Mahakama yaridhia Hassano alipwe Sh36 milioni

MAHAKAMA KUU imebariki hukumu inayolitaka Shirika la Ndege la Turkish Airlines, kumlipa Hassan Othman Hassan ‘Hassano’, aliyewahi kuwa kiongozi wa klabu ya soka ya Simba, fidia ya Sh36 milioni kutokana na mzigo wake kupotea aliposafiri na ndege ya shirika hilo. Mizigo hiyo ni begi la nguo na vitu vingine, vilevile ndoo iliyokuwa na lita 10 za…

Read More

Mahakama yaridhia Hassano alipwe Sh 36 Milioni

MAHAKAMA KUU imebariki hukumu inayolitaka Shirika la Ndege la Turkish Airlines, kumlipa Hassan Othman Hassan ‘Hassano’, aliyewahi kuwa kiongozi wa klabu ya soka ya Simba, fidia ya Sh36 milioni kutokana na mzigo wake kupotea aliposafiri na ndege ya shirika hilo. Mizigo hiyo ni begi la nguo na vitu vingine, vilevile ndoo iliyokuwa na lita 10 za…

Read More

Kocha AS Port aichimba mkwara KMKM

KOCHA wa AS Port ya Djibouti, Seninga Innocent ameichimba mkwara KMKM ambayo watakutana nayo kati ya Septemba 19 hadi 21, mwaka huu kwenye mechi ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika mjini Unguja. Seninga ambaye hivi karibuni aliondoka Etincelles ya Rwanda amesema timu yake ipo katika maandalizi ya mechi hiyo, huku akiamini ushindi utaongeza matumaini…

Read More

Yanga, Simba zagawana viwanja Dar

MUDA mfupi baada ya Bodi ya Ligi kutangaza ratiba ya Ligi Kuu Bara, imethibitisha kuwa Yanga imebadili uwanja wa nyumbani na sasa itatumia ule wa Mkapa, huku Simba ikibaki KMC Complex, Mwenge vyote jijini Dar es Salaam. Msimu ulioisha Simba na Yanga zote zilikuwa zinatumia Uwanja wa KMC kama uwanja wa nyumbani,lakini sasa Mnyama ndio…

Read More

Bado Watatu – 12

Baada ya muda kidogo nikaona mlango unafunguliwa. Aliingia msichana mweupe. Alikuwa amevaa baibui jeusi. Kichwa chake alikuwa amekifunika kwa hijabu. Aliponiona aligutuka, akafunga mlango na kuja kukaa kwenye sofa jingine.

Read More

Kocha Azam FC aishtukia Yanga

KOCHA wa zamani wa Azam FC, Bruno Ferry ameula huko Angola baada ya kupewa mkataba wa miaka miwili kuinoa Wiliete Benguela itakayovaana na Yanga katika mechi za raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akisema anajua kibarua alichonacho mbele ya wababe hao wa Bara. Bruno, ambaye pia ni kocha wa makipa aliwahi kuinoa…

Read More

Kipimo cha usajili kipo robo fainali

WAKATI timu zikipambana kutafuta nafasi ya kucheza hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), hali inaonyesha timu itakayotoboa ni ile iliyofanya usajili wa wachezaji wenye viwango vikubwa. Hiyo imetokana na ushindani mkubwa uliokuwepo kwa timu tano, zinazo tafuta nafasi za kucheza robo fainali ambapo Dar City, Jeshi Stars…

Read More

CAF yailainishia KMKM kombe la shirikisho

UNAWEZA kusema KMKM imelegezewa kamba katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika 2025-2026 baada ya wapinzani watakaokutana nao katika raundi ya kwanza, AS Port ya Djibouti kuchukua uamuzi wa mechi zote kupigwa visiwani Zanzibar. Meneja wa KMKM, Khamis Haji Khamis amesema wamepewa taarifa kwamba AS Port imepeleka barua Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuomba mechi…

Read More

Dabi ya pili Kariakoo kabla ya Krismasi

WAKATI ukiendelea kutafakari ratiba ya mchezo wa ufunguzi wa ligi Ngao ya Jamii kati ya watani wa jadi Simba na Yanga, Dabi ya Kariakoo iliyopigwa kuchezwa Septemba 16 timu hizo mbili zitakutana tena Desemba 13, mwaka huu kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara. Mchezo huo utakuwa wa duru ya kwanza kwa wawili hao ambapo Yanga…

Read More

Sababu Fei Toto kumficha mpenzi

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ni msiri mkubwa katika sekta ya mahusiano na mwenyewe amefunguka sababu ya kufanya hivyo. Fei Toto alisema ameamua kufanya hivyo ili yasiingiliane na kazi yake ya kucheza mpira. “Kiukweli ni mpenzi yupo, lakini huwa sipendi kuweka uhusiano wangu hadharani, kazi  yangu haihusiani kabisa na ishu zangu…

Read More