Maxime azipigia hesabu dakika 180

KIPIGO cha mabao 5-0 ilichopata Dodoma Jiji kutoka kwa Azam FC ni kama kimemshtua kocha Mecky Maxime, aliyeliambia Mwanaspoti kwamba kwa sasa anajipanga kiufundi ili kukuhakikisha anazitumia mechi mbili zilizosalia ambao ni sawa na dakika 180 kujiokoa kucheza play off. Maxime alisema katika kuhakikisha kila kitu kinakuwa sawa ameamua kutoa likizo fupi ya wiki mbili…

Read More

Julio akoleza mzuka Morocco | Mwanaspoti

KOCHA Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ni miongoni wa Wanasimba walioambatana na timu hiyo kuja hapa Morocco na kukoleza mzuka kabla ya mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane, Jumamosi ijayo na kama kawaida yake amekoleza mzuka kwa kuhamasisha mastaa. Mechi hiyo itachezwa saa 1:00 usiku kwa saa za hapa…

Read More

Sababu za mechi ya marudiano kupigwa Zenji

TAARIFA mbaya kwa Simba ni Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limeuondoa mechi ya marudiano ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na RS Bekrane kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa hadi New Amaan, Zanzibar. Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi ijayo na awali ilikuwa ilikuwa ipigwe Kwa Mkapa na wenyeji Simba walishaanza kuuza baadhi…

Read More

Waarabu wataka mwingine Yanga | Mwanaspoti

WAARABU ni kama wamenogewa na mastaa wa Yanga. Wameanza na Stephane Aziz KI. Kiungo mshambuliaji huyo ametajwa kuwindwa na Wydad Casablanca mwishoni mwa msimu. Kisha Clement Mzize naye kutajwa kuwindwa na timu kadhaa za Kiarabu. Lakini mambo yakiwa hivyo, sasa inadaiwa, kiungo Duke Abuya ambaye amekiwasha sana, ameingia anga ya JS Kabylie ya Algeria iliyoanza…

Read More

Moussa Camara atafutiwa dawa Morocco

MABAO ya mbali ambayo kipa Moussa Camara amekuwa akifungwa msimu huu yamelishtua benchi la ufundi la Simba ambalo sasa limeonekana kuwa makini kutafuta dawa ya kutibu tatizo hilo kabla ya kesho kushuka uwanjani ugenini dhidi ya RS Berkane katika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Camara ameruhusu mabao 17 katika mechi za mashindano yote ikiwamo…

Read More

Kahama Sixers, Risasi vita nzito Shinyanga

Kahama Sixers na Risasi zinatarajiwa kucheza Jumapili mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya Mkoa wa Shinyanga. Katika fainali ya mwaka jana, Kahama Sixers iliishinda Risasi michezo 2-1 na katika mchezo wa kwanza ilishinda pointi 67-62. mchezo wa pili, Risasi ilishinda kwa pointi 102-100, huku Kahama Sixers ikishinda katika mchezo wa tatu kwa pointi 87-60. Kamishina…

Read More

KMC impe imani Mbwana atawabeba

WAKATI KMC inaamua kufikia makubaliano ya kuachana na Kocha Kally Ongala, wasiwasi mkubwa ulitanda hapa kijiweni tukifikiria hatima ya timu hiyo. Maana kocha Kally aliondoka huku timu hiyo ikiwa imebakiza mechi nne ngumu huku ikiwa haipo katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa Ligi Kuu maana ilikuwa nafasi ya 11. Maana yake ingefanya vibaya katika mechi…

Read More