Dube aendeleza moto, Yanga ikijikita kileleni

YANGA haijapoa, imeendelea kugawa vipigo ikiichapa Namungo ya Lindi mabao 3-0 huku majukwaani wakiendelea kupaza sauti kwamba ‘Hatuchezi’. Ushindi huo ambao Yanga ilikuwa inacheza mechi yake ya 27 msimu huu, unakuwa wa 24 ikiendelea kujikita kileleni mwa msimamo ikifikisha pointi 73. DAKIKA 23 NGUMUDakika 23 za kwanza zilikuwa ngumu kuamini kama Namungo ingepoteza kwa idadi…

Read More

Beki Mazembe afichua dili lake Yanga

ENEO la ulinzi katika kikosi cha Yanga limekuwa moto kama ilivyo pale mbele ambapo kuna mashinde za mabao zinazowapa raha mashabiki wa timu hiyo yenye makao yake mitaa ya Twiga na Jangwani jijini Dar es Salaam. Raha ya mashabiki wa kikosi hicho haiishii kuwaona nyota wao wanaocheza maeneo hayo, lakini kuna mastaa  wengine wanaofanya vizuri…

Read More

Simba, Musonda kuna kitu | Mwanaspoti

MAMBO ni moto na muda ni mchache. Simba itakuwa Morocco kukipiga na RS Berkane katika mechi inayotarajiwa kuwa ngumu na yenye hisia tofauti ya Kombe la Shirikisho Afrika, kwani wiki ijayo itakuwa jijini Dar es Salaam kukamilisha ratiba na kukabidhiwa ndoo ya ubingwa. Hata hivyo, ubingwa utanogeshwa zaidi na utamu Msimbazi kwani mashabiki wa Wekundu…

Read More

Nyota Tanzania Prisons wapata ahueni

TANZANIA Prisons kukaa nafasi ya 11 katika Msimamo wa Ligi Kuu ikiwa imecheza mechi 28, imeshinda nane, sare sita, imefungwa 14 na kukusanya pointi 30 ni kicheko kwa wachezaji wa timu hiyo wakiamini kwamba wamepata ahueni. Kipa wa timu hiyo, Mussa Mbisa amesema walikuwa wanaishi kwa presha kubwa na kuumiza vichwa namna ya kuhakikisha timu…

Read More

Kesi kuporomoka jengo Kariakoo yaendelea kupigwa kalenda

Dar es Salaam. Upande wa mashitaka umedai bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili watu sita wakiwemo wamiliki wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, Dar es Salaam. Wakili wa Serikali, Erick Kamala ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Jumanne Mei 13, 2025, wakati kesi hiyo…

Read More

Kamati ya maadili TFF yamfungia katibu mkuu DRFA

Dar es Salaam. Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imemfungia Ramadhan Missiru, Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), kutojihusisha na shughuli zozote za mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka sita. Missiru alipatikana na hatia ya makosa mawili ya ukiukwaji wa maadili yaliyobainishwa…

Read More

Fadlu ageuka mbogo Simba, acharukia mastaa

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids amegeuka mbogo kwa kuwacharukia mastaa wa timu hiyo kutokana na matokeo ya mechi nne za viporo vya Ligi Kuu Bara, akiwakumbusha pia kazi iliyopo mbele yao katika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco wikiendi hii ugenini. Simba ilicheza na kushinda mechi hizo za viporo…

Read More