Mynaco ataja ugumu Ligi ya Wanawake nchini Misri

KIUNGO wa Zed FC inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Misri, Maimuna Hamis ‘Mynaco’ amesema msimu huu umekuwa bora kwake kutokana na ushindani ulioongezeka kwenye ligi hiyo. Mynaco alijiunga na timu hiyo msimu wa 2023 akitokea Yanga Princess ambayo ilimuuza kwenda nchini Misri. Kiungo huyo wa zamani wa Simba Queens, Yanga Princess na JKT Queens huu…

Read More

Kisa kuikimbia JKT, Fountain kukutana na rungu

BAADA ya Fountain Gate Princess kugomea kuendelea na mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake juzi dhidi ya JKT Queens, itakumbana na adhabu ya kutozwa faini ya Sh 2 Milioni na kupokonywa ushindi. Kwa mujibu wa kanuni ya 33 kifungu cha sita kinaeleza kuwa timu yeyote itakayogomea kuendelea na mechi itapigwa faini ya kiasi hicho na…

Read More

Novatus asaka historia ya Samata Ulaya

MBWANA Samatta anajiandaa kuandikia historia binafsi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kushiriki michuano ya Ulaya zaidi ya mara moja baada ya timu yake ya PAOK FC ya Ugiriki kushindwa kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya na kuangukia katika Europa League msimu ujao, jambo ambalo Mtanzania mwingine Novatus Miroshi anayekipiga Goztepe ya Uturuki anafukuzia pia. Msimu wa…

Read More

Chama la Kelvin John hatihati kushuka daraja

IMESALIA mechi moja kujua hatma ya chama la mshambuliaji wa Kitanzania, Kelvin John kushuka daraja rasmi. John anayekipiga Aalborg Ligi Daraja la Kwanza nchini Denmark timu yake iko mkiani mwa msimamo ikiwa na pointi 24, sawa na Lyngby ikiwa na tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa. Mechi ya mwisho dhidi ya Lyngby itakayopigwa Mei…

Read More

Hasanoo: Simba hii ni bora kuliko zote

BERKANE: KATIBU mkuu wa zamani wa Simba, Hassan Hassanoo ametazama vizazi vitano tofauti vya Simba vilivyotikisa kimataifa, lakini amekichagua cha sasa kuwa bora zaidi. Hassanoo amesema alikiona kizazi kilichofika hatua ya nusu fainali ya Klabu Bingwa Afrika 1974, kilichotinga fainali ya Kombe la CAF 1993, kilichoingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2003,…

Read More

Yanga, JKT zashika tiketi ya Azam CAF

LEO, JUMAPILI Yanga inacheza na JKT Tanzania mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga huku dakika 90 zikikamilika kutakuwa na mambo matatu yamepatiwa majibu. Mchezo huo uliopangwa kuanza saa 10:00 jioni, unawakutanisha mabingwa watetezi Yanga wanaolisaka taji hilo kwa mara ya nne mfululizo, inakutana na JKT Tanzania inayolifukuzia…

Read More

Simba yakomaa na hoja 3 nzito CAF

BERKANE: UONGOZI wa Simba baada ya kupata taarifa ya kubadilishwa ghafla kwa uwanja ambao utatumika kwa mechi yao ya nyumbani ya hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane, ulifanya kikao kizito hapa Morocco kujadili jambo hilo. Kikao hicho ambacho kilihusisha pia kupeana taarifa ya maandalizi ya mchezo wa kwanza ugenini…

Read More

Nondo za kuibeba Simba uwanja wa nyumbani

MCHEZO wa fainali ya mkondo wa kwanza Kombe la Shirikisho Afrika baina ya RS Berkane dhidi ya Simba ulimalizika nchini Morocco, na sasa ni kuuendea ule wa marudiano utakaochezwa Tanzania, Jumapili ijayo. Wakati Simba ikiwa kwenye mawazo ya nini kinapaswa kufanyika mechi ya marudiano ili kubeba ubingwa wa michuano hiyo kwa mara ya kwanza, kuna…

Read More

KVZ yaizima Malindi, ikiingia vita ya ubingwa

MAAFANDE wa KVZ jana imeizima Malindi kwa mabao 2-1 na kuchupa hadi nafasi ya pili kutoka ya nne ikiingia katika vita ya ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Ushindi huo uliopatikana kwenye Uwanja wa Mao A umeifanya KVZ kufikisha pointi 47, moja pungufu na ilizonazo Mafunzo inayoongoza msimamo ambayo nayo jana ilibanwa mbavu na Zimamoto…

Read More