Laizer mbioni kurejea Fountain Gate

TIMU ya Fountain Gate iko katika hatua za mwishoni za kumrejesha aliyekuwa kocha msaidizi wa timu hiyo, Mohammed Ismail ‘Laizer’, huku makocha wa kikosi hicho kwa sasa Khalid Adam na Amri Said ‘Stam’ wakiwa mbioni kuondoka. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimelidokeza Mwanaspoti kuwa, Laizer atakabidhiwa mikoba ya kukiongoza kikosi hicho katika mechi mbili…

Read More

Ouma: Wale Simba waje tu!

KOCHA wa Singida Black Stars raia wa Kenya, David Ouma amesema mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga imewapa morali wachezaji wakati huu wakijiandaa kucheza na Simba katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA). Katika mechi hiyo iliyopigwa Alhamisi iliyopita kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge, Dar es Salaam, Singida…

Read More

Coastal yatoa msimamo wa Lawi

COASTAL Union imeweka wazi msimamo wake juu ya beki wa klabu hiyo, Lameck Lawi ambaye kwa muda mrefu amekuwa akihusishwa kutakiwa na timu za Simba na Yanga. Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Omary Ayoub amesema kwa sasa wako tayari kukaa mezani kujadili mauzo ya Lawi. Ikumbukwe kuwa kabla ya msimu kuanza, Coastal Union iliingia…

Read More

Fadlu aweka kila kitu wazi atakavyoikabili Berkane

KOCHA  wa Simba SC, Fadlu Davids, amesema kikosi kiko tayari kwa mechi ya fainali ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane huku akisisitiza kuwa wachezaji wameshajifunza kupitia maumivu ya dakika 20 za kwanza kule Morocco. Akizungumza na waandishi wa habari visiwani Zanzibar, Fadlu amesema: “Ndiyo, tulikuwa tumejiandaa kikamilifu kwa mechi ya…

Read More

Camara wa Berkane adai Simba ina timu nzuri, lakini…

KIUNGO wa RS Berkane, Mamadou Lamine Camara, amesema licha ya ushindi wa mabao 2-0 walioupata katika fainali ya mkondo wa kwanza dhidi ya Simba SC huko Morocco, lakini hawatarajii mechi nyepesi kesho Jumapili kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Camara ambaye ni raia wa Senegal, amesema wanaiheshimu Simba kama timu kubwa barani Afrika lakini…

Read More

Kaseke: Pamba Jiji mechi moja tu freshi

KIUNGO mshambuliaji wa Pamba Jiji, Deus Kaseke amesema kwa hali ilivyo kwa timu hiyo inahitaji ushindi wa mechi moja tu kati ya mbili ilizonazo ili kubaki Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao. Pamba iliyorejea katika Ligi Kuu baada ya kuisotea kwa miaka 23 tangu iliposhuka mwaka 2001, kwa sasa ipo nafasi ya 12 ikimiliki pointi…

Read More

Ambokile aitega Mbeya City | Mwanaspoti

STRAIKA wa Mbeya City, Eliud Ambokile amesema pamoja na kufanikiwa kuirejesha timu hiyo katika Ligi Kuu, bado hana uhakika wa kuendelea kuwepo kikosini humo, huku akichekelea rekodi aliyoiweka katika Championship. Ambokile aliliambia Mwanaspoti kuwa mkataba wake unaisha, hivyo hana uhakika kama ataendelea kubaki Mbeya City kwani anaangalia sehemu yenye maslahi na mpira ndio kazi yake….

Read More

Diarra awagawa mabosi Yanga  | Mwanaspoti

VIUNGA vya Jangwani mambo yanaonekana kana kwamba yamepoa, kikosi cha Yanga kikiwa mawindoni katika viwanja vya mazoezi kujiwinda na michezo iliyobaki kumalizia msimu huu wa Ligi Kuu Bara na fainali ya Kombe la Shirikisho (FA). Lakini, wakati maisha yakiwa hivyo pale Jangwani, kule Msimbazi wako katika hatua za mwisho mwisho za mikakati ya kumalizana na…

Read More

Chama la Wana, Geita mzigoni upyaaa

KAMA ulidhani mambo yameisha katika Ligi ya Championship baada ya Mtibwa Sugar kubeba ubingwa na kupanda Ligi Kuu Bara sambamba na Mbeya City, pole yako. Kazi nd’o kwanza imeanza wakati leo Jumamosi ikipigiwa mechi ya mkondo wa kwanza ya mtoano (play-off) kuwania tiketi ya kucheza Ligi Kuu msimu ujao wakati Geita Gold na Stand United…

Read More