Simba yalia na mashabiki, yafafanua adhabu ya CAF
Wakati ikijiandaa kucheza bila mashabiki katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, Jumapili, Septemba, 29, 2025 na faini ya Dola 50,000 (Sh123 milioni), Simba imekutana na adhabu mpya kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF). Adhabu hiyo mpya ni ya faini ya Dola 30,000 (Sh74 milioni) kutokana na…