NAHODHA wa Yanga, Dickson Job na kipa wa timu hiyo, Djigui Diarra wametishwa mabomu ya kikosi hicho baada ya kutangulia kuingia ndani ya Uwanja wa
Category: Michezo

KIPA namba moja wa Yanga, Djigui Diarra ameibua gumzo muda mchache baada ya kikosi hicho kuingia kukagua Uwanja wa Benjamini Mkapa ambao unatarajiwa kupigwa mchezo

UWANJA wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam ambao utatumika kuchezewa mechi ya dabi kati ya Yanga na Simba uko mweupe kwenye baadhi ya majukwaa. Saa

KIKOSI cha Simba kimekuwa cha kwanza kuwasili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ikiwatangulia wenyeji, Yanga kwa dakika mbili na kuliamsha shangwe kwa mashabiki wa timu

MASHABIKI wa Yanga wakorofi sana, hebu soma hii. Wakati Simba ikimaliza kuingia geti kubwa la Uwanja wa Benjamin Mkapa, kuna kituko watani wao wakakifanya hata

KIKOSI cha Simba kimekuwa cha kwanza kuwasili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa katika pambano la timu hiyo dhidi ya watani zao Yanga huku ikitumia mlango

Simba imethibitisha kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Yanga ‘Kariakoo Derby’ leo d kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mechi hiyo imepangwa kuchezwa kuanzia saa

LICHA ya kutokuwa na vaibe kubwa la mashabiki kwa sasa, lakini hali ya usalama kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa utakaotumika kwa pambano la watani wa

TIMU ya JKU Princess, imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (WPL) baada ya kuichapa Dunga Queens mabao 9-0. Mchezo huo uliopigwa Juni 24,

IKIWA imesalia saa mbili tu kabla ya pambano kla Dabi ya Kariakoo lipigwe ikizikutanisha Simba na Yanga kuchezwa, lakini hali ya nje ya Uwanja wa