Mashujaa yabanwa nyumbani,  Johola azidi kufunika

MAAFANDE wa Mashujaa ya Kigoma leo jioni ilishindwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kubanwa mbavu nyumbani na Dodoma Jiji na kutoka suluhu, huku kipa wa timu hiyo, Erick Johola akiendelea kung’ara akiong’oza kwa clean sheet, akifikisha tano. Ikicheza kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Mashujaa ilishindwa kuendeleza wimbi la ushindi kwa…

Read More

PSG kuiharibia Barcelona kwa Rashford

BARCELONA, HISPANIA: LICHA ya kuonyesha nia ya kuendelea kusalia Barcelona na kusaini mkataba wa kudumu, ripoti zinadai Paris Saint-Germain imeingia kwenye kinyang’anyiro cha kumsajili mshambuliaji Marcus Rashford dirisha lijalo, jambo ambalo linaweza kuharibu mipango huko Catalonia. Rashford ambaye ameonyesha kiwango bora tangu ajiunge na Barcelona dirisha lililopita la majira ya kiangazi kwa mkopo wa msimu…

Read More

Kabla Mkutano Mkuu, vigogo Simba wanyoosheana vidole

HALI si shwari ndani ya Simba kutokana na sintofahamu iliyojitokeza ikiwamo vigogo wa klabu hiyo kunyoosheana vidole ikiwa zimesalia siku mbili tu kabla ya kufanyika kwa mkutano mkuu Jumapili hii kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam. Simba itafanya mkutano huo wa kikatiba ambapo wanachama wa klabu hiyo watajadili kuhusu mustakabali wa timu…

Read More

Mrithi wa Mnguto kupatikana Dar kesho Jumamosi

MBIVU na mbichi ya safu mpya ya uongozi ya Bodi ya Ligi (TPLB) itajulikana kesho Jumamosi, Novemba 29, wakati Mkutano Mkuu wa 12 wa Baraza Kuu la bodi hiyo utakapofanyika jijini Dar es Salaam ukiambatana na Uchaguzi Mkuu. Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia saa 2:00 asubuhi kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip utaambatana na…

Read More

Mrithi wa Mnguto kupatikana Dar

MBIVU na mbichi ya safu mpya ya uongozi ya Bodi ya Ligi (TPLB) itajulikana kesho Jumamosi, Novemba 29, wakati Mkutano Mkuu wa 12 wa Baraza Kuu la bodi hiyo utakapofanyika jijini Dar es Salaam ukiambatana na Uchaguzi Mkuu. Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia saa 2:00 asubuhi kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip utaambatana na…

Read More

Chama la Wana Lajinasua mkiani

WAKATI mechi za Ligi ya Championship zikitarajiwa kuendelea tena keshokutwa Jumapili, Stand United (Chama la Wana), baada ya kucheza mechi sita mfululizo bila kupata ushindi hatimaye juzi ilizinduka kwa kuichapa TMA Stars kwa bao 1-0 na kujinasua mkiani mwa msimamo wa ligi hiyo. Chama la Wana iliyokuwa imeganda mkiani kutokana na kudaiwa pointi zilizotokana na…

Read More

Ndemla afichua kinachombeba Ligi Kuu

KIUNGO mshambuliaji wa JKT Tanzania, Said Ndemla amesema ugumu na ubora wa Ligi Kuu Bara ni chachu kwao kukuza viwango vyao vya uchezaji huku akitaja sababu ya kuendelea kudumu kwenye soka kuwa ni kuhjitunza na anatamani kuona anaendelea kuwa bora zaidi ya alivyo sasa. Akizungumza na Mwanaspoti, Ndemla amesema ligi kuu inakua msimu hadi msimu…

Read More

Mashujaa, Dodoma vita nzito leo

LIGI Kuu Bara inaendelea leo kwa mechi moja kupigwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini Kigoma kwa wenyeji Mashujaa kuikaribisha Dodoma Jiji katika pambano la kisasi kutokana na rekodi za timu hizo mbili katika ligi hiyo. Mashujaa iliyotoka kupata ushindi wa bao 1-0 nyumbani mechi iliyopita dhidi ya Mbeya City, inakutana na Dodoma iliyotoka kupasuka kwa…

Read More

Pantev apangua kikosi, atoa tahadhari Simba

KIKOSI cha Simba tayari kimeshatua Mali kwa ajili ya mechi y pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien, lakini wakati kinaanza safari kuna hesabu amezitoa meneja wa timu hiyo, Dimitar Pantev, akiweka bayana kwamba ana mipango mipya ugenini na kutahadharisha mastaa. Iko hivi. Baada ya Simba kupoteza nyumbani katika mechi ya kwanza…

Read More