CEO Simba aanika mafanikio ya msimu wa 2024-2025
OFISA Mtendaji Mkuu wa Simba (CEO), Zubeda Sakuru, amesema klabu hiyo imepata mafanikio makubwa kwa msimu wa 2024-2025, licha ya changamoto mbalimbali zilizojitokeza. Akizungumzia katika mkutano mkuu wa mwaka wa Simba unaofanyika leo kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Zubeda amesema miongoni mwa mafanikio hayo ni kumaliza nafasi ya pili katika Ligi…