Viwanja vitano kufanyiwa ukarabati kuelekea AFCON 2027

Serikali imethibitisha rasmi mpango wa kujenga na kukarabati viwanja mbalimbali vya michezo nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuandaa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027, pamoja na juhudi za kuendeleza sekta ya michezo nchini. Kauli hiyo imetolewa leo bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro,…

Read More

Viwanja vitano kufanyiwa ukarabati kuelekea AFCON 2017

Serikali imethibitisha rasmi mpango wa kujenga na kukarabati viwanja mbalimbali vya michezo nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuandaa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027, pamoja na juhudi za kuendeleza sekta ya michezo nchini. Kauli hiyo imetolewa leo bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro,…

Read More

Yanga yamuuza rasmi Aziz KI, acheza mechi ya mwisho

Kama umemuona kiungo Stephanie Aziz KI uwanjani leo akiichezea Yanga basi umebahatika kumtazama kwa mara ya mwisho kiungo huyo akiwa na jezi ya timu hiyo. Yanga leo Jumapili imemuaga rasmi kiungo huyo uwanjani na wakati wowote kuanzia sasa atatimka kwenda kujiunga na klabu mpya huko Afrika Kaskazini. Taarifa ya uhakika ni kwamba, Yanga itamuuza Aziz…

Read More

Kocha KMC, Mubesh aona mwanga Ligi Kuu

KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema ameona mwanga tangu aanze kukinoa kikosi hicho, huku akisema kilichobadilika kwa sasa ni mipango tu na anafurahia ushindi alioupata dhidi ya Tabora United. Mei 14, mwaka huu ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora, KMC iliichapa Tabora United bao 1-0 lililotokana na penalti ya dakika…

Read More

Yanga yatangulia fainali FA, ikiizima JKT TZ kibabe

WATETEZI wa michuano ya Kombe la Kombe la Shirikisho (FA), Yanga jioni ya leo Jumapili, imeizima JKT Tanzania kwa kuichapa mabao 2-0 katika mechi ya nusu fainali ya michuano hiyo na kutinga fainali, sasa ikisubiri mshindi wa nusu fainali nyingine kati ya Simba na Singida Black Stars. Yanga ilipata ushindi huo kwenye Uwanja wa Mkwakwani,…

Read More

Pandya arudi mbio za magari

BINGWA wa zamani wa mbio za magari nchini, Dharam Pandya ametangaza rasmi kurudi mchezoni na atakuwa mmoja wa washiriki katika mbio za ufunguzi wa msimu mkoani Iringa mwishoni mwa juma. Yakijulikana kama Mkwawa Rally of Iringa, mashindano haya ya siku mbili yatachezwa mkoani Iringa Mei 24 na 25 mwaka huu yakishirikisha madereva kutoka ndani na…

Read More

Kigogo TFF atia neno fainali CAFCC kuchezwa Zanzibar

SIMBA imerejea nchini ikitokea Morocco ilikopoteza mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mbele ya RS Berkane kwa mabao 2-0, lakini kuna taarifa moja ngumu ambayo hakuna namna lazima waichukue na kujipanga kuhusu pambano la marudiano la fainali hiyo. Kila shabiki wa Simba na mzalendo anatamani kusikia Wekundu hao hao wanapewa ruhusa…

Read More

Gets Program yaungana na Mlandizi

HATIMAYE Gets Program imeungana na Mlandizi Queens kushuka daraja Ligi Kuu ya Wanawake baada ya kukusanya pointi 10 kwenye mechi 17. Imesalia mechi moja ya kumaliza msimu wa 2024/25 na Gets imeshuka rasmi baada ya kushinda mechi mbili. Kwenye mechi 17 imetoa sare nne na kupoteza 11 ikifunga mabao 11 na kuruhusu 46. Timu zote…

Read More