Mikakati ya Yanga kuwavaa Waarabu Algeria, Azam ikimtega Aziz KI
WIKIENDI imeanza mapema. Ndio, ule uhondo wa mechi za kimataifa barani Afrika hatua ya makundi unaendelea leo Ijumaa kwa wawakilishi wawili wa Tanzania, Yanga na Azam FC kutupa karata ya pili katika Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho na kwa hakika moto utawaka! Yanga iliyopo Kundi B katika Ligi ya Mabingwa itakuwa na kibarua…