Mastaa Simba watambia usajili | Mwanaspoti

WAKATI Simba ikirejea nchini alfajiri ya leo ikitokea Misri, mastaa wa timu hiyo wameringia usajili wa kikosi hicho kwa msimu msimu mpya wakisisitiza wamepania kufanya mabadiliko. Simba iliweka kambi jiji la Ismailia kabla ya kuhamia Cairo, Misri ikitumia siku 31 kujifua tayari kwa msimu wa 2025/26 ambao utaanza rasmi Septemba 16 kwa kupigwa mechi ya…

Read More

Mastaa Simba watambia usajili | Mwanaspoti

WAKATI Simba ikirejea nchini alfajiri ya leo ikitokea Misri, mastaa wa timu hiyo wameringia usajili wa kikosi hicho kwa msimu msimu mpya wakisisitiza wamepania kufanya mabadiliko. Simba iliweka kambi jiji la Ismailia kabla ya kuhamia Cairo, Misri ikitumia siku 31 kujifua tayari kwa msimu wa 2025/26 ambao utaanza rasmi Septemba 16 kwa kupigwa mechi ya…

Read More

Kipa wa Simba kutua Tabora United

MABOSI wa Simba leo Ijumaa walitarajia kufanya kikao cha kumalizana na mmoja wa makipa waliokuwa wakiitumikia timu hiyo, ikidaiwa mipango ya kumtoa kwa mkopo imekuwa ngumu baada ya kipa huyo kugoma na kutaka alipwe chake asepe mazima Msimbazi. Hatua hiyo, imewafanya mabosi wa Simba kuitisha kikosi hicho cha jana kwa lengo la kumalizana na kipa huyo…

Read More

Mahakama yaridhia Hassano alipwe Sh36 milioni

MAHAKAMA KUU imebariki hukumu inayolitaka Shirika la Ndege la Turkish Airlines, kumlipa Hassan Othman Hassan ‘Hassano’, aliyewahi kuwa kiongozi wa klabu ya soka ya Simba, fidia ya Sh36 milioni kutokana na mzigo wake kupotea aliposafiri na ndege ya shirika hilo. Mizigo hiyo ni begi la nguo na vitu vingine, vilevile ndoo iliyokuwa na lita 10 za…

Read More

Mahakama yaridhia Hassano alipwe Sh 36 Milioni

MAHAKAMA KUU imebariki hukumu inayolitaka Shirika la Ndege la Turkish Airlines, kumlipa Hassan Othman Hassan ‘Hassano’, aliyewahi kuwa kiongozi wa klabu ya soka ya Simba, fidia ya Sh36 milioni kutokana na mzigo wake kupotea aliposafiri na ndege ya shirika hilo. Mizigo hiyo ni begi la nguo na vitu vingine, vilevile ndoo iliyokuwa na lita 10 za…

Read More

Kocha AS Port aichimba mkwara KMKM

KOCHA wa AS Port ya Djibouti, Seninga Innocent ameichimba mkwara KMKM ambayo watakutana nayo kati ya Septemba 19 hadi 21, mwaka huu kwenye mechi ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika mjini Unguja. Seninga ambaye hivi karibuni aliondoka Etincelles ya Rwanda amesema timu yake ipo katika maandalizi ya mechi hiyo, huku akiamini ushindi utaongeza matumaini…

Read More

Yanga, Simba zagawana viwanja Dar

MUDA mfupi baada ya Bodi ya Ligi kutangaza ratiba ya Ligi Kuu Bara, imethibitisha kuwa Yanga imebadili uwanja wa nyumbani na sasa itatumia ule wa Mkapa, huku Simba ikibaki KMC Complex, Mwenge vyote jijini Dar es Salaam. Msimu ulioisha Simba na Yanga zote zilikuwa zinatumia Uwanja wa KMC kama uwanja wa nyumbani,lakini sasa Mnyama ndio…

Read More

Bado Watatu – 12

Baada ya muda kidogo nikaona mlango unafunguliwa. Aliingia msichana mweupe. Alikuwa amevaa baibui jeusi. Kichwa chake alikuwa amekifunika kwa hijabu. Aliponiona aligutuka, akafunga mlango na kuja kukaa kwenye sofa jingine.

Read More

Kocha Azam FC aishtukia Yanga

KOCHA wa zamani wa Azam FC, Bruno Ferry ameula huko Angola baada ya kupewa mkataba wa miaka miwili kuinoa Wiliete Benguela itakayovaana na Yanga katika mechi za raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akisema anajua kibarua alichonacho mbele ya wababe hao wa Bara. Bruno, ambaye pia ni kocha wa makipa aliwahi kuinoa…

Read More