Kete ya mwisho WPL leo, matokeo kuamua bingwa

MZUNGUKO wa mwisho wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) msimu wa 2024-2025 unahitimishwa leo Mei 20, 2025 kwa mechi tano kuchezwa huku Mlandizi Queens na Gets Program zikiwa tayari zimeshuka daraja. Katika kuhitimisha msimu, michezo miwili ambayo Gets Program dhidi JKT Queens na Alliance Girls dhidi Simba Queens, itaenda kuamua bingwa wa ligi hiyo kutokana…

Read More

Makocha Yanga waipa ujanja Simba fainali CAFCC

INAWEZEKANA. Ndivyo walivyosema kwa nyakati tofauti makocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael na Hans van der Pluijm wakiamini Simba inaweza kupindua matokeo ya mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayopigwa nchini wikiendi hii. Vijana wa Fadlu Davids wanahitaji ushindi wa mabao 3-0 ili…

Read More

Aziz KI aacha alama 5

STEPHANIE Aziz KI ameshatimka rasmi nchini baada ya Yanga kufikia makubaliano ya kumuuza katika klabu ya Wydad Athletic ya Morocco ambayo anaenda nayo kuzivaa Manchester City na Juventus katika Kombe la Dunia la Klabu mwezi ujao huko Marekani. Kuondoka kwa Azizi KI kunahitimisha msimu mitatu ya kiungo huyo aliyesajiliwa na Yanga akiwa mchezaji huru baada…

Read More

Yao afanyiwa upasuaji Tunisia | Mwanaspoti

YANGA imefanya uamuzi mgumu wa kumpeleka beki wa kulia, Yao Kouassi kufanyiwa upasuaji kutokana na tatizo la muda mrefu alilonalo la goti lililomuweka nje ya uwanja. Yao alifanyiwa upasuaji wiki iliyopita wa goti la kushoto baada ya awali kupona jeraha la kifundo cha mguu na nyama za paja, lililomfanya akose mechi kadhaa za timu hiyo….

Read More

Nangu: Kumkaba Pacome, ufanye kazi muda wote

JKT Tanzania imekwama katika mbio za kusaka tiketi ya michuano ya CAF baada ya kufungwa mabao 2-0 na Yanga katika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), huku beki Wilson Nangu akisema kumkaba Pacome Zouzoua inahitaji umakini mkubwa. Beki huyo chipukizi ameliambia Mwanaspoti kuwa kiungo mshambuliaji huyo wa Yanga ni mchezaji mwenye kasi na akili…

Read More

Makocha Yanga waipa ujanja Simba

INAWEZEKANA. Ndivyo walivyosema kwa nyakati tofauti makocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael na Hans van der Pluijm wakiamini Simba inaweza kupindua matokeo ya mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayopigwa nchini wikiendi hii. Vijana wa Fadlu Davids wanahitaji ushindi wa mabao 3-0 ili…

Read More

Winga Mbongo atambulishwa Ujerumani | Mwanaspoti

WINGA wa Kitanzania, Emma Lattus ametambulishwa kwenye kikosi cha timu ya Borussia Monchengladbach inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Ujerumani akitokea FC Koln 2. Mwanadada huyo anakuwa Mtanzania wa kwanza kuitumikia ligi ya Ujerumani kwa upande wa wanawake. Licha ya nyota huyo (18) mwenye asili ya nchi mbili, Tanzania na Ujerumani, klabu hiyo inamtambua kama Mtanzania….

Read More

Alliance v Ceasiaa vita ya ‘Top 5’ WPL

ACHANA na vita ya ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake kati ya JKT Queens na Simba Queens, kuna mchuano mwingine mkali wa kuwania nafasi ya tano kati ya Alliance Girls na Ceasiaa Queens. Hadi sasa nafasi ya tatu ambayo iko Yanga Princess na nne Mashujaa Queens zimejihakikishia nafasi hizo kutokana na pointi zao haziwezi kufikiwa…

Read More

Simba Queens yaanza na straika

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake, Simba Queens wameanza kumfuatilia mshambuliaji wa CBE na timu ya taifa ya Ethiopia, Senaf Wakuma. Inaelezwa timu hiyo wakati wa usajili itapitisha fagio kwa wachezaji takribani saba ikiwemo eneo la ushambuliaji ili kusajili nyota wapya. Hata hivyo, kocha wa timu hiyo, Yussif Basigi inaelezwa pia hatakuwa sehemu ya…

Read More

Rekodi ya Aisha Masaka pasua kichwa WPL

IMEPITA miaka minne sasa bila rekodi ya Aisha Masaka aliyetimkia Brighton & Hove Albion kuvunjwa katika Ligi Kuu Wanawake ya kufunga mabao mengi. Msimu 2020/21 Masaka aliibuka mfungaji bora wa WPL akiweka kambani mabao 35 akiwa mzawa wa mwisho kufunga mabao hayo. Tangu hapo msimu uliofuata Mrundi wa Simba Queens, Asha Djafar alifunga mabao 27,…

Read More