Simba yakomaa na hoja 3 nzito CAF

BERKANE: UONGOZI wa Simba baada ya kupata taarifa ya kubadilishwa ghafla kwa uwanja ambao utatumika kwa mechi yao ya nyumbani ya hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane, ulifanya kikao kizito hapa Morocco kujadili jambo hilo. Kikao hicho ambacho kilihusisha pia kupeana taarifa ya maandalizi ya mchezo wa kwanza ugenini…

Read More

Nondo za kuibeba Simba uwanja wa nyumbani

MCHEZO wa fainali ya mkondo wa kwanza Kombe la Shirikisho Afrika baina ya RS Berkane dhidi ya Simba ulimalizika nchini Morocco, na sasa ni kuuendea ule wa marudiano utakaochezwa Tanzania, Jumapili ijayo. Wakati Simba ikiwa kwenye mawazo ya nini kinapaswa kufanyika mechi ya marudiano ili kubeba ubingwa wa michuano hiyo kwa mara ya kwanza, kuna…

Read More

KVZ yaizima Malindi, ikiingia vita ya ubingwa

MAAFANDE wa KVZ jana imeizima Malindi kwa mabao 2-1 na kuchupa hadi nafasi ya pili kutoka ya nne ikiingia katika vita ya ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Ushindi huo uliopatikana kwenye Uwanja wa Mao A umeifanya KVZ kufikisha pointi 47, moja pungufu na ilizonazo Mafunzo inayoongoza msimamo ambayo nayo jana ilibanwa mbavu na Zimamoto…

Read More

Maajabu ya mpaka wa Morocco na Algeria

Berkane: MOROCCO na Algeria ni nchi zinazopakana lakini kwa muda mrefu zimekuwa na mgogoro wa kisiasa sababu kubwa ikiwa ni kugombea ardhi baina ya nchi hizo mbili. Miongoni mwa miji ya Morocco ambayo inapakana na Algeria ni Oujda ambao Simba ilifikia na kuweka kambi ya muda kabla ya kucheza fainali na RS Berkane kwenye Uwanja…

Read More

Hivi ndivyo vyakula pendwa Morocco

Berkane: KILA nchi ina utamaduni wake na vyakula, kuna wakati huwa ni utambulisho wa nchi au jamii fulani. Kama ilivyo kwa jamii ya Kihaya ambayo ndizi zilizochanganywa na maharage ndiyo chakula kinachoitambulisha, kwa hapa Morocco vipo vyakula viwili ambavyo vinapendwa kwa kiasi kikubwa na jamii ya yao. Vyakula hivyo viwili vya kitamaduni vya Morocco ni…

Read More

Kocha KMC, Mubesh aona mwanga KMC

KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema ameona mwanga tangu aanze kukinoa kikosi hicho, huku akisema kilichobadilika kwa sasa ni mipango tu na anafurahia ushindi alioupata dhidi ya Tabora United. Mei 14, mwaka huu ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora, KMC iliichapa Tabora United bao 1-0 lililotokana na penalti ya dakika…

Read More

Chikola azichambua dakika 540 ngumu Tabora

FEBRUARI 28, 2025, ndiyo ilikuwa siku ya mwisho kwa Tabora United kupata ushindi katika Ligi Kuu Bara, baada ya hapo imecheza mechi sita mfululizo sawa na dakika 540 ikiambulia vichapo huku kiungo wa kikosi hicho, Offen Chikola akitoa neno. Timu hiyo inayoshika nafasi tano kwenye msimamo wa ligi ikikusanya pointi 37, mara ya mwisho kuapata…

Read More