Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 25
Michezo

Wachezaji Tanzania Prisons wakuna vichwa

June 25, 2025 Admin

WACHEZAJI wa Tanzania Prisons, wamesema baada ya kucheza mechi 30 za Ligi Kuu Bara msimu huu, kwao haijaisha hadi iishe michezo ya mtoano ‘playoff’ ambayo

Read More
Michezo

Ile Dabi ya Kariakoo ndo leo!

June 25, 2025 Admin

BAADA ya danadana nyingi za mchezo wa Dabi ya Kariakoo, hatimaye ile siku ndio leo Jumatano na Dimba la Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam,

Read More
Michezo

Simba inavyousaka ufalme 2024/25 | Mwanaspoti

June 25, 2025 Admin

KATIKA historia ya soka la Tanzania, Simba ni miongoni mwa klabu zenye mafanikio makubwa na mvuto wa mashabiki, huku ikiwa na upinzani wa jadi na

Read More
Michezo

Kinachoibeba Yanga Kariakoo Dabi | Mwanaspoti

June 25, 2025 Admin

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga haipo mbali kufukuzia taji hilo kwa mara ya nne mfululizo ambapo licha ya changamoto mbalimbali ilizopitia, kikosi hicho

Read More
Burudani Michezo

WATANZANIA MATABAKA YOTE WATAKIWA KUUNGANA KUWA WAHIFADHI ILI KUTUNZA MAZINGIRA

June 24, 2025 Admin

Watanzania maarufu na wasio maarufu waliungana jijini Dar es Salaam Jumanne kusisitiza faida muhimu za mazingira na umuhimu wa juhudi za pamoja za uhifadhi. Tukio

Read More
Michezo

Makomandoo Yanga, Simba  mita mia kwa Mkapa 

June 24, 2025 Admin

Jeshi la Polisi limeimarisha ulinzi katika Uwanja wa  Benjamin Mkapa, huku makomandoo wa klabu za Yanga na Simba na  wakilazimika kukaa umbali wa mita mia

Read More
Michezo

Wanaowania uongozi TFF waanikwa, sita wautaka urais

June 24, 2025 Admin

KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetoa orodha ya awali ya waliochukua na kurudisha fomu kuomba uongozi katika Shirikisho hilo kwa ajili

Read More
Michezo

Tuwaombee… Dabi imeshika hatma zao

June 24, 2025 Admin

JUNI 25 kinapigwa Uwanja wa Mkapa kati ya Yanga dhidi ya Simba mchezo ambao ulipiga kalenda, lakini sasa hakuna kipengele tena ni lazima kiwake. Mchezo

Read More
Michezo

Maureen Sizya apika watu Sauzi

June 24, 2025 Admin

MTANZANIA Maureen Sizya ni mmoja wa makocha wa kikapu katika jopo la mradi ya BAL4HER nchini Afrika Kusini, alikoungana na wakufunzi mahiri kutoka Amerika, Afrika

Read More
Michezo

Yanga yashusha kiungo, yamficha kambini

June 24, 2025 Admin

YANGA wakati inapiga hesabu za kukutana na Simba, imeendelea na akili ya kukiboresha kikosi na kule kambini kuna mido wa kazi amefichwa akijifua taratibu. Kiungo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 24 25 26 … 644 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.