Mashujaa yabanwa nyumbani, Johola azidi kufunika
MAAFANDE wa Mashujaa ya Kigoma leo jioni ilishindwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kubanwa mbavu nyumbani na Dodoma Jiji na kutoka suluhu, huku kipa wa timu hiyo, Erick Johola akiendelea kung’ara akiong’oza kwa clean sheet, akifikisha tano. Ikicheza kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Mashujaa ilishindwa kuendeleza wimbi la ushindi kwa…