
Mida ya Simon Msuva kupiga mkwanja
MSHAMBULIAJI Simon Msuva anayekipiga Al Talaba ya Ligi Kuu ya Iraq, Iraq Stars League, anamaliza mkataba wake na klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu na inaelezwa anatakiwa na klabu za Misri na Saudi Arabia kutokana na kuvutiwa na kiwango chake. Nyota huyo wa zamani wa Wydad AC anatarajiwa kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu baada…