Sababu Mwangata kubaki Mbeya City

UONGOZI wa Mbeya City umefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Malale Hamsini ikiwa ni saa chache tangu ichapwe bao 1-0 na Namungo katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine jijini, Mbeya. Katika mechi hiyo iliyopigwa juzi, mabosi wa Mbeya City walitangaza kuachana na Malale baada ya presha kubwa ya mashabiki,…

Read More

Sh317 milioni zatua Ligi ya Kikapu Taifa

LIGI ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) inayoendelea kuchezwa kwenye Uwanja wa Chinangali mkoani Dodoma imelamba udhamini wa Sh317,025,900 kutoka kampuni ya BetPawa. Kupitia mkataba huu mpya, kampuni hiyo pia imetenga Sh13 milioni kwa ajili ya tuzo za timu na wachezaji, zikiwamo tuzo za Mchezaji Bora (MVP), Mfungaji Bora na nyinginezo zinazolenga kutambua nyota…

Read More

Maema: Hatuna cha kujitetea, tumejiangusha wenyewe

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Neo Maema, amesema kitendo cha timu hiyo kupoteza mechi mbili za kwanza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, hakuna wa kulaumiwa zaidi ya wachezaji wenyewe. Maema ameyasema hayo muda mfupi baada ya Simba kufungwa mabao 2-1 na Stade Malien katika mechi ya pili Kundi D la michuano hiyo…

Read More

Mashujaa, Coastal patachimbika Kigoma | Mwanaspoti

WAGOSI wa Kaya iliyotoka kuopata ushindi wa mabzo 2-0 nyumbani, imesafiri hadi Kigoma tayari kwa pambano la Ligi Kuu Bara dhidi ya wenyeji wao, Mashujaa huku namba zikiwabeba. Pambano hilo pekee la Ligi Kuu kwa leo litapigwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini humo kuanzia Saa 10:00 jioni,  huku wenyeji wakiwa na kumbukumbu ya kulazimishwa suluhu…

Read More

Championship kumeanza kuchangamka, vita ipo hapa

UHONDO wa Ligi ya Championship kwa msimu wa 2025-2026, unaendelea tena leo kwa mechi sita za raundi ya nane kupigwa na ushindani umekuwa ni mkubwa, hasa kwa timu kuanzia ya kwanza hadi ya 10, kutokana na kutopishana pointi nyingi. Vinara wa ligi hiyo, Geita Gold inayoongoza kwa pointi 19, baada ya kuichapa Hausung mabao 3-0,…

Read More

Pedro asimulia walivyowabana JS Kabylie kwao

KIKOSI cha Yanga kimetua salama nchini jana kutoka Algeria kilipoenda kucheza mechi ya pili ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kutoka suluhu dhidi ya JS Kabylie, huku kocha wa kikosi hicho, Pedro Goncalves akiweka bayana mechi ilikuwa ngumu, ila sare ya ugenini imewabeba. Yanga iliumana na JS Kabylie Ijumaa iliyopita na kutoka sare…

Read More

Pantev ataja mambo matatu vipigo mfululizo CAF

MENEJA Mkuu wa Simba, Dimitar Pantev, ametoa kauli iliyoashiria kuumizwa na matokeo ya kupoteza mechi mbili za kwanza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akitaja mambo matatu yaliyochangia hilo. Simba imeanza hatua hiyo ya makundi kwa kufungwa nyumbani bao 1-0 dhidi ya Petro Atletico, kisha imechapwa 2-1 na Stade Malien ugenini. Matokeo…

Read More

Tchakei aiokoa Singida, ikivuna pointi ya kwanza CAF

BAO la penalti katika dakika za majeruhi lililofungwa na mtokea benchi, Marouf Tchakei imeiwezesha Singida Black Stars kuandika historia ya kuvuna pointi ya kwanza ya katika mechi za makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kutoka sare ya 1-1 na Stellenbosch ya Afrika Kusini. Singida inayoshiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza, imekwepa mtego…

Read More

Imekuwa Jumapili ngumu kwa Simba 

LICHA ya wenyewe kujinasibu kwamba Jumapili huwa ni siku nzuri kwa klabu yao, lakini hali kwa Jumapili ya leo imekuwa kinyumw kwa Simba baada ya awali kuvurugana katika Mkutano Mkuu wa mwaka mapema asubuhi na usiku huu imekumbana na kipigo cha pili ikiwa ugenini huko Mali. Asubuhi Simba ilifanya mkutano ambao ulimalizika kitatanishi baada ya…

Read More