Mgombea Bodi ya Ligi aachia ngazi TFF kwa lazima

MGOMBEA wa nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi (TPLB), Hosea Lugano amejiuzulu nafasi zote alizokuwa anazishikilia TFF. Hosea amefanya uamuzi huo muda mchache baada ya Kamati ya Uchaguzi ya TFF, kumuandikia barua ya kujiuzulu nafasi zake zote alizonazo ili kuepusha mgongano wa maslahi. “Leo nimepokea barua kutoka Kamati ya TFF ambayo jana walikaa kikao…

Read More

Azam vaibu kama lote ikijiandaa kuivaa Wydad

KIKOSI cha Azam FC tayari kimeshaanza mazoezi ya kujifua na mechi ya kesho dhidi ya Wydad, huku mastaa wakionekana kuwa na morali ya kutosha. Mastaa hao waliopokelewa kwa vaibu na shangwe na mashabiki waliojitokeza nje ya Uwanja wa New Amaan Complex kabla ya kuanza mazoezi na hali ikiwa hiyo hiyo. Kwa kuwatazama tu usoni, utaona…

Read More

Mzize: Kundi gumu lakini subirini muone

LICHA ya kutokuwa sehemu ya kikosi kilichosafiri kwenda Algeria kwa mechi ya pili ya makundi dhidi ya JS Kabylie, mshambuliaji Clement Mzize amewasifu wenzake kwa kuanza vizuri nyumbani na kuwatumia salamu na  kuwataka wafanye vyema ugenini ili waende robo fainali. Mzize amesema watakapofanya vyema katika mechi hiyo ya leo watakuwa na kila sababu ya kuisaka…

Read More

Kocha JS kabylie akuna kichwa, Pedro ashtukia mchongo

PRESHA inapanda na kushuka kwa Kocha wa JS Kabylie, Mjerumani Josef Zinnbauer, huku kichwa kikimpasuka pamoja na benchi lake la ufundi ikiwa zimesalia siku chache kabla ya mechi ya  pili ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga. Zinnbauer anaingia wiki  nyingine ngumu, baada ya kikosi hicho kuanza vibaya hatua hiyo…

Read More

Ibenge akataa unyonge kwa Wydad, ataja mambo mawili

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema wakati wanakutana na Wydad Athletic kesho Ijuma Novemba 28, 2025, matokeo pekee wanayoyataka ni kushinda au sare, lakini sio kupoteza. Kauli hiyo inaonyesha namna ambavyo Ibenge hataki kuingia kinyonge kukabiliana na Wamorocco hao walioanza hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu kwa ushindi wa mabao…

Read More

Sheria inavyovibana vicoba, vikundi vya kusaidiana

Vilio, kupoteza fedha, usiri uliokithiri ni miongoni mwa mambo yaliyokuwa na bado yanaendelea kuvikabili baadhi ya vikundi vya huduma ndogo za kifedha ikiwamo vile vya kuweka akiba na mikopo (Vicoba). Vikundi hivi mbali na kuwa msaada wa kuinua watu wengi kiuchumi lakini wakati mwingine viligeuka shubiri baada ya walioaminiwa kukimbia na fedha au kuzitumia wakiwa…

Read More