MO apigiwa shangwe mkutano Simba 

WAKATI wanachama wa Simba wakisomewa ripoti ya mapato na matumizi, wameonyesha kukoshwa na rais wao wa heshima Mohammed Dewji ‘MO’ na namna anavyoipa fedha klabu hiyo. Mhasibu wa Simba Suleiman Kahumbu wakati akisoma ripoti ya mapato ya msimu uliopita amesema MO Dewji alichangia kiasi ha sh 4 Bilioni kwenye majeti yao ya mwaka ujao wa…

Read More

Mangungu abanwa mkutano mkuu Simba

Wakati ikisomwa ripoti ya mapato na matumizi ya mwaka uliopita, umeibuka mzozo baada ya hoja kumbana Mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu. Baada ya kusomwa ripoti ya mwaka jana ya mapato na matumizi mwanachama Hussein Simba, akauliza juu ya uhalali wa ripoti hiyo hali ya kuwa haijapitishwa na mkaguzi wa nje wa masuala ya fedha. Aidha,…

Read More

Gamondi awatega Wasauzi kwa Aucho

KUWA na uhakika wa Khalid Aucho kucheza kesho dhidi ya Stellenbosch, imemfanya Kocha wa Singida Black Stars kushusha pumzi akiamini kwamba kiungo huyo na nyota wengine wazoefu kikosini hapo watafanya vizuri. Kauli ya Gamondi imekuja wakati Singida Black Stars, itakuwa kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kuikaribisha Stellenbosch kutoka Afrika Kusini ikiwa ni mechi ya…

Read More

CEO Simba aanika mafanikio ya msimu wa 2024-2025

OFISA Mtendaji Mkuu wa Simba (CEO), Zubeda Sakuru, amesema klabu hiyo imepata mafanikio makubwa kwa msimu wa 2024-2025, licha ya changamoto mbalimbali zilizojitokeza. Akizungumzia katika mkutano mkuu wa mwaka wa Simba unaofanyika leo kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Zubeda amesema miongoni mwa mafanikio hayo ni kumaliza nafasi ya pili katika Ligi…

Read More

Pedro asimulia ushujaa wa Diarra Yanga

YANGA jana Ijumaa Novemba 28, 2025 imeokota pointi moja ugenini mbele ya JS Kabylie pale Algeria, katika ardhi ambayo ilikwenda mara mbili mfululizo na kuambulia vichapo kabla ya juzi kuwakazia Waarabu. Mabingwa hao wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara na wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, wamekusanya pointi nne katika mechi…

Read More

Aucho ampa mzuka Gamondi, Singida ikiwavaa Wasauzi kesho

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi, amesema hawazi sana kuhusu presha ya mechi ya kesho dhidi ya Stellenbosch, huku akiweka wazi kwamba kiungo Khalid Aucho atacheza. Mechi ya kwanza ambayo Singida Black Stars ilifungwa 2-0 ugenini na CR Belouzidad, Aucho hakuwepo huku ikielezwa alichelewa kupata visa ya kuingia Algeria akitokea kwenye majukumu ya timu…

Read More

Bosi Azam Mwenyekiti mpya Bodi Ligi Kuu

Rais wa Azam FC, Nassor Idrissa ‘Father’ amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) leo Novemba 29, 2025 jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Kiomoni Kibamba amesema kuwa Idrissa amepata kura nyingi dhidi ya Hosseah Lugano hivyo ndiye mshindi. “Naomba sasa…

Read More