Gamondi ajipanga upya Afrika | Mwanaspoti

SINGIDA Black Stars imetinga raundi ya pili ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuing’oa Rayon Sports ya Rwanda kwa ushindi wa jumla wa mabao 3-1, huku kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi akisema anajipanga upya ili kuhakikisha wanafuzu hatua ya makundi. Gamondi mwenye rekodi ya kuifikisha Yanga katika hatua ya makundi ya…

Read More

Msimu wa Kelvin John Denmark

MSHAMBULIAJI wa AaB Fodbold ya Denmark, Kelvin John licha ya timu yake hiyo kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Lyngby Boldklub amezidi kuwa bora na amesema huu ni msimu wake wa kuonyesha kiwango bora. Jana, timu ya Mtanzania huyo ilipoteza mabao 2-1 dhidi ya Lyngby Boldklub kwenye muendelezo wa Ligi Daraja la Kwanza Denmark na…

Read More

10 Taekwondo wafaulu ukocha kimataifa

MAKOCHA 10 kati ya 30 wamefaulu kozi ya ukocha wa Taekwondo inayotambuliwa na Shirikisho la mchezo huo la Dunia. Kozi hiyo iliyofanyika kwenye kituo cha Olympafrica kilichopo Kibaha, Pwani iliendeshwa na mkufunzi kutoka Shirikisho la Taekwondo la Dunia, Dk Jun Cheol Yoon. Yoon ambaye pia ni Mwenyekiti wa Waamuzi wa mchezo huo duniani amesema ambacho…

Read More

Vohra, Karan waitwa Guru Nanak Rally

CHAMA kinachosimamia mchezo wa mbio za magari nchini (AAT) kimemtangaza dereva Ahmed Huwel kuwa kinara wa msimamo wa mbio za kusaka taji la taifa kwa mwaka huu. Kwa mujibu wa msimamo wa AAT, Huwel, ambaye ameingia na gari isiyokamatika ya Toyota Yaris, anaongoza akiwa na pointi 105 na kumuacha mpinzani wake wa karibu, Randeep Singh…

Read More

Riadha inalipa…Simbu ajazwa mamilioni, nyumba

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemkabidhi mwanariadha Alphonce Simbu hundi ya Sh20 milioni kwa kuitangaza vyema Tanzania baada ya kushinda medali ya dhahabu katika michuano ya Mbio za Riadha za Dunia zilizofanyika hivi karibuni, jijini Tokyo Japan huku akiahidiwa kupewa nyumba na Rais Samia Suluhu Hassan. Fedha hizo zilizotolewa na serikali kama ‘asante’ kwa…

Read More

Bado Watatu – 42 | Mwanaspoti

SAA mbili na nusu asubuhi niliwasili kwenye nyumba namba 313 iliyokuwa eneo la Chuda. Ilikuwa ni asubuhi ya siku ya pili, ambapo jana yake tulikwenda katika hospitali ya Muheza kuzungumza na askari mstaafu aliyetupa siri ya kuachiwa kwa kina Unyeke.Mtu tuliyekuwa tunamtuhumu kuhusika na mauaji ya kina Unyeke, Thomas Christopher, aliandikisha katika usajili wa laini…

Read More

Kocha Yanga apata shavu Morocco

ALIYEKUWA kocha wa viungo wa Yanga, Taibi Lagrouni amejiunga na kikosi cha Olympique de Safi cha Morocco baada ya mtaalamu huyo kuondoka kwa mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2024-2025 kutokana na mkataba wake kumalizika. Lagrouni alijiunga na Yanga Julai 18, 2023 na kukitumikia kikosi hicho kwa mkataba wa miaka miwili, ambapo…

Read More

Simba, Azam moto wa CAF umewashwa

JANA Yanga na Singida Black Stars zilikamilisha vibarua vya mechi za marudiano katika michuano ya kimataifa, lakini leo ni zamu ya Simba na Azam.Timu hizo zinaingia uwanjani zikiwa na mtaji wa ushindi baada ya kufanya vizuri wikiendi iliyopita zikiwa ugenini ambapo pia hazikuruhusu mabao.Simba inayoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika inaikaribisha Gaborone United kwenye Uwanja wa…

Read More

Singida BS yapeta CAF ikiitandika Rayon Sports

WANA fainali ya Kombe la FA msimu uliopita, Singida Black Stars, imefuzu hatua ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuitandika Rayon Sports ya Rwanda kwa jumla ya mabao 3-1. Ushindi huo umetokana na leo Singida Black Stars kushinda mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam ikiwa ni…

Read More