Mukwala, Aucho upepo umebadilika, warejeshwa The Cranes

SIKU tatu tu tangu kikosi cha timu ya taifa ya Uganda The Cranes kutangwazwa huku majina ya nyota wa zamani wa Yanga, Khalid Aucho na mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala kutojumuishwa upepo umebadilika kwa wachezaji hao. Taarifa kutoka Uganda zinasema kuwa, nyota hao wameongezwa katika kikosdi hicho kinachojiandaa na mechi mbili za kuwania kufuzu fainali…

Read More

Rekodi ya Namungo CAF yamvutia Makambo

MSHAMBULIAJI mpya wa Namungo, Heritier Makambo amesema alichovutiwa kujiunga na Namungo ni pamoja na rekodi yao kimataifa na anatamani aandike historia nyingine akiwa na timu hiyo. Makambo alijiunga na Namungo dirisha hili la usajili akitokea Tabora United alipofunga mabao sita na asisti nne. Akizungumza na Mwanaspoti, Makambo amesema ukiachana na ofa nzuri aliyowekewa, lakini rekodi…

Read More

CHAN ilivyoisha na utamu wake

ACHANA na matokeo ya fainali ya mashindano ya CHAN 2024 iliyopigwa jana kati ya Morocco na Madagascar, lakini kipute hicho kilichoanza Agosti 2 – 30, 2025 kwa mara ya kwanza kilihusisha nchi tatu wenyeji ikiwa ni Kenya, Tanzania na Uganda, lakini kimeweka historia mpya kwa kuvunja rekodi mbalimbali. Hii ilikuwa ni hatua kubwa katika kukuza…

Read More

Bado Watatu – 14

Hebu fikiria kuwa wewe ni mpelelezi. Kuna mtu amenyongwa na wasiojulikana, lakini aliyenyongwa siku hiyo, ndiye yule ambaye alishanyongwa hadi akafa miaka miwili iliyopita kwa hukumu ya mahakama kutokana na kosa la kuua! Uchunguzi wa polisi unaonyesha kuwa mtu aliyegunduliwa amemnyonga mwenzake naye alishauawa kwa kunyongwa miaka miwili ilipita!

Read More

Mwihambi kurejesha majeshi Mtibwa Sugar

BEKI wa kati, Vedastus Mwihambi yupo mbioni kurejea Mtibwa Sugar, baada ya mkataba wake na Tanzania Prisons kumalizika, ambapo mazungumzo baina ya pande zote mbili yapo katika hatua nzuri zaidi. Nyota huyo anarejea Mtibwa Sugar ikiwa ni misimu miwili imepita tangu aondoke ndani ya kikosi hicho msimu wa 2022-23 na kujiunga na Ihefu ambayo kwa…

Read More

Ibenge: Subirini mechi ya kwanza muone!

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema timu yake bado inaendelea kujifua kwa ushindani na itakuwa tayari siku ya mechi ya kwanza ya michuano iliyo mbele yao. Timu inatarajia kuvaana na Al Merrikh Bentiu ya Sudan Kusini katika Kombe la Shirikisho Afrika mechi ambayo imepangwa kuchezwa Septemba 19 na marudiano ni Septemba 26 katika…

Read More

Mtambo wa mabao Yanga unasukwa

NI takribani siku 17 zimebaki kuanzia leo, Agosti 31, 2025 hadi Septemba 16, 2025 itakaposhuhudiwa mechi ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Simba kuashiria kufunguliwa kwa msimu wa 2025-26. Wakati mchezo huo ukisubiriwa kwa hamu kubwa, huko kambini Yanga kocha mkuu wa kikosi hicho, Romain Folz amekuwa bize kuimarisha kikosi chake huku kubwa…

Read More

‘X-Factor’ ya Fadlu ni hii!

KATI ya vitu ambavyo kocha wa Simba, Fadlu Davids vinampasua kichwa ikiwa ni siku chache tu kabla ya kuanza msimu mpya wa 2025/26 ni pamoja na mchezaji mwenye sifa ya kuamua mchezo, ambapo katika mahojiano yake kabla ya kurejea Dar alitumia neno la Kiingereza ‘X-Factor’. Mwanaspoti linajua kwamba mchezaji anayemtaka Fadlu ni mtu anatakayecheza pale…

Read More

Morocco yaweka rekodi CHAN ikitwaa ubingwa 

MOROCCO imeweka rekodi mpya katika michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya kutwaa taji la tatu ikiwa ndiyo timu iliyochukua mara nyingi zaidi. Rekodi hiyo imeiweka kufuatia ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Madagascar katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Agosti 30, 2025 kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi uliopo…

Read More