‘X-Factor’ ya Fadlu ni hii!

KATI ya vitu ambavyo kocha wa Simba, Fadlu Davids vinampasua kichwa ikiwa ni siku chache tu kabla ya kuanza msimu mpya wa 2025/26 ni pamoja na mchezaji mwenye sifa ya kuamua mchezo, ambapo katika mahojiano yake kabla ya kurejea Dar alitumia neno la Kiingereza ‘X-Factor’. Mwanaspoti linajua kwamba mchezaji anayemtaka Fadlu ni mtu anatakayecheza pale…

Read More

Morocco yaweka rekodi CHAN ikitwaa ubingwa 

MOROCCO imeweka rekodi mpya katika michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya kutwaa taji la tatu ikiwa ndiyo timu iliyochukua mara nyingi zaidi. Rekodi hiyo imeiweka kufuatia ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Madagascar katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Agosti 30, 2025 kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi uliopo…

Read More

Morocco yatwaa ubingwa wa CHAN 2024

Timu ya taifa ya Morocco, ‘Simba wa Milima ya Atlas’ imetwaa ubingwa wa Fainali za CHAN 2024 baada ya kuifunga Madagascar kwa mabao 3-2 katika mchezo wa fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa Moi Kasarani, Kenya. Hili linakuwa taji la tatu kwa Morocco linaloifanya iwe timu iliyotwaa mara nyingi ubingwa wa CHAN,  ambapo awali ililibeba mara…

Read More

Morocco yatwaa ubingwa wa CHAN 2024, unakuwa wa tatu

Timu ya taifa ya Morocco, ‘Simba wa Milima ya Atlas’ imetwaa ubingwa wa Fainali za CHAN 2024 baada ya kuifunga Madagascar kwa mabao 3-2 katika mchezo wa fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa Moi Kasarani, Kenya. Hili linakuwa taji la tatu kwa Morocco linaloifanya iwe timu iliyotwaa mara nyingi ubingwa wa CHAN,  ambapo awali ililibeba mara…

Read More

Kina Kapombe kuikosa Gor Mahia Simba Day

NYOTA wa Simba waliokuwa katika kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kucheza michuano ya CHAN hawatakuwa sehemu ya mchezo wa tamasha la Simba Day kati ya Simba na Gor Mahia, Septemba 10. Wacheza wa Simba ambao walikuwa kwenye kikosi cha Stars ni Shomari Kapombe, Yusuf Kagoma, Yakuob Suleiman, Abdurazack Hamza na Wilson Nangu. Kocha…

Read More

Ilanfya kurejea kazini baada ya kupona

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Charles Ilanfya anarejea kazini baada ya kukaa nje ya kazi kwa muda mrefu, kutokana na kuuguza majeraha ya goti la mguu wa kulia na kusababisha kucheza mechi moja msimu uliyopita. Ilanfya aliumia Agosti 28, 2024 kwenye Uwanja wa Major Generali Isamuhyo, dakika chache baada ya kuingia kipindi cha pili mechi dhidi…

Read More

Geay ajenga kambi ya kisasa ya riadha

MWANARIADHA wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay, ameandika ukurasa mpya katika riadha nchini kwa kujenga kambi ya kisasa kwenye kijiji cha Madunga wilayani Babati, Mkoa wa Manyara. Lengo la kambi hiyo ni kuibua na kuendeleza vipaji vya vijana wa Kitanzania na kuandaa mashujaa wa kesho watakaoiwakilisha nchi katika mashindano makubwa ikiwemo michezo ya Olimpiki. Kambi…

Read More

Kibwana afafanua ishu ya kiungo Yanga

BAADA ya kuwapo kwa taarifa za kiungo mshambuliaji wa Yanga Princess, Aregash Kalsa kuachwa na timu hiyo, mratibu wa kikosi hicho Kibwana Matokeo amesema nyota huyo bado yupo Jangwani. Kumekuwapo na taarifa mitandaoni zinazodai kwamba mchezaji huyo anayetumia mguu wa kushoto amejiunga na RS Berkane ya Ligi Kuu ya Wanawake Morocco. Kalsa alijiunga na Yanga…

Read More

Chan 2024: Morocco v Madagascar Fainali ya kibabe

MASHINDANO ya (CHAN) PAMOJA 2024 yanafikia kilele chake leo Jumamosi, jijini Nairobi, Kenya wakati mabingwa mara mbili wa michuano hiyo, Morocco watakapovaana na Madagascar kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi Kasarani, baada ya jana Ijumaa kushuhudia mechi ya mshindi wa tatu ikipigwa jijini Kampala, Uganda kati ya Sudan dhidi ya Senegal. Fainali hii…

Read More