Richkard azitaka alama tatu Pemba 

Kocha Msaidizi wa Malindi, Mohamed Salah ‘Richkard’ amesema timu hiyo imejipanga vyema kuhakikisha inazipata pointi tatu za kwanza katika Ligi Kuu Zanzibar. Mechi hiyo itachezwa leo Jumamosi saa 10:15 jioni kwenye Uwanja wa Gombani uliopo Pemba, ambapo Chipukizi itakuwa mwenyeji wa Malindi. Akizungumzia maandalizi ya timu hiyo, Richkard amesema kutumia wachezaji wapya katika mechi hiyo sio sababu…

Read More

Kocha Gaborone aipiga mkwara Simba

KOCHA wa Gaborone United, Khalid Niyonzima, amesema hawana presha yoyote kuelelea mchezo wa kesho dhidi ya Simba huku akiwahakikishia furaha mashabiki wa timu hiyo. Gaborone United inaingia kwenye mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali itakayochezwa kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar, ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza nyumbani kwa bao…

Read More

Simba: Kesho tunaanza upya | Mwanaspoti

OFISA Habari wa Simba, Ahmed Ally, amesema wana mechi ngumu kesho watakapokutana na timu ambayo haina cha kupoteza, hivyo wapo kwenye wakati mgumu kufikiria nini watafanya ili kuvuka hatua inayofuata. Katika kufikiria huko, Ally amebainisha kwamba, wataingia kwenye mechi hiyo akilini mwao matokeo yakiwa 0-0 licha ya kwamba ugenini walishinda bao 1-0. …

Read More

Morocco aipania Gaborone, aahidi kuivusha Simba

KAIMU Kocha Mkuu wa Simba, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema anatarajia mechi ngumu na ya ushindani lakini wapo tayari kuhakikisha timu hiyo inavuka kwenda hatua inayofuata bila ya kuangalia walichovuna ugenini. Morocco amepewa jukumu la kuiongoza Simba katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United ya Botswana itakayochezwa kesho Jumapili kwenye…

Read More

Tanzania Prisons, KMC leo patachimbika

BAADA ya kila moja kutoka kupoteza mechi zilizopita za Ligi Kuu Bara, Tanzania Prisons na KMC zinashuka uwanjani kuvaana leo, huku makocha  wakitambiana ili kuepuka aibu mwisho wa msimu. Prisons imepoteza mechi mbili zilizopita mbele ya Coastal Union na Namungo ugenini wakati KMC iliyoanza na ushindi dhidi ya Dodoma Jiji ilipasuka mechi iliyopita mbele ya…

Read More

Bado Watatu – 41 | Mwanaspoti

AFISA upelelezi akauliza kwenye simu:“Natumaini naongea na mstaafu Hashim Malick?”“Hapana. Unaongea na daktari mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza. Mzee Hashim Malick amepata ajali ya gari dakika chache zilizopita. Ameletwa hapa akiwa hajitambui pamoja na dereva wake.”Maelezo hayo yalimshitua afisa upelelezi.“Unasema amepata ajali ya gari?” akauliza.“Ndiyo. Gari lake limegongana na lori la mafuta, kilometa…

Read More

Hekaya za Mlevi: Wapinzani hoyahoya mpaka lini?

Dar es Salaam. Siku moja tulishuhudia mtanange wa soka wa kushangaza sana. Lilikuwa “Ndondo Cup” enzi hizo likipigwa mchangani. Wengine walicheza peku, na timu iliyopungukiwa na jezi ilicheza matumbo wazi. Siku hiyo timu ya kitaani iliyokuwa bingwa mtetezi ilicheza fainali dhidi ya mahasimu wao wakubwa.  Walipokutana hawa ilikuwa kama Simba na Yanga, kitaa kizima kilinuka….

Read More