Ambokile aitega Mbeya City | Mwanaspoti

STRAIKA wa Mbeya City, Eliud Ambokile amesema pamoja na kufanikiwa kuirejesha timu hiyo katika Ligi Kuu, bado hana uhakika wa kuendelea kuwepo kikosini humo, huku akichekelea rekodi aliyoiweka katika Championship. Ambokile aliliambia Mwanaspoti kuwa mkataba wake unaisha, hivyo hana uhakika kama ataendelea kubaki Mbeya City kwani anaangalia sehemu yenye maslahi na mpira ndio kazi yake….

Read More

Diarra awagawa mabosi Yanga  | Mwanaspoti

VIUNGA vya Jangwani mambo yanaonekana kana kwamba yamepoa, kikosi cha Yanga kikiwa mawindoni katika viwanja vya mazoezi kujiwinda na michezo iliyobaki kumalizia msimu huu wa Ligi Kuu Bara na fainali ya Kombe la Shirikisho (FA). Lakini, wakati maisha yakiwa hivyo pale Jangwani, kule Msimbazi wako katika hatua za mwisho mwisho za mikakati ya kumalizana na…

Read More

Chama la Wana, Geita mzigoni upyaaa

KAMA ulidhani mambo yameisha katika Ligi ya Championship baada ya Mtibwa Sugar kubeba ubingwa na kupanda Ligi Kuu Bara sambamba na Mbeya City, pole yako. Kazi nd’o kwanza imeanza wakati leo Jumamosi ikipigiwa mechi ya mkondo wa kwanza ya mtoano (play-off) kuwania tiketi ya kucheza Ligi Kuu msimu ujao wakati Geita Gold na Stand United…

Read More

RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KULINDA UHURU WA KITAIFA

::::::::: Rais Dkt. Samia Asifiwa kwa Kulinda Uhuru wa KitaifaMJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, kutokea Mkoa wa Morogoro Dkt. Ally Simba, ametetea vikali hatua ya Tanzania kuwakatalia kuingia nchini baadhi ya raia wa kigeni na kuwakamata wengine, akiwemo mwanaharakati Boniface Mwangi, akisisitiza kuwa hatua hiyo ilikuwa halali na ya kulinda…

Read More

Wenye ulemavu wafunuliwa fursa ununuzi wa umma

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wasioona Tanzania, Omary Itambu amesema utolewaji wa elimu na mafunzo ya ununuzi wa umma kwenye kundi la wenye ulemavu utawawezesha kushiriki kikamilifu katika mchakato mzima wa zabuni za Serikali. Amesema hayo kwenye hafla ya ugawaji wa vifaa saidizi vya mafunzo kwa Jumuiya ya Watu Wasioona, iliyoandaliwa na Mamlaka…

Read More

Turufu ya Mzize na Dube kwa Jean Ahoua

USHINDANI wa mastaa kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu umezidi kukolea na kusababisha mambo kuzidi kunoga. Lakini kuna kuna linakwenda kutokea kati ya wachezaji watatu mahiri kwenye mashindano hayo ambao wote wanacheza kwa watani wa jadi. Moja ya eneo ambalo sasa limekuwa gumzo na mijadala kwenye vijiwe vya kahawa hususani vile vya Simba na Yanga…

Read More