
Mastaa Simba watambia usajili | Mwanaspoti
WAKATI Simba ikirejea nchini alfajiri ya leo ikitokea Misri, mastaa wa timu hiyo wameringia usajili wa kikosi hicho kwa msimu msimu mpya wakisisitiza wamepania kufanya mabadiliko. Simba iliweka kambi jiji la Ismailia kabla ya kuhamia Cairo, Misri ikitumia siku 31 kujifua tayari kwa msimu wa 2025/26 ambao utaanza rasmi Septemba 16 kwa kupigwa mechi ya…