MABOSI wa Dodoma Jiji, wamemalizana na mshambuliaji wao, Yassin Mgaza kwa kumuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi msimu wa 2026-2027. Mshambuliaji huyo alijiunga
Category: Michezo

KITENDO cha kipa wa Simba, Moussa Camara kuruhusu mabao mawili katika mechi ya Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, kimemfanya nyota huyo kushindwa kuandika rekodi

LICHA ya kiungo wa Yanga, Jonas Mkude kutocheza mechi ya juzi ya Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba, ila nyota huyo ameendeleza rekodi nyingine bora

DAKIKA 90 za mchezo kati ya wenyeji Yanga dhidi ya watani zao Simba zimemtosha kocha wa Singida Black Stars, David Ouma kutambua ni wapi anatakiwa

Last updated Jun 26, 2025 Hapo jana tumeshuhudia hitimisho la ligi kuu Tanzania bara kwa msimu wa 2024/25 kwa mchezo wa derby ya Kariakoo

BAADA ya Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya nne mfululizo, aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, Sead Ramovic amevunja ukimya na

KWA miaka minne alicheza katika Ligi Kuu Bara akiwa na Azam FC. Msimu baada ya msimu, ndoto yake ya kutwaa ubingwa iliendelea kuwa mbali licha

Kujiamini kwa JKT na UDSM Outsiders, ndiko kulikofanya hadi timu hizo zikapoteza michezo yao miwili ya Ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Ligi

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Edward Songo amesema msimu wa Ligi Kuu Bara uliomalizika jana Jumatano ulikuwa mzuri kwao, lakini umewaachia somo la kujipanga ili ujao

KIUNGO mkabaji wa Dodoma Jiji, Salmin Hoza ataendelea kusalia kwenye klabu hiyo hadi 2027 baada ya kuongeza mkataba miaka miwili. Kiungo huyo alijiunga na Dodoma