Nenda Aziz Ki hauna deni Tanzania

MAPEMA tu mwezi ujao hapa kijiweni tutakaa mbele ya runinga kumtazama Stephane Aziz Ki akikiwasha katika Kombe la Dunia la Klabu huko Marekani akiitumikia Wydad ya Morocco. Jamaa wameonyesha jeuri yao ya fedha bwana kwa kumchomoa staa na kipenzi cha Yanga ambaye tayari ameshaondoka Tanzania kwenda Morocco kuungana na miamba ya huko kwa mkataba wa…

Read More

Karibu tena Maximo changamoto zilezile

KIJIWE kimepata taarifa za uhakika kuwa, kuna uwezekano mkubwa aliyekuwa kocha kipenzi cha Watanzania Marcio Maximo akarejea nchini. Baada ya kuja mara ya kwanza kuinoa timu ya taifa, Taifa Stars na baadaye mara ya pili akaja kuifundisha Yanga, Maximo sasa anakuja kufanya kazi katika upande mwingine wa Jamhuri ya Muungano, yaani visiwa vya Zanzibar. Maximo…

Read More

Mlandege yajiweka pazuri mbio za ubingwa ZPL

MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi, Mlandege imeendelea kuufukuzia ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), baada ya kuichapa Mwenge kwa bao 1-0 katika mechi iliyopigwa jana kwenye  Uwanja wa Mao A, mjini Unguja. Bao hilo pekee lililoipa Mlandege poinri tatu muhimu lilifungwa na Mussa Hassan dakika ya 63. Licha ya Mlandege kutoka na ushindi, lakini  ilionekana…

Read More

Mlandege yajiweka pazuri mbio ubingwa ZPL

MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi, Mlandege imeendelea kuufukuzia ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), baada ya kuichapa Mwenge kwa bao 1-0 katika mechi iliyopigwa jana kwenye  Uwanja wa Mao A, mjini Unguja. Bao hilo pekee lililoipa Mlandege poinri tatu muhimu lilifungwa na Mussa Hassan dakika ya 63. Licha ya Mlandege kutoka na ushindi, lakini  ilionekana…

Read More

Kocha Simba afichua walivyofurahia Azizi Ki kutimka

KITENDO cha Aziz KI kukubali dili la kutua Wydad, atakuwa anaweka kwenye waleti mshahara wa Sh72.3 milioni kwa mwezi. Ni mara mbili ya aliokuwa akilipwa Yanga. Kingine ni kwamba mkataba wa Aziz KI na Wydad utakuwa wa miaka miwili akianza kucheza michuano ya Klabu Bingwa Dunia itakayofanyika Juni 15, 2025 hadi Julai 13, 2025, huko…

Read More

RS Berkane yatua  ikiingiwa ubaridi

WAKATI joto la fainali ya marudiano ya Kombe la Shirikisho la CAF likizidi kupanda Zanzibar, kikosi cha RS Berkane ya Morocco kimetua salama nchini, huku kikiwa na presha ya mechi ya Jumapili dhidi ya Simba itakayopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex. Kocha mkuu wa Berkane, Mtunisia Mouin Chaabani na nahodha wa timu hiyo, Issoufou…

Read More

Tanzania Prisons yajipanga upya | Mwanaspoti

KOCHA wa Tanzania Prisons, Amani Josiah amesema mapumziko ya wiki mbili aliyotoa kwa wachezaji anaamini yatawajenga na kupata nguvu mpya ya kufanya vizuri katika mechi mbili zilizosalia ikiwamo ile ya nyumbani dhidi ya Yanga. Baada ya ushindi wa mabao 2-1 ilioupata mechi ya mwisho dhidi ya Coastal Union, wachezaji wa Prisons walipewa mapumziko na wanatarajia…

Read More

Kilichoiangusha Tabora United hiki hapa

KICHAPO cha bao 1-0, ilichokipata Tabora United dhidi ya KMC FC, Mei 14, 2025, kimeifanya timu hiyo kufikisha mechi sita mfululizo za Ligi Kuu bila ya ushindi, tangu mara ya mwisho ilipoifunga Dodoma Jiji FC 1-0, nyumbani, Februari 28, 2025. Timu hiyo inayofahamika kwa jina la utani la ‘Nyuki wa Tabora’, ilianza msimu vizuri lakini…

Read More

MO Dewji atoa kauli nzito Simba kupelekwa Zanzibar

RAIS wa klabu ya Simba, Mohamed ‘MO’ Dewji, ametoa kauli nzito kuhusiana na mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kupelekwa kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar, humu akiwahamasisha wanasimba kwamba mnyama atanguruma popote na Jumapili itabeba ndoo. Simba inatarajiwa kurudiana na RS Berkane ya Morocco Jumapili ya Mei 25 baada ya…

Read More