Ahoua aendelea kuitesa Fountain, Sowah, De Reuk waanza kwa kutupia
KINARA wa upachikaji mabao msimu uliopita ndani ya Ligi Kuu Bara, Charles Ahoua ameendelea alipoishia msimu uliopita akiitesa Fountein Gate baada ya kufunga na kuasisti Simba ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0. Ahoua msimu uliopita dhidi ya Fountain Gate kwenye Uwanja wa KMC Complex Simba ikiibuka na ushindi wa mabao 4-0, alifunga bao moja na…