Fountain yaziwekea mkakati pointi 6

KIKIOSI cha Fountain Gate chini ya kocha Khalid Adam, leo Jumapili kinarejea kwenye uwanja wa mazoezi kwaajili ya kujiweka tayari kwa dakika 180 zitakazoamua hatma yao. Fountain Gate ipo nafasi ya 14 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kucheza mechi 28 ikifanikiwa kukusanya pointi 29, ina kibarua kigumu kuhakikisha inakwepa mtego wa kucheza…

Read More

Kocha mpya KMC, Mubesh aona mwanga KMC

KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema ameona mwanga tangu aanze kukinoa kikosi hicho, huku akisema kilichobadilika kwa sasa ni mipango tu na anafurahia ushindi alioupata dhidi ya Tabora United. Mei 14, mwaka huu ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora, KMC iliichapa Tabora United bao 1-0 lililotokana na penalti ya dakika…

Read More

Wakazi Dodoma kupata tiba nyuki bure

Dodoma. Katika kuwawezesha watu wengi kupata tiba nyuki, Wizara ya Maliasili na Utalii imetangaza kutoa matibabu hayo bure kwa siku tatu jijini Dodoma. Matibabu ya nyuki yamekuwa maarufu katika siku za karibuni ambapo watu wamekuwa wakitozwa Sh10,000 na kuendelea kwa tiba mara moja. Akizungumza leo Jumamosi Mei 17, 2025, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk…

Read More

Kinachombeba Lazaro Coastal hiki hapa

KOCHA wa Coastal  Union, Joseph Lazaro amesema uzalendo mkubwa alionao na kuuonyesha kwa timu hiyo, umemfanya awe tegemeo la Wagosi wa Kaya huku akisema imembeba na kumtambulishwa ndani na nje ya mkoa huo, kuipenda kazi na anatamani kuona wachezaji wanazifikia ndoto zao. Kitendo cha kuifundisha timu hiyo ambayo alikuwa sehemu ya kunyakua ubingwa wa Ligi…

Read More

Mwalimu kutesti na Sevilla, Porto

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Wydad Casablanca ya Morocco, Selemani Mwalimu Abdallah ‘Gomez’ anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi kitakachocheza mechi mbili dhidi ya Sevilla ya Hispania na Porto kutoka Ureno. Kwa mujibu wa tovuti ya Wydad, timu hiyo itacheza mechi mbili za kirafiki kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya Klabu Bingwa ya Dunia…

Read More

Dar City, Pazi BDL kama Simba, Yanga

LICHA ya juzi kuchezwa mechi tofauti za Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) iliyokuwa na mvuto, msisimko na kujaza mashabiki katika viwanja vya  Don Bosco Upanga ni ile iliyohusisha Dar City na Pazi. Timu hizo zina wachezaji mastaa wa ndani na nje mfano Dar City kati ya waliocheza alikuwepo Hasheem Thabeet aliyecheza…

Read More

Dakika 90 ngumu Yanga, JKT

KIKOSI cha Yanga tayari kipo jijini Tanga kwa ajili ya pambano la nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), huku kocha mkuu wa timu hiyo, Miloud Hamdi akisema wana dakika 90 ngumu dhidi ya JKT Tanzania akirejea kilichowakuta katika mechi ya mwishoni katika Ligi Kuu Bara. Yanga na maafande hao wa JKT zitavaana kwenye Uwanja…

Read More

Fainali ya kibabe, Ahoua, Kibu kazi kwao

BADO saa chache kabla ya Simba kushuka uwanjani kuvaana na RS Berkane ya Morocco kwenye pambano la kwanza la fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku washambuliaji wawili wanaoongoza kwa mabao kikosini Jean Charles Ahoua na Kibu Denis wakiwa na kazi mbili muhimu leo. Nyota hao kila mmoja ana mabao matatu wakichuana na wengine kadhaa…

Read More

Mbetie Barcelona na ushinde zawadi kabambe kama: kompyuta mpakato za MacBook Pro 14, simu janja za iPhone 16 Pro Max na zaidi!

Hatua ya mwisho ya Barca 1xAccelerate – promosheni ya kipekee kutoka kwa kampuni ya kimataifa ya kubashiri ya 1xBet – inaanza hivi karibuni. Usikose nafasi yako ya kushinda zawadi kubwa! Zawadi gani 1xBet inatoa? Mtoa huduma wa mikeka anayeaminika ameandaa vifaa vya kisasa, jezi za michezo, na codes za promosheni kwa wateja wake. Orodha ya zawadi…

Read More