TIMU ya JKU Princess, imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (WPL) baada ya kuichapa Dunga Queens mabao 9-0. Mchezo huo uliopigwa Juni 24,
Category: Michezo

Kuna mambo yanachusha, kukera, kutisha, kukatisha tamaa, na kusikitisha ingawa mafyatu hawatishiki japo watishwa. Tuweke sawa. Leo, nitafyatua baadhi ya mambo tufanyayo au kufanyiwa mafyatu.

KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema kwa upande wake msimu wa 2024-25 kwa asilimia kubwa ameyaona mabadiliko kwa wachezaji wazawa kitabia na mtazamo, jambo

WACHEZAJI wa Tanzania Prisons, wamesema baada ya kucheza mechi 30 za Ligi Kuu Bara msimu huu, kwao haijaisha hadi iishe michezo ya mtoano ‘playoff’ ambayo

BAADA ya danadana nyingi za mchezo wa Dabi ya Kariakoo, hatimaye ile siku ndio leo Jumatano na Dimba la Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam,

KATIKA historia ya soka la Tanzania, Simba ni miongoni mwa klabu zenye mafanikio makubwa na mvuto wa mashabiki, huku ikiwa na upinzani wa jadi na

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga haipo mbali kufukuzia taji hilo kwa mara ya nne mfululizo ambapo licha ya changamoto mbalimbali ilizopitia, kikosi hicho

Watanzania maarufu na wasio maarufu waliungana jijini Dar es Salaam Jumanne kusisitiza faida muhimu za mazingira na umuhimu wa juhudi za pamoja za uhifadhi. Tukio

Jeshi la Polisi limeimarisha ulinzi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, huku makomandoo wa klabu za Yanga na Simba na wakilazimika kukaa umbali wa mita mia

KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetoa orodha ya awali ya waliochukua na kurudisha fomu kuomba uongozi katika Shirikisho hilo kwa ajili