Simba yaifuata Stade Malien na matumaini kibao
SIMBA inatarajiwa kuondoka alfajiri ya kesho Alhamisi Novemba 27, 2025 kwenda Bamako nchini Mali kuwahi pambano la pili la Kundi D la Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien, huku mastaa wa timu hiyo wakiwa na matumaini makubwa ya kufanya vizuri baada ya awali kuanza na kichapo nyumbani mbele ya Petro Atletico. Simba inaondoka…