Sadala Lipangile: KenGold bado haijashuka

BEKI wa KenGold, Sadala Lipangile amesema pamoja na timu hiyo kushuka daraja, wachezaji hawajashuka daraja badala yake mechi tatu zilizobaki ndizo za kujitafuta ili waendelee kubaki Ligi Kuu msimu ujao. KenGold ambayo awali ilijulikana kama Gipco FC (Geita) inatarajia kushiriki Championship msimu ujao baada ya kushindwa kubaki Ligi Kuu kufuatia matokeo iliyopata kwa kuvuna pointi…

Read More

KenGold, Pamba Jiji mechi ya upande mmoja

WAKATI KenGold ikiikaribisha Pamba Jiji katika mwendelezo wa Ligi Kuu Jumanne hii, huenda mchezo huo ukawa wa upande mmoja kutokana na matokeo ya timu hizo, huku makocha wa timu hizo wakieleza matarajio yao. Hadi sasa KenGold imeshuka daraja baada ya kushiriki msimu mmoja Ligi Kuu, huku Pamba Jiji ikiwa na matarajio ya kukwepa aibu ya…

Read More

Mapinduzi: Nililia mwenyewe kisa majeraha

Ilikuwa Januari 4, 2020 mchezo mkubwa Tanzania Simba na Yanga zipo Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, wekundu hao wakitangulia kwa mabao 2- 0 ya mshambuliaji Meddie Kagere na winga Deo Kanda. Simba walikuwa wanaona kama ni siku yao lakini kumbe haikuwa hivyo, akatoka kijana mmoja mfupi wa kimo mwenye utundu wa miguu…

Read More

Singida Black Stars yaanza kuzidai pesa za Gomez

MABOSI wa Singida Black Stars wameiandikia barua Wydad Casablanca ya Morocco kudai malipo ya mauzo ya mshambuliaji, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ waliyemuuza kupitia dirisha dogo la usajili akitokea Fountain Gate aliyokuwa akiitumikia kwa mkopo. Inadaiwa kuwa, tayari Singida BS imetoa siku 14 kwa Wydad kutekeleza makubaliano yao ya kuuziana mchezaji huyo kabla haijakimbilia Shirikisho la Soka…

Read More

Ubovu viwanja vya mazoezi chanzo majeraha kwa wachezaji

Ligi Kuu Bara ni chachu ya vipaji na ndoto za wanasoka wanaotamani kufikia mafanikio ya kimataifa. Hata hivyo, changamoto ya miundombinu hususan hali ya viwanja vya mazoezi imekuwa inatishia maendeleo ya mpira wa miguu na afya za wachezaji. Viwanja visivyokidhi viwango vimekuwa sehemu ya majeraha ya mara kwa mara, yanayoathiri uwezo wa wachezaji kushiriki kikamilifu…

Read More