Kipa Berkane aichimba mkwara Simba

KIPA wa RS Berkane ya Morocco, Munir El Kajoui amesema kikosi chao kimetua Tanzania kwa kazi moja tu – kuhakikisha kinakamilisha kile walichokianza kwenye mechi ya kwanza ya fainali dhidi ya Simba SC wikiendi iliyopita, nchini kwao. Akizungumza kabla ya mazoezi leo, Ijumaa, ikiwa ni siku moja baada ya kikosi hicho kuwasili  Zanzibar kwa ajili…

Read More

Mbeya yasuka mipango ya kurejesha nne Bara

CHAMA cha Soka Mkoa wa Mbeya (Mrefa) kimesema kupoteza timu tatu zilizokuwa Ligi Kuu si jambo la kufumbia macho, bali inahitaji mkakati wa pamoja kurejesha heshima ya mkoa huo. Mbeya ilikuwa ikichuana na Dar es Salaam kwa kuwa na idadi kubwa ya timu nyingi Ligi Kuu, ambapo msimu wa 2021/22 ilikuwa nazo nne zikiwamo, Ihefu,…

Read More

Kapombe aelezea Waarabu watakavyokanyaga moto Amaan Complex

SIMBA ina mafaza wawili tu kwasasa na wote wapo kikosi cha kwanza. Shomari Kapombe na Mohammed Tshabalala. Wamepigwa mishale mingi lakini bado wapo imara ndani ya kikosi cha kwanza wakimpambania Mnyama. Msimu huu hatimae wamecheza fainali yao ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika ambayo inahitimishwa Jumapili kwa dakika 90 zitakazoamua nani abebe Kombe. Simba…

Read More

Srelio haitaki kurudia makosa | Mwanaspoti

BAADA ya timu ya Srelio kupoteza michezo miwili ya kwanza, kocha wa timu hiyo Miyasi Nyamoko amesema kwa mechi dhidi ya maafande wa ABC hawatarudia makosa katika vita ya Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). “Kwa kweli hadi tunafikia michezo tulizopoteza, tumeitana na tumejadiliana, ili kujua kitu kilichotungusha na tumeshajua sababu na sasa…

Read More

Kahama Sixers yaendeleza moto | Mwanaspoti

KLABU ya Kikapu ya Kahama Sixers imeanza vizuri kampeni ya kutetea taji la ubingwa wa Ligi ya Mkoa wa Shinyanga, baada ya kuifunga Risasi kwa pointi 54-46, katika mchezo uliopigwa  kwenye Uuwanja wa Kahama, mjini humo. Mara ya mwisho timu hizo zilipokutana fainali  ya  mwaka jana,  Kahama iliishinda Risasi  michezo 3-1.  Kahama Sixers ilianza mchezo kwa…

Read More

Kijiwe kinaitakia kila la kheri Simba Zenji

MNYAMA kapambana sana ili mechi yake ya marudiano ichezwe kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa badala ya New Amaan Complex, lakini ndivyo hivyo tena, bosi siku zote hakosei na huwa yuko sahihi. Katika hili, bosi ni CAF ambayo ndiye tayari imeshaamua kuwa Simba na RS Berkane mechi yao ikapigwe Zanzibar badala ya Dar es Salaam iwe…

Read More

Mkosa, Ebongo wawa kivutio BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikizidi kushika kasi,  nyota wa timu mbili tofauti, Amin Mkosa wa Dar City na Mikado Ebengo wa DSM Outsiders wameonekana kuwa kivutio katika Ligi hiyo. Kivutio cha wachezaji hao, imetokana na uwezo  wa kucheza vizuri katika nafasi wanazocheza na  kuzibeba timu zao. Wachezaji hao wote…

Read More

Jacob Massawe aamsha mastaa Namungo

NAHODHA wa Namungo, Jacob Masawe amesema licha ya kukutana na timu zilizoshuka daraja, lakini hawatadharau mechi hizo kutokana na upinzani wa timu zilizo chini yao, huku akishangazwa na historia ya alipotoka timu kupotea. Namungo ipo nafasi ya 11 kwa pointi 31 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, ambapo imebakiza mechi mbili dhidi ya KenGold na…

Read More

Kipa Kagera Sugar akiri walichemsha mapema

KIPA wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda amesema kushuka daraja kwa timu hiyo ni sawa na kifo kwa mwanadamu, lakini si kiwango kidogo kwa wachezaji, huku akifichua kushindwa kujipanga mapema na kuzinduka mwishoni ndiko kulikowagharimu. Kagera Sugar imeshuka daraja kwa mara ya kwanza tangu ilipopanda Ligi Kuu miaka 21 iliyopita. Pamoja na kushuka daraja, bado ina…

Read More