Singida BS yapeta CAF ikiitandika Rayon Sports

WANA fainali ya Kombe la FA msimu uliopita, Singida Black Stars, imefuzu hatua ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuitandika Rayon Sports ya Rwanda kwa jumla ya mabao 3-1. Ushindi huo umetokana na leo Singida Black Stars kushinda mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam ikiwa ni…

Read More

Yanga yaifumua Williete, yawafuata Wamalawi

YANGA imefuzu hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuifunga Wiliete SC ya Angola kwa mabao 2-0 na kusonga mbele kwa jumla ya mabao 5-0, huku maswali ya mashabiki kuhusu ubora wa kiwango cha timu hiyo ya Wananchi yakiendelea kuwa mengi. Kwa ushindi huo, Yanga itakabiliana na Silver Strikers ya Malawi kuwania…

Read More

James arejea KVZ, apiga mkwara mzito

BAADA ya beki wa KVZ, Juma Hassan Shaaban maarufu James kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akikosekana katika maandalizi ya timu hiyo kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Zanzibar, hatimaye amerejea huku akiwapiga mkwara wapinzani wao.Mwanaspoti limemshuhudia James akiwa mazoezini na kikosi cha KVZ ambapo alisema kurejea kwake kikosini, timu hiyo ipo…

Read More

Manyama ajiweka sawa Azam | Mwanaspoti

BEKI wa kushoto wa Azam FC, Edward Manyama amesema kwa namna Ligi Kuu Bara msimu huu ilivyoanza kwa ugumu, inampa picha ya namna anavyotakiwa kukaza buti kuhakikisha huduma yake inakuwa muhimu kikosini.Manyama aliyewahi kuzichezea timu mbalimbali kama JKT Ruvu, Yanga, Ruvu Shooting, Namungo na Singida Black Stars, alisema ushindani wa ligi umekuwa ukiongezeka msimu hadi…

Read More

Fikirini yupo fiti kupambania namba TRA

BAADA ya kipa wa TRA United, Fikirini Bakari kukaa nje wiki mbili akiuguza jeraha la taya alilovunjika katika mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga wakati wa maandalizi ya msimu huu, kwa sasa amejiunga kambini akipambania namba kikosi cha kwanza.Fikirini alisema kwa sasa anaendelea vizuri, huku akiwa na tahadhari ya kuepuka kugongana na wenzake na anaamini…

Read More

Nahodha Mashujaa kaahidi jambo | Mwanaspoti

NAHODHA wa Mashujaa FC, Baraka Mtuwi amesema wapo tayari kuikabili Singida Black Stars aliyoitaja kuwa haitakuwa rahisi kutokana na uwepo wa nyota wengi bora.Mashujaa inatarajia kushuka dimbani Jumanne ya wiki ijayo, kwenye Uwanja wa KMC kucheza mechi ya tatu ya Ligi Kuu Bara msimu huu, baada ya kushinda mechi moja na kutoka sare moja.Akizungumza na…

Read More

Mechi za kujiuliza Ligi Kuu Bara

UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea leo kwa mechi mbili kupigwa ambapo saa 8:00 mchana, Pamba Jiji itaikaribisha TRA United kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, huku saa 10:15 jioni Mtibwa Sugar ikipambana na Fountain Gate.Hizi ni mechi za kujiuliza kwa timu zote kwani hazijapata ushindi tangu kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu huu. Kwa Pamba…

Read More

Mashaka yeye kwake kambi popote

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Valentino Mashaka amesema kitendo cha Simba kumtoa kwa mkopo ni fursa kwake kujipanga ili arejee katika ushindani. Katika mahojiano na Mwanaspoti, Mashaka anasema kujipanga upya siyo kitu cha ajabu kwa mchezaji, badala yake anaweza kufanya vitu vikubwa kuliko mwanzo akisisitiza hata Ulaya inafanyika hivyo. Baada ya kutoonyesha kiwango bora akiwa na…

Read More

Ahmed: Simba kesho tunaanza upya

OFISA Habari wa Simba, Ahmed Ally, amesema wana mechi ngumu kesho watakapokutana na timu ambayo haina cha kupoteza, hivyo wapo kwenye wakati mgumu kufikiria nini watafanya ili kuvuka hatua inayofuata. Katika kufikiria huko, Ally amebainisha kwamba, wataingia kwenye mechi hiyo akilini mwao matokeo yakiwa 0-0 licha ya kwamba ugenini walishinda bao 1-0. …

Read More