Baada ya Vijana kuifinya Savio UDSM, Stein kazi ipo

KIWANGO cha chini kilichoonyeshwa na Savio kilisababisha ifungwe na Vijana ‘City Bulls’ kwa pointi 70-50, katika Ligi ya kikapu Dar es Salaam inayofanyika katika Uwanja wa Donbosco, Upanga. Savio iliyowahi kuwa bingwa wa  ligi hiyo ya BDL 2015, 2016, 2017, 2018 na 2021, ilishindwa kuonyesha makali yao kama ilivyozoeleka. Katika mchezo huo, ilionekana haijajianda vizuri…

Read More

Yacouba…Alitumia mamilioni kutibu goti | Mwananchi

“Ilikuwa kwenye mchezo wa timu yangu Tabora United dhidi ya KMC, nakumbuka nilimpiga chenga beki nikiwa nataka kwenda kufunga nikateleza vibaya mguu wangu wa kushoto ukageuka, nikasikia maumivu makali eneo la goti, nikaona labda ni kitu kidogo. Nikajaribu kuinuka lakini maumivu yakawa makali zaidi.” Haya ni maneno ya kiungo mshambuliaji wa Tabora United, Yacouba Songne…

Read More

Watakaowavaa kina Ronaldinho hawa hapa

WACHEZAJI wakongwe wa soka visiwani Zanzibar watakaovaa na mastaa wa zamani wa Brazili wamefahamika baada ya waratibu wa pambano hilo lililopewa jina la ‘Match of the Legends’ kuweka hadharani leo Alhamisi visiwani hapa. Mechi ya kimataifa ya kirafiki baina ya wachezaji hao wa zamani wa Brazili wakiongozwa na Ronaldo de Assis Moreira ‘Ronaldinho Gaucho’ dhidi…

Read More

Ateba, Mukwala waachiwa msala Morocco

SIMBA imeanza mazoezi ikiwa katika mji wa Jadida uliopo ndani ya jiji la Casablanca, Morocco ikijiandaa na pambano la kwanza la fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya BRS Berkane litakalopigwa kwenye Uwanja wa Manispaa ya Berkane. Mechi hiyo ya ugenini itakayopigwa kuanzia saa 4:00 usiku inasubiriwa kwa hamu na mashabiki wengi wa soka…

Read More

Yanga ijipange hasa kwa Mokwena

TUMEONA na kusikia tetesi miongoni mwa makocha ambao Yanga inawapigia chapuo kurithi mikoba ya Miloud Hamdi ni aliyekuwa Kocha wa Wydad Casablanca, Rulani Mokwena. Habari hii imetusisimua wengi hapa maskani maana Mokwena ni kocha mkubwa sana Afrika hivi sasa na wasifu wake unajieleza wala hakuna haja na sababu ya kubishana katika hilo. Hauwezi kusema kocha…

Read More

Haji Mnoga asaini mwaka mmoja England

BEKI wa Salford City na timu ya Taifa, Taifa Stars, Haji Mnoga ameongezewa mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kusalia katika kikosi hicho kinachoshiriki League Two (daraja la nne) nchini England. Mnoga alisajiliwa na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja uliokuwa unaisha mwishoni mwa msimu huu. Mmoja wa watu wa karibu wa mchezaji huyo, aliliambia…

Read More

Mzize akomaa Ligi Kuu, vita mpya yaibuka

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize ameiva. Angalia katika orodha ya wafungaji mabao wa Ligi Kuu Bara ndio utaelewa. Nyota huyo anayeitumikia Yanga kwa msimu wa tatu mfululizo sasa tangu alipopandishwa kutoka timu ya vijana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu, Nasreddine Nabi amewasha moto mkali msimu huu. Hii ni kutokana hadi sasa Mzize kuwa mchezaji…

Read More