Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 20
Michezo

Mgaza miwili tena Dodoma Jiji

June 26, 2025 Admin

MABOSI wa Dodoma Jiji, wamemalizana na mshambuliaji wao, Yassin Mgaza kwa kumuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi msimu wa 2026-2027. Mshambuliaji huyo alijiunga

Read More
Michezo

Camara atibuliwa Simba | Mwanaspoti

June 26, 2025 Admin

KITENDO cha kipa wa Simba, Moussa Camara kuruhusu mabao mawili katika mechi ya Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, kimemfanya nyota huyo kushindwa kuandika rekodi

Read More
Michezo

Rekodi ya Mkude yaendelea kuishi

June 26, 2025 Admin

LICHA ya kiungo wa Yanga, Jonas Mkude kutocheza mechi ya juzi ya Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba, ila nyota huyo ameendeleza rekodi nyingine bora

Read More
Michezo

Dabi yampa Oumba mbinu za ushindi fainali FA

June 26, 2025 Admin

DAKIKA 90 za mchezo kati ya wenyeji Yanga dhidi ya watani zao Simba zimemtosha kocha wa Singida Black Stars, David Ouma kutambua ni wapi anatakiwa

Read More
Michezo

NBC Premier League Yamalizika Kwa Rekodi Mpya – Global Publishers

June 26, 2025 Admin

Last updated Jun 26, 2025 Hapo jana tumeshuhudia hitimisho la ligi kuu Tanzania bara kwa msimu wa 2024/25 kwa mchezo wa derby ya Kariakoo

Read More
Michezo

Ubingwa wa Yanga wamuibua Ramovic

June 26, 2025 Admin

BAADA ya Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya nne mfululizo, aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, Sead Ramovic amevunja ukimya na

Read More
Michezo

Dube ashindwa kujizuia, achekelea taji Ligi Kuu Bara

June 26, 2025 Admin

KWA miaka minne alicheza katika Ligi Kuu Bara akiwa na Azam FC. Msimu baada ya msimu, ndoto yake ya kutwaa ubingwa iliendelea kuwa mbali licha

Read More
Michezo

Kilichowaponza JKT, UDSM DBL ni hiki hapa

June 26, 2025 Admin

Kujiamini kwa JKT na UDSM Outsiders,  ndiko kulikofanya hadi timu hizo zikapoteza michezo yao miwili ya Ligi ya  Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Ligi

Read More
Michezo

Straika JKT Tanzania kiroho safi

June 26, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Edward Songo amesema msimu wa Ligi Kuu Bara uliomalizika jana Jumatano ulikuwa  mzuri kwao, lakini umewaachia somo la kujipanga ili ujao

Read More
Michezo

Hoza apewa miwili Dodoma Jiji

June 26, 2025 Admin

KIUNGO mkabaji wa Dodoma Jiji, Salmin Hoza ataendelea kusalia kwenye klabu hiyo hadi 2027 baada ya kuongeza mkataba miaka miwili. Kiungo huyo alijiunga na Dodoma

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 19 20 21 … 642 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.