwenye viwanja vya Donbosco Oysterbay, jijini Dar es Salaam ukishuhudiwa na viongozi wa Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa…

Read More

Kitambi aibukia Fountain Gate kumrithi Mnigeria

FOUNTAIN Gate katika kuboresha kikosi hicho kwa msimu wa 2025-2026, imemchukua Denis Kitambi kuwa kocha mkuu. Kitambi aliyewahi kufundisha timu mbalimbali za Ligi Kuu ikiwemo Simba, Namungo, Geita Gold na Singida Black Stars, anachukua nafasi ya Mnigeria, Ortega Deniran. Taarifa za uhakika kutoka ndani ya kambi ya Fountain Gate, zinasema uamuzi wa kumchukua Kitambi umekuja…

Read More

Tido akumbuka rekodi ya Bayi, akitaja riadha ilivyoibeba nchi

Mwandishi wa habari nguli, Tido Mhando ameeleza kumbukumbu ya miaka 52 ya nguli wa riadha, Filbert Bayi akibainisha namna alivyoibeba nchi enzi zake. Tido amebainisha hayo jana Agosti 30, katika mahafali ya Shule ya Msingi na Sekondari za Filbert Bayi, yaliyofanyika kwenye ‘Campus’ ya Kibaha. Tido aliyekuwa mgeni rasmi,  alishuhudia utoaji wa tuzo mbalimbali za…

Read More

Kina Mayele wamtibulia aliyeikacha Yanga

USHINDI wa mabao 2-0 iliyoupata Pyramids dhidi ya Al Ahly, umetibua mambo katika klabu hiyo mabingwa wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika na sasa moto unawaka huku anayesakwa ni aliyeikataa Yanga. Ni hivi. Kocha wa Al Ahly, Jose Riveiro amekalia kuti kavu ligi kuu ya Misri, akihesabu siku baada ya kuanza vibaya akiwa na…

Read More

Jacob Massawe awatolea uvivu mawakala

KIUNGO mshambuliaji wa Namungo, Jaccob Massawe amesema mawakala wanapaswa kuacha tamaa na kuangalia malengo ya wachezaji wadogo akitolea mfano ishu ya Clement Mzize. Mkongwe huyo anayeitumikia Namungo kwa msimu wa tano sasa tangu ajiunge nayo msimu wa 2020/21 akitokea Gwambina. Akizungumza na Mwanaspoti, Massawe mwenye uwezo wa kucheza kama winga amesema mawakala wengi wanakwamisha viwango…

Read More

Waganda waja kivingine mbio za magari Afrika

UJUMBE mzito wa madereva na mashabiki wa mbio za magari kutoka Uganda unatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ajili ya kusherehesha mashindano ya magari ubingwa wa Afrika yatakayochezwa nchini  Septemba 19, 20 na 21 mkoani Morogoro. Waganda wanakuja Morogoro wakiwa na mabingwa watarajiwa, Mtanzania Yassin Nasser ambaye ni dereva na Mganda Ally Katumba, ambaye ni msoma…

Read More

Baleke aibukia Rayon Sports | Mwanaspoti

STRAIKA wa zamani wa TP Mazembe, Simba na Yanga, Jean Baleke ametua Rayon Sports ya Rwanda kwa kupewa mwaka mmoja wa kuitumikia klabu hiyo iliyomaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu ya Rwanda msimu uliopita ikizidiwa pointi nne na mabingwa mara sita mfululizo, APR. Nyota huyo raia wa DR Congo kwa muda wa miezi sita…

Read More