Mavitu ya Hasheem Thabeet gumzo BDL

UNAAMBIWA tayari Hasheem Thabeet, yule nyota wa kikapu wa kimataifa wa Tanzania anafanya vitu vyake katika michuano ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), lakini gumzo kubwa ni ubora anaouonyesha. Lakini, mbali na ubora wa staa huyo aliyewahi kukipiga katika ile Ligi ya Kikapu Marekani (NBA) ambako kuna mastaa kama LeBron James,…

Read More

Simba yataja mambo matatu fainali kupigwa Zanzibar

Simba imetamba kuwa haina hofu yoyote kucheza mechi katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar ikiwa ni siku moja baada ya kuwatangazia mashabiki wake kuwa mechi yake ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itachezwa hapo. Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema kuwa sababu ya wao kupambana kucheza katika Uwanja wa Benjamin…

Read More

Aucho atemwa, Mukwala aitwa The Cranes

Kiungo wa Yanga, Khalid Aucho hayupo katika orodha ya wachezaji 28 walioitwa na timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’ kwa ajili ya mechi mbili za kimataifa za kirafiki dhidi ya Cameroon na Gambia zitakazochezwa mwezi ujao huko Morocco. Michezo hiyo ambayo inaonekana ni maalum kwa ajili ya kujiandaa na mashindano mbalimbali mojawapo ni Fainali…

Read More

Chikola, Yanga kuna kitu kinaendelea

INGAWA ni siri, lakini taarifa zilizoifikia Mwanaspoti ni kwamba mshambuliaji wa Tabora United, Offen Chikola na Yanga kuna kitu kinaendelea ikiwa ni mipango ya kujiandaa kwa msimu ujao. Inadaiwa tayari nyota huyo mwenye mabao saba na asisti mbili katika Ligi Kuu Bara, amesaini mkataba wa awali na Yanga iliyokuwa inamfukuzia tangu msimu huu ulipoanza. Chanzo…

Read More

Yanga SC yajifungia na Sowah Dar

WAKATI Yanga ikianza maisha mapya bila kiungo mshambuliaji, Stephane Aziz KI anayedaiwa anajidaa kwenda Wydad Casablanca ya Morocco, mabosi wa klabu hiyo wamepiga hesabu kali za kuboresha kikosi hicho kwa msimu ujao na fasta wamekutana kwa siri na mshambuliaji Jonathan Sowah kisha kuweka sawa dili la Mghana huyo kusaini. Kuna asilimia zaidi ya 85 Sowah…

Read More

Kete ya mwisho WPL leo, matokeo kuamua bingwa

MZUNGUKO wa mwisho wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) msimu wa 2024-2025 unahitimishwa leo Mei 20, 2025 kwa mechi tano kuchezwa huku Mlandizi Queens na Gets Program zikiwa tayari zimeshuka daraja. Katika kuhitimisha msimu, michezo miwili ambayo Gets Program dhidi JKT Queens na Alliance Girls dhidi Simba Queens, itaenda kuamua bingwa wa ligi hiyo kutokana…

Read More

Makocha Yanga waipa ujanja Simba fainali CAFCC

INAWEZEKANA. Ndivyo walivyosema kwa nyakati tofauti makocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael na Hans van der Pluijm wakiamini Simba inaweza kupindua matokeo ya mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayopigwa nchini wikiendi hii. Vijana wa Fadlu Davids wanahitaji ushindi wa mabao 3-0 ili…

Read More

Aziz KI aacha alama 5

STEPHANIE Aziz KI ameshatimka rasmi nchini baada ya Yanga kufikia makubaliano ya kumuuza katika klabu ya Wydad Athletic ya Morocco ambayo anaenda nayo kuzivaa Manchester City na Juventus katika Kombe la Dunia la Klabu mwezi ujao huko Marekani. Kuondoka kwa Azizi KI kunahitimisha msimu mitatu ya kiungo huyo aliyesajiliwa na Yanga akiwa mchezaji huru baada…

Read More

Yao afanyiwa upasuaji Tunisia | Mwanaspoti

YANGA imefanya uamuzi mgumu wa kumpeleka beki wa kulia, Yao Kouassi kufanyiwa upasuaji kutokana na tatizo la muda mrefu alilonalo la goti lililomuweka nje ya uwanja. Yao alifanyiwa upasuaji wiki iliyopita wa goti la kushoto baada ya awali kupona jeraha la kifundo cha mguu na nyama za paja, lililomfanya akose mechi kadhaa za timu hiyo….

Read More

Nangu: Kumkaba Pacome, ufanye kazi muda wote

JKT Tanzania imekwama katika mbio za kusaka tiketi ya michuano ya CAF baada ya kufungwa mabao 2-0 na Yanga katika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), huku beki Wilson Nangu akisema kumkaba Pacome Zouzoua inahitaji umakini mkubwa. Beki huyo chipukizi ameliambia Mwanaspoti kuwa kiungo mshambuliaji huyo wa Yanga ni mchezaji mwenye kasi na akili…

Read More