Motsepe kutua Zanzibar na ndege binafsi

RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Dk. Patrice Motsepe, anatarajiwa kutua leo Jumapili  visiwani Zanzibar kwa ndege binafsi akitokea Afrika Kusini, ili ashuhudie mechi  ya fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya mwenyeji Simba na RS Berkane kutoka Morocco. Taarifa kutoka ndani ya CAF zinaeleza kuwa, Motsepe ataongozana na wajumbe na…

Read More

Rais Mwinyi aahidi mamilioni Simba ikitwaa ubingwa CAFCC

Unguja. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuizawadia Klabu ya Simba, Dola  za Marekani 100, 000 (Sh269 milioni) endapo itafanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika. Mechi ya Simba dhidi ya Berkane ya Morocco inatarajiwa kuchezwa kesho Jumapili saa 10: 00 jioni katika…

Read More

JKU yaweka rehani taji la ZPL, KVZ yaizima KMKM

MAAFANDE wa Mafunzo imekwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada ya kuizima JKU kwa mabao 2-1, huku KVZ ikiizima KMKM 2-0. Kipigo hicho kwa JKU kilichopatikana jioni ya leo kwenye Uwanja wa Mao B, mjini Unguja kimeiweka timu hiyo katika hatari ya kulitema taji la ubingwa ililotwaa msimu uliopita. JKU imesalia nafasi…

Read More

Taifa Stars kutesti mitambo na Bafana Bafana

Timu ya Taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itacheza mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’, Juni 6, mwaka huu huko Afrika Kusini. Mchezo huo umepangwa kuchezwa katika Uwanja wa Peter Mokaba uliopo Polokwane, Afrika Kusini kuanzia saa 1:30 usiku kwa muda wa huko sawa na saa 2:30 usiku kwa…

Read More

Ligi ya Kikapu Dar ni burudani ndani, nje

UKIACHANA na ushindani wa uwanjani wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), burudani nyingine ni kutoka kwa mashabiki wa mchezo huo, wanaoweza kufurahia mchezaji wa upinzani pindi anapofanya kitu kizuri. Hilo limetokea kwa timu ya wanawake ya Tausi Royals iliyoshinda kwa pointi 120-25 dhidi ya UDSM Queens, katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja…

Read More

Aziz KI ataja mambo mawili mazito Yanga

STEPHANE Aziz KI kwa sasa yupo nchini kwao Burkina Faso ambako ameenda kusalimia nyumbani kwao kabla ya kwenda Morocco kuanza majukumu rasmi ya kuitumikia Wydad Casablanca, lakini huku nyuma ametoa kauli iliyobeba mambo mawili makubwa. Nyota huyo ameondoka Yanga akiacha rekodi nzuri ya kushinda mataji tisa katika misimu mitatu aliyocheza huku akibainisha kwamba, amekiacha kikosi…

Read More

Camara wa Berkane aipa saluti Simba

Zanzibar. Licha ya ushindi wa mabao 2-0 walioupata katika fainali ya kwanza dhidi ya Simba SC huko Morocco, kiungo Mamadou Camara wa RS Berkane amesema kuwa hawatarajii mechi  nyepesi katika mechi ya marudiano ya  fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Amaan. Camara ambaye ni raia wa Senegal, amesema wanaiheshimu Simba kama timu…

Read More