Kilichomkuta Feitoto Azam FC | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, ameuanza vibaya mwaka huu wa 2025 tofauti na uliopita baada ya kutofunga bao lolote katika Ligi Kuu hadi sasa, licha ya kuasisti mabao manne kati ya asisti zake 13 akiwa kinara. Fei Toto ndiye mchezaji aliyefanya vizuri zaidi kwa mwaka 2024, ambapo kiungo huyo alichangia mabao…

Read More

Dau la Aziz KI laipa jeuri Yanga SC

STEPHANE Aziz KI ameipa jeuri kubwa Yanga na hiyo ni baada ya dili la kujiunga na Wydad Athletic Club ya Morocco kuhusisha kiasi kikubwa cha fedha ambacho kimeingia Jangwani. Aziz KI ambaye aliitumikia Yanga kwa misimu mitatu mfululizo anakwenda Wydad akianzia katika mashindano ya Klabu Bingwa Dunia ambapo itacheza dhidi ya Manchester City ya England,…

Read More

Simba yatembea na rekodi 7

SIMBA inapiga hesabu kuhakikisha inapindua matokeo ya kufungwa mabao 2-0 ugenini katika fainali ya mkondo wa kwanza Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ili kubeba ubingwa Jumapili, wiki hii kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Wakati hali ikiwa hivyo, kuna rekodi inaifukuzia ambayo inaonekana ni pasua kichwa. Katika mashindano yanayosimamiwa na Shirikisho…

Read More

Kitakachomtokea Pacome Yanga baada ya Aziz KI kuondoka

KUONDOKA kwa Stephane Azizi Ki Yanga kumeibua jambo kwa staa wa timu hiyo, Pacome Zouzoua. Azizi Ki ameuzwa kwenda Wydad Casablanca ya Morocco na tayari ameshaondoka nchini kujiunga na klabu hiyo inayojiandaa na Kombe la Dunia la Klabu. Kocha wa Asec Mimosas, Julie Chevalier, ametabiri kitakachomtokea Pacome ndani ya Yanga baada ya kuondoka kwa Azizi…

Read More

Sababu Dk Mwinyi kuteua wakurugenzi wapya Unguja, Pemba

Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amefanya mabadiliko ya uongozi kwa kuwateua wakurugenzi wapya wa halmashauri na manispaa 11 katika visiwa vya Unguja na Pemba. Taarifa iliyotolewa leo Mei 20, 2025 na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Mhandisi Zena Said imeeleza kuwa uteuzi huo…

Read More

JKT Queens yaivua Simba Queens ubingwa WPL

JKT Queens imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Soka Wanawake (WPL) msimu huu wa 2024/2025 baada ya leo Mei 20,2025 kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Gets Program. Ushindi huo umeifanya JKT Queens kumaliza msimu na pointi 47 sawa na Simba Queens lakini zikitofautiana mabao ya kufunga na kufungwa. Katika mchezo huo, JKT…

Read More

CAF yampa mzuka Ouma Singida Black Stars

KOCHA wa Singida Black Stars raia wa Kenya, David Ouma amesema kitendo cha kupata tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao, kwao kama benchi la ufundi, viongozi na mashabiki ni jambo kubwa la kujivunia. Timu hiyo imepata tiketi ya kushiriki michuano hiyo msimu ujao baada ya Yanga kuifunga JKT Tanzania mabao…

Read More

Mshahara mpya wa Azizi Ki kufuru tupu

DILI la kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI, kwenda Wydad Casablanca ya Morocco, limezidi kuutunisha mfuko wake kutokana na kile ambacho atakuwa akilipwa kwa mwezi. Nyota huyo raia wa Burkina Faso, anakwenda kujiunga na Wydad baada ya kukitumikia kikosi cha Yanga kwa mafanikio makubwa katika misimu mitatu, tangu Julai 15, 2022. Kitendo cha Aziz…

Read More

Asukile atoa matumaini Tanzania Prisons

STAA wa zamani wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amesema pamoja na presha iliyopo kukwepa kushuka daraja, lakini upo uwezekano wa kubaki salama Ligi Kuu kwa timu hiyo msimu ujao. Kwa sasa timu hiyo ipo nafasi ya 13 na pointi 30, imebakiwa na mechi mbili dhidi ya Yanga, Juni 18 mwaka huu (nyumbani) kisha kumalizia msimu…

Read More