WMA YAHAKIKI VIPIMO ASILIMIA 99 YA LENGO

Veronica Simba – WMA Serikali kupitia Wakala wa Vipimo (WMA) nchini imekagua na kuhakiki vipimo 1,013,859 ambavyo ni sawa na asilimia 99.2 ya lengo la kukagua vipimo 1,022,342 katika mwaka wa fedha 2024/2025. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amebainisha hayo bungeni Dodoma leo, Mei 14, 2025 wakati akiwasilisha hotuba ya makadirio ya…

Read More

Siku 35 zaipa akili mpya Coastal Union

BAADA ya kumalizana na Tanzania Prisons, sasa Coastal Union ina takribani siku 35 za kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate. Wakati kikosi hicho kikiwa na muda huo kutokana na hapo kati ligi kusimama, kocha wa kikosi hicho, Joseph Lazaro amepanga kuandaa program maalum itakayowafanya wachezaji kuendelea kuwa fiti. Timu…

Read More

Josiah anazitaka nne ngumu Tanzania Prisons

USHINDI katika mechi nne mfululizo umeonekana kuipa nguvu Tanzania Prisons, huku Kocha Mkuu wa timu hiyo, Aman Josiah akiamini mechi mbili zilizobaki dhidi ya Yanga na Singida Black Stars atapata pointi nne anazozitaka ili timu iwe salama. Ushindi wa pointi nne ambazo zinaonekana kuwa ngumu utakinasua moja kwa moja kikosi hicho na janga la kushuka…

Read More

Mambo matatu kuibeba Simba Morocco

KOCHA wa Simba, Msauzi Fadlu Davids anaamini kuna mambo matatu muhimu ambayo yanaweza kuibeba Simba kwenye mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco Jumamosi hii. Simba ambayo itaweka kambi ya siku kadhaa nchini Morocco kuanzia Jumatano hii, itakuwa pia na programu ya mazoezi ikilenga kuzoea hali…

Read More

Askofu: Charles Hillary mtu makini, alipenda kanisa

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam, Jackson Sosthenes amesema Charles Hillary. alikuwa mtu makini na alilipenda kanisa. Kabla ya umauti, Charles alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Charles alifariki dunia Mei 11, 2025 wakati akipelekwa Hospitali…

Read More