CEO Simba aanika mafanikio ya msimu wa 2024-2025

OFISA Mtendaji Mkuu wa Simba (CEO), Zubeda Sakuru, amesema klabu hiyo imepata mafanikio makubwa kwa msimu wa 2024-2025, licha ya changamoto mbalimbali zilizojitokeza. Akizungumzia katika mkutano mkuu wa mwaka wa Simba unaofanyika leo kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Zubeda amesema miongoni mwa mafanikio hayo ni kumaliza nafasi ya pili katika Ligi…

Read More

Pedro asimulia ushujaa wa Diarra Yanga

YANGA jana Ijumaa Novemba 28, 2025 imeokota pointi moja ugenini mbele ya JS Kabylie pale Algeria, katika ardhi ambayo ilikwenda mara mbili mfululizo na kuambulia vichapo kabla ya juzi kuwakazia Waarabu. Mabingwa hao wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara na wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, wamekusanya pointi nne katika mechi…

Read More

Aucho ampa mzuka Gamondi, Singida ikiwavaa Wasauzi kesho

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi, amesema hawazi sana kuhusu presha ya mechi ya kesho dhidi ya Stellenbosch, huku akiweka wazi kwamba kiungo Khalid Aucho atacheza. Mechi ya kwanza ambayo Singida Black Stars ilifungwa 2-0 ugenini na CR Belouzidad, Aucho hakuwepo huku ikielezwa alichelewa kupata visa ya kuingia Algeria akitokea kwenye majukumu ya timu…

Read More

Bosi Azam Mwenyekiti mpya Bodi Ligi Kuu

Rais wa Azam FC, Nassor Idrissa ‘Father’ amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) leo Novemba 29, 2025 jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Kiomoni Kibamba amesema kuwa Idrissa amepata kura nyingi dhidi ya Hosseah Lugano hivyo ndiye mshindi. “Naomba sasa…

Read More

Tanzania yatupwa nje Kombe la Dunia Futsal

TIMU ya Taifa ya Wanawake Tanzania kwa Mchezo wa Futsal, imeondolewa kwenye michuano ya kuwania ubingwa wa Kombe la Dunia baada ya kupokea kichapo cha mabao 9-0 dhidi ya Japan. Mechi hiyo ya mwisho ya kundi C, imepigwa mapema leo asubuhi Novemba 29, 2025 kwenye Uwanja wa PhilSports Arena, Pasig nchini Ufilipino yanapoendelea mashindano hayo….

Read More

Himid Mao freshi, Aziz KI apewa saa 24

PRESHA kubwa kwa viongozi wa Azam na Wydad ilikuwa ni hatma ya afya ya viungo wao, Himid Mao na Stephanie Aziz KI waliogongana katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya timu hizo iliyochezwa jana Ijumaa Novemba 28, 2025 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar na kulazimika kutolewa uwanjani dakika ya 76, kisha…

Read More

Ibenge kuja kivingine Azam | Mwanaspoti

AZAM haina raha! Imeingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mguu mbaya ikiwa ni mara ya kwanza kufuzu katika historia yake huku ikiambulia vipigo viwili mfululizo. Jana Ijumaa, ilichapwa bao 1-0 ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar dhidi ya Wydad Athletic ya Morocco. Matokeo hayo yanakuja baada ya Azam kupoteza mechi…

Read More