Uhamiaji yafungua Ligi Kuu Zanzibar kwa rekodi mbili

LIGI Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026 imeanza leo kwa kufanyika mchezo mmoja huku ikishuhudiwa Uhamiaji ikiweka rekodi mbili. Mechi hiyo iliyofanyika kwenye Uwanja wa Mao A uliopo Unguja, Uhamiaji imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi. Rekodi ya kwanza Uhamiaji imeiweka kupitia mchezaji wake, Mohamed Mussa kufunga bao la kwanza la msimu akifanya…

Read More

Mtibwa Sugar yapeleka mechi zake Jamhuri Dodoma

Kufuatia Uwanja wa Manungu Complex uliopo Morogoro kutokukidhi vigezo vinavyotakiwa ili utumike kwenye michezo ya Ligi Kuu Bara, Mtibwa Sugar imeuchagua Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kwa mechi za nyumbani za Ligi Kuu Bara. Mtibwa Sugar iliyorejea Ligi Kuu Bara msimu huu, imeanza kwa kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Mashujaa ikiwa ugenini. …

Read More

Folz avunja ukimya Yanga, awajibu mashabiki

YANGA imeanza kwa kishindo Ligi Kuu kwa kushinda mabao 3-0 dhidi ya Pamba Jiji na kuwafanya mashabiki kuifurahia ushindi huo mnono licha ya kutofurahishwa na jinsi timu ilivyocheza, lakini Kocha Romain Folz amewashusha presha, huku akijifungia na mastaa na kuwawashia moto. Watetezi hao wa Ligi Kuu na Kombe la FA, ilipata ushindi huo…

Read More

Sowah aachiwa msala kwa Fountain Gate

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Jonathan Sowah, leo ndiye aliyepewa jukumu la kuongoza mshambulizi ya timu hiyo katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara msimu huu dhidi ya Fountain Gate inayochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar. Hii ni mechi ya kwanza ya kimashindano kwa Sowah kubebeshwa jukumu hilo, awali alikosa mechi ya Ngao ya…

Read More

Mambo yamnyookea Simbu jeshini, sasa ni Sajinitaji

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda amempandisha cheo, Sajini Alphonse Simbu kuwa Sajinitaji (Staff Sergeant) baada ya kutwaa medali ya dhahabu katika mashindano ya dunia ya mbio za marathon ya kilomita 42 yaliyofanyika Tokyo, Japan. Simbu amepandishwa cheo leo, Alhamisi Septemba 25, 2025 katika Makao Makuu ya Jeshi Upanga, jijini Dar es…

Read More

Diarra kweli nimeamini avumae baharini papa

SASA hivi Yanga wanatamba kumchapa mtani wao Simba katika mechi sita mfululizo za mashindano tofauti ambayo ni Ligi Kuu Tanzania Bara na Ngao ya Jamii. Ni haki yao kutamba kiukweli maana hizi ndio timu mbili kubwa na utani wao wa jadi ni wa muda mrefu hivyo unavyompata mwenzako unapaswa utembee kifua mbele haswa maana siku…

Read More

Huwel anusa ubingwa mbio za magari 2025

DEREVA kutoka Iringa, Ahmed Huwel amejiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa wa taifa wa mbio za magari kwa mwaka huu kutokana na ushindi wake wa zile za Mkwawa zilizomalizika mkoani Morogoro mwishoni mwa juma. Huwel, ambaye alimaliza wa tatu nyuma ya mabingwa wa Afrika; Karan Patel na Samman Vohra, alikuwa ndiye bingwa wa mashindano…

Read More

Nsajigwa asaka rekodi Transit Camp

KOCHA wa Transit Camp, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’, amesema miongoni mwa malengo yake makubwa na timu hiyo ni kuhakikisha anaipandisha Ligi Kuu Bara, licha ya ushindani mkubwa na makocha wenzake wazoefu katika timu mbalimbali za Championship. Nyota huyo wa zamani wa Yanga na timu ya taifa ya Taifa Stars, amejiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi ya…

Read More

Fei Toto amaliza ukame wa siku 297

KIUNGO mshambuliaji wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’, amehitimisha rasmi siku 297 za ukame wa mabao ya Ligi Kuu, baada ya nyota huyo kufunga bao moja katika ushindi wa kikosi hicho wa 2-0, dhidi ya Mbeya City kwenye Uwaja wa Azam Complex. Katika mechi hiyo, Feisal alifunga bao ambalo ni la pili kwa Azam dakika…

Read More