Simba yaanza mambo, Fadlu akitaka usiri

KIKOSI cha Simba kimefanya mazoezi ya kwanza nchini Morocco baada ya kuwasili jana Alhamisi asubuhi. Mazoezi hayo yamefanyika kwenye viwanja vya Mazgan katika mji wa Jadida. Wachezaji wote waliosafiri katika msafara wa Simba kuja Morocco wameshiriki katika mazoezi hayo. Kabla ya mazoezi hayo kufanyika, kocha Fadlu Davids alitoa agizo la kuzuia waandishi wa habari na…

Read More

Simba yaonyesha ukubwa Morocco | Mwanaspoti

CASABLANCA: SIMBA haijasafiri kinyonge kutoka Dar es Salaam kuja hapa Casablanca, Morocco ambako itakaa kwa muda kisha kwenda Berkane ambako Jumamosi ya Mei 17, 2025 itashuka Uwanja wa Manispaa ya mji wa Berkane, kuvaana na RS Berkane katika mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba itavaana na Berkane ikiwa ni mechi ya…

Read More

Benki ya CRDB yawakaribisha Wanahisa kwenye Mkutano Mkuu wa 30

 Taarifa hiyo imetolewa leo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye hoteli ya Gran Meliá, jijini Arusha, ambapo Benki ya CRDB pia ilizindua Ripoti yake ya Mwaka 2024, inayoonyesha maendeleo makubwa ya kifedha, kiutendaji na kijamii yaliyopatikana katika kipindi hicho.   Akizungumza katika mkutano huo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Dkt….

Read More

Charles Hilary azikwa kwao Zanzibar, wakongwe wamlilia

Unguja. Wakati safari ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Charles Hillary ikitamatika rasmi kwa kupumzishwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Mjini Unguja, baadhi ya waandishi na watangazaji wakongwe wamemzungumzia kama mtu aliyekuwa chachu ya mabadiliko katika sekta ya habari. Charles alizaliwa October 22,1959…

Read More

Simba yapewa nondo za kukwepa mtego wa Berkane

SIMBA tayari ipo Morocco ikijichimbia jijini Casablanca ili kujiandaa na mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayopigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Manispaa mjini Berkane, huku kikosi hicho kikipewa nondo muhimu za kuukwepa mtego  wa wenyeji wao RS Berkane. Simba itavaana na RS Berkane katika mechi hiyo ya mkondo wa kwanza kabla…

Read More

Charles Hillary azikwa kwao Zanzibar, wakongwe wamlilia

Unguja. Wakati safari ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Charles Hillary ikitamatika rasmi kwa kupumzishwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Mjini Unguja, baadhi ya waandishi na watangazaji wakongwe wamemzungumzia kama mtu aliyekuwa chachu ya mabadiliko katika sekta ya habari. Charles alizaliwa October 22,1959…

Read More

KenGold yawaganda mastaa, yaahidi kurudi upya Ligi Kuu

PAMOJA na kukubali kushuka daraja, kocha mkuu wa KenGold, Omary Kapilima amesema wanafanya kila linalowezekana kuwashawishi mastaa waliofanya vizuri kikosini ili wabaki nao kwa ajili ya kupambana katika Ligi ya Championship kwa lengo la kurudi upya katika Ligi Kuu Bara. KenGold imeshuka daraja baada ya kushiriki Ligi Kuu msimu mmoja tu na sasa wanasubiria kucheza…

Read More

Beki Azam aandika rekodi mbili Bara

BAO moja lililofungwa na beki wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda katika ushindi wa kikosi hicho wa mabao 5-0, dhidi ya Dodoma Jiji, Mei 13, 2025, limemfanya nyota huyo kuandika rekodi mbili muhimu, huku akiwa na msimu bora na timu hiyo hadi sasa. Lusajo alifunga bao katika dk6, akiunganisha kwa kichwa mpira wa kona uliopigwa na…

Read More

Ubingwa WPL… Yanga yatibua hesabu za Simba

KIPIGO cha mabao 2-0 ilichopata jioni hii Yanga Princess mbele ya JKT Queens kimetibua hesabu za watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens katika mbio za ubingwa kwa msimu huu. Yanga Princess ilikubali kichapo hicho kwenye Uwanja wa KMC Complezxx, Mwenge Dar es Salaam na kuiwezesha JKT kurejea kileleni ikiing’opa Simba Queens inayotetea…

Read More