Kipigo chaizindua Pamba Jiji | Mwanaspoti

PAMBA Jiji jana usiku iliendeleza uteja wake mbele ya Yanga kwa kutandikwa mabao 3-0 na kuifanya timu hiyo katika mechi tatu za Ligi Kuu dhidi ya wapinzani wao kufungwa jumla ya mabao 10, kitu kilichomuamsha kocha wa timu hiyo kwa ajili ya mechi zijazo za ligi hiyo. Mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu ya…

Read More

Lina Tour msimu wa nne waanza kurindima leo Morogoro

WACHEZAJI takribani 137 wamejitosa kushiriki mashindano ya Lina PG Tour msimu wa nne yaliyoanza leo kwenye viwanja vya Gofu vya Gymkhana mkoani Morogoro. Mashindano hayo ambayo kwa mara ya kwanza yalifanyika 2024 yanaendelea tena mwaka huu yakiwa na lengo la kumuenzi mchezaji gofu wa zamani timu ya taifa ya wanawake marehemu Lina Nkya aliyekuwa na…

Read More

Mnigeria aongeza mzuka Mtibwa Sugar

BEKI wa kati wa Singida Black Stars, Mnigeria Victor Chukwuemeka Collins amejiunga na Mtibwa Sugar kwa mkopo wa mwaka mmoja, huku kocha wa kikosi hicho, Awadh Juma ‘Maniche’, akieleza ataongeza ushindani na nyota wengine waliopo kikosini. Collins aliyezaliwa Novemba 2, 2024, katika mji mkuu wa jimbo la Enugu, Nigeria, amejiunga na Singida dirisha kubwa la…

Read More

Stand United yaja na tamasha kusaka mdhamini

Tamasha la Siku ya Wana linatarajiwa kufanyika 0ktoba 04, 2025 likiambatana na michezo mbalimbali, ikiwemo mechi nne za mwanzo huku Stand United ikikabiliana na timu ya Ligi Kuu Bara itakayotajwa hapo baadaye. Akizungumza na vyombo vya habari leo Septemba 25, 2025, mwenyekiti wa tamasha hilo, Chrispin Kakwaya, amesema: “Timu ya Stand United inaadhimisha Tamasha la…

Read More

Makambo ampa mzuka Fabrice Ngoy

NYOTA wa Namungo, Fabrice Ngoy amesema kucheza timu moja na mshambuliaji mwenzake raia wa DR Congo, Heritier Makambo kunampa motisha kuhakikisha anaendelea kupambana katika kikosi cha kwanza, kila anapopata nafasi uwanjani. Kauli ya Ngoy inajiri baada ya kuongezewa washambuliaji wengine akiwemo Makambo aliyewahi kuichezea Yanga na msimu uliopita alicheza Tabora United (kwa sasa TRA United)…

Read More

Bado Watatu – 39 | Mwanaspoti

AMOUR akamuuliza: “Alikwambia ni jambo gani alilolifanya?”Binti akajibu: “Aliniambia, lakini aliniambia iwe siri yangu.”“Sasa ndio ninataka uitoe hiyo siri utuambie.”“Aliniambia kuwa alipokwenda nyumbani kwa Sufiani alimvizia pale ukumbini kwao, akijua atatoka kwenda chooni kwa sababu alikuwa amelewa. Alipomuona anatoka chumbani saa tisa usiku akamnyatia kwa nyuma na kumpiga rungu la kichwa. Shefa akafa hapo hapo.“Sasa…

Read More

Mambo matatu yaizunguka mechi Simba v Fountain Gate

KUNA mambo matatu yatatazamwa katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayochezwa leo Alhamisi kati ya Simba na Fountain Gate kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Kwanza, Fountain Gate inaingia katika mechi hiyo ikiwa na wachezaji 10 tu, kati ya hao makipa ni wawili, hivyo inaweza kutokea yaliyotokea misimu miwili iliyopita wakati Azam ikiikabili…

Read More

Wawili Yanga waomba kumrithi Fadlu Simba

MIONGONI mwa makocha wanaotajwa kutuma maombi ya kazi pale Simba SC kurithi mikoba ya Fadlu Davids aliyetimkia Raja Casablanca ya Morocco siku chache zilizopita, ni pamoja na Patrick Aussems na Didier Gomes Da Rosa ambao waliwahi kukalia kiti hicho, sambamba na waliowahi kuifundisha Yanga, Luc Eymael na Miguel Gamondi.. Kwa sasa viongozi wa Simba wapo…

Read More

Kocha Yanga afichua siri nzito, atoa tahadhari

MTAALAMU wa tiba ya mwili kwa njia ya mazoezi (physiotherapist) wa Yanga, Youssef Ammar amesema timu hiyo kwa sasa ina utofauti mkubwa wa ubora na utimamu wa wachezaji na timu nyingine na anaiona ikifanya vizuri msimu huu huku akimtaja Djigui Diarra. Ammar alijiunga na Yanga Agosti 2021 chini ya Nasreddine Nabi pia amefanya kazi na…

Read More