Simba yalia na mashabiki, yafafanua adhabu ya CAF

Wakati ikijiandaa kucheza bila mashabiki katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, Jumapili, Septemba, 29, 2025 na faini ya Dola 50,000 (Sh123 milioni), Simba imekutana na adhabu mpya kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF). Adhabu hiyo mpya ni ya faini ya Dola 30,000 (Sh74 milioni) kutokana na…

Read More

Coastal Union tatizo lipo hapa tu!

BAADA ya kukusanya pointi tatu na mabao mawili katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara, Kocha wa Coastal Union, Ally Ameir amesema licha ya kuwa na kikosi kizuri, tatizo lipo eneo la ushambuliaji na anatumia muda uliosalia kurekebisha tatizo kabla ya kuvaana na Dodoma Jiji. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Bara mwaka 1988 ilianza na…

Read More

Bado Watatu – 40 | Mwanaspoti

TUKATOKA pale kituoni na tukachangukana. Mimi na Sufiani tulikodi bajaj tukaenda nyumbani. Kwa vile sote tulikuwa na makosa, hakukuwa na yeyote aliyemlaumu mwenzake.Siku iliyofuata tulikwenda kuandikisha maelezo yetu na hatimaye Raisa alifikishwa mahakamani kwa kosa la kuua. Wakati Raisa anafikishwa mahakamani, mimi na Sufiani tulikuwa tumeshaachana kutokana na tukio hilo. Hatukuwa tukiaminiana tena.Hapo ndipo nilipoamua…

Read More

Nchi sita zazikamia Sh35 m Tanzania Open

ZAIDI ya nyota 150 wa gofu kutoka mataifa sita ya kiafrika wanatarajia kushiriki michuano ya wazi ya Tanzania Open 2025, kuwania Sh35 milioni. Nyota hao wanatoka nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Zambia, Malawi na Zimbabwe ambao wamethibitisha ushiriki wao zikiwa zimesalia siku saba kabla ya michuano hiyo itakayoanza Oktoba 2, kwenye viwanja vya Arusha Kili…

Read More

Ahoua aendelea kuitesa Fountain, Sowah kama kawa

KINARA wa upachikaji mabao msimu uliopita, Jean Charles Ahoua ameendelea alipoishia kwa kuitesa Fountain Gate baada ya kufunga na kuasisti Simba ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika Ligi Kuu Bara. Msimu uliopita Ahoua dhidi ya Fountain Gate kwenye Uwanja wa KMC, Simba ikiibuka na ushindi wa 4-0 alifunga bao moja na kutoa pasi mbili…

Read More

Historia inawabeba, Simba katika hili itavuka

KESHOKUTWA Jumapili, Simba itacheza mchezo wa marudiano wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Katika mchezo huo, Simba itakuwa chini ya kocha mkuu wa mpito, Hemed Morocco ambaye ameazimwa kutoka Taifa Stars ili ainoe Simba kutokana na changamoto ambayo imeikuta hivi…

Read More

Mabaharia wa Zenji waliamsha Afrika

MABAHARIA wa Zanzibar, KMKM inakuwa klabu ya kwanza ya Tanzania kutupa karata katika mechi za marudiano ya michuano ya CAF wakati jioni ya leo itakapoikabili AS Port ya Djibouti kwenye Uwanja wa New Amaan, visiwani Zanzibar. KMKM ilianza vyema michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kushinda mabao 2-1 ikiwa wageni wa AS Port licha…

Read More