Azam yafanya kweli, yazifuata Simba, Yanga

MABAO mawili katika kila kipindi katika pambano la marudiano la Kombe la Shirikisho Afrika lililomalizika jioni hii, yametosha kuivusha Azam FC kwenda raundi ya pili ya michuano ya kimataifa ikizifuata Simba, Yanga, Singida BS na KMKM zilizotangulia mapema. Azam iliifyatua El Merreikh ya Sudan Kusini kwa mabao 2-0 katika mechi  iliyopigwa kwenye Uwanja wa Azam…

Read More

Simba hiyooo, sasa kuivaa Nsingizini Hotspurs

SIMBA imefuzu raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya jioni ya leo kulazimishwa sare ya 1-1 na Gaborone United ya Botswana, lakini imepenya kwa ushindi wa jumla wa mabao 2-1. Kufuzu kwa Simba kumetokana na ushindi wa bao 1-0 ilioupata ugenini wiki iliyopita ambao kwa matokeo ya mechi ya leo iliyopigwa Kwa…

Read More

Mtanzania ana kibarua michuano ya Ulaya

CHAMA la Mtanzania, Sabri Kondo anayekipiga BK Hacken ya Sweden, Alhamisi hii watakuwa na kibarua cha kutafuta pointi tatu mbele ya Shelbourne FC ili kutafuta nafasi ya kufuzu michuano ya UEFA Conference League. Kondo alisajiliwa msimu huu akitokea Coastal Union, alipoitumikia kwa mkopo wa msimu mmoja akitokea Singida Black Stars. Chama hilo linatafuta nafasi ya…

Read More

Shime bado hajaridhishwa | Mwanaspoti

KOCHA wa kikosi cha timu ya taifa ya wasichana U20, Tanzanite Queens, Bakari Shime amesema ingawa timu hiyo imeshinda dhidi ya Angola na kwenda raundi ya tatu ya kuwania fainali za Kombe la Dunia 2026, hajaridhika kwa vile kuna makosa yalifanyika kuanzia eneo la ulinzi na ushambuliaji. Tanzanite Queens jana ikiwa ugenini ikirudiana na Angola…

Read More

Pamba Jiji yabanwa nyumbani | Mwanaspoti

PAMBA Jiji jana ikicheza kwa mara ya kwanza mechi y Ligi Kuu Bara ikiwa nyumbani ilibanwa mbavu na Watoza Ushuru wa TRA United baada ya kutoka suluhu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Katika pambano hilo lililokuwa la tatu kwa Pamba na la pili kwa wageni, lilihudhuriwa na mashabiki wachache, huku wenyeji wakishindwa kurudia…

Read More

Kinda Azam bado kidogo England

KINDA la Azam FC, Abdulkarim Kiswanya amesema amemaliza wiki moja ya kufanya majaribio kwenye klabu ya QPR inayoshiriki Championship, England. Kiungo huyo aliongozana na Makamu wa Rais wa Azam, Abdulkarim Amin ‘Popat’, alipomsindikiza kuhakikisha mambo yanakuwa sawa. Akizungumza na Mwanaspoti, Kiswanya alisema tayari amemaliza majaribio na anarejea nchini leo huku akisubiri majibu kama amefaulu ama…

Read More