Fadlu, mastaa wapya washtua | Mwanaspoti

SIMBA imewasili nchini alfajiri ya jana Ijumaa ikitokea jijini Cairo, Misri ilikoenda kuweka kambi ya mwezi ili kujiweka zaidi kwa msimu mpya wa mashindano, lakini kuna watu watatu wameshtua ndani ya ujio huo akiwemo kocha mkuu, Fadlu Davids. Msafara huo wa Simba uliwasili ulirejea karibu wote isipokuwa kocha huyo na mastaa wengine wapya wa kikosi…

Read More

Ligi Kuu yaipa jeuri Yanga, yatoa kauli ya kutisha

UMEIONA ratiba ya Ligi Kuu Bara? Basi bingwa mtetezi Yanga imeiona kisha bosi mmoja mzito wa klabu hiyo, ametoa tamko, wako tayari kwa msimu huku akiringia hesabu walizonazo kutokana na kikosi hicho kinachoendelea kujifua kwa sasa kambini Avic Town, Kigamboni Dar es Salaam. Bosi aliyeyasema hayo ni Rodgers Gumbo, akiliambia Mwanaspoti wameipokea ratiba ya ligi…

Read More

Siri nzito dili la Nangu, Yakoub

SIMBA imetua nchini alfajiri ya jana ikitokea Misri ilipoweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026, lakini huku nyuma mabosi wa klabu hiyo wamefanya jambo moja lililowahakikishia kuwamiliki wachezaji wawili nyota kutoka JKT Tanzania. Kama unakumbuka Mwanaspoti liliwafahamisha mapema Simba ilishamalizana na beki Wilson Nangu na kipa Yakoub Suleiman waliokuwa wakiitumikia Taifa Stars katika…

Read More

Bado Watatu – 13 | Mwanaspoti

LAKINI tulipomaliza kushuka ngazi na kuliona gari ambalo tulielekea kujipakia, kidogo alishituka. Pengine alilishitukia kuwa lilikuwa gari la usalama. Hata hivyo, hakuniuliza kitu. Nilipojipakia katika siti ya dereva na yeye alijipakia katika siti ya upande wa pili akakaa. Nikaliwasha gari tukaondoka. Sikumuuliza kitu mpaka tulipoikamata barabara ya Mikanjuni. “Utanionyesha ni Mikanjjuni ipi anayoishi,” nikamwambia. “Twende…

Read More

Mastaa Simba watambia usajili | Mwanaspoti

WAKATI Simba ikirejea nchini alfajiri ya leo ikitokea Misri, mastaa wa timu hiyo wameringia usajili wa kikosi hicho kwa msimu msimu mpya wakisisitiza wamepania kufanya mabadiliko. Simba iliweka kambi jiji la Ismailia kabla ya kuhamia Cairo, Misri ikitumia siku 31 kujifua tayari kwa msimu wa 2025/26 ambao utaanza rasmi Septemba 16 kwa kupigwa mechi ya…

Read More

Mastaa Simba watambia usajili | Mwanaspoti

WAKATI Simba ikirejea nchini alfajiri ya leo ikitokea Misri, mastaa wa timu hiyo wameringia usajili wa kikosi hicho kwa msimu msimu mpya wakisisitiza wamepania kufanya mabadiliko. Simba iliweka kambi jiji la Ismailia kabla ya kuhamia Cairo, Misri ikitumia siku 31 kujifua tayari kwa msimu wa 2025/26 ambao utaanza rasmi Septemba 16 kwa kupigwa mechi ya…

Read More

Kipa wa Simba kutua Tabora United

MABOSI wa Simba leo Ijumaa walitarajia kufanya kikao cha kumalizana na mmoja wa makipa waliokuwa wakiitumikia timu hiyo, ikidaiwa mipango ya kumtoa kwa mkopo imekuwa ngumu baada ya kipa huyo kugoma na kutaka alipwe chake asepe mazima Msimbazi. Hatua hiyo, imewafanya mabosi wa Simba kuitisha kikosi hicho cha jana kwa lengo la kumalizana na kipa huyo…

Read More

Mahakama yaridhia Hassano alipwe Sh36 milioni

MAHAKAMA KUU imebariki hukumu inayolitaka Shirika la Ndege la Turkish Airlines, kumlipa Hassan Othman Hassan ‘Hassano’, aliyewahi kuwa kiongozi wa klabu ya soka ya Simba, fidia ya Sh36 milioni kutokana na mzigo wake kupotea aliposafiri na ndege ya shirika hilo. Mizigo hiyo ni begi la nguo na vitu vingine, vilevile ndoo iliyokuwa na lita 10 za…

Read More

Mahakama yaridhia Hassano alipwe Sh 36 Milioni

MAHAKAMA KUU imebariki hukumu inayolitaka Shirika la Ndege la Turkish Airlines, kumlipa Hassan Othman Hassan ‘Hassano’, aliyewahi kuwa kiongozi wa klabu ya soka ya Simba, fidia ya Sh36 milioni kutokana na mzigo wake kupotea aliposafiri na ndege ya shirika hilo. Mizigo hiyo ni begi la nguo na vitu vingine, vilevile ndoo iliyokuwa na lita 10 za…

Read More