Kipigo chaizindua Pamba Jiji | Mwanaspoti
PAMBA Jiji jana usiku iliendeleza uteja wake mbele ya Yanga kwa kutandikwa mabao 3-0 na kuifanya timu hiyo katika mechi tatu za Ligi Kuu dhidi ya wapinzani wao kufungwa jumla ya mabao 10, kitu kilichomuamsha kocha wa timu hiyo kwa ajili ya mechi zijazo za ligi hiyo. Mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu ya…