Mkude anahesabu siku tu Singida BS

BAADA ya kukaa nje ya uwanja karibu nusu msimu, kiungo wa zamani wa Simba na Yanga, Jonas Mkude anahesabu siku tu kwa sasa kwani anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi cha Singida Black Stars akiungana na Khalid Aucho waliyekipiga msimu uliopita wakiwa Jangwani. Ipo hivi. Mkude aliyependekezwa na kocha Miguel Gamond tangu mwanzoni  mwa msimu huu,…

Read More

Ratiba Ligi Bara yapanguliwa tena

IWAPO ulikuwa unadhani panga pangua ya ratiba ya Ligi Kuu Bara imemalizika baada ya wiki iliyopitwa kutangazwa mpya, basi pole yako, kwani Bodi ya Ligi (TPLB) imetangaza mabadiliko mengine kwa kuondoa mechi za Simba na Yanga. Simba na Yanga zinazotarajiwa kuendelea na mechi za makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika zikiwa ugenini, zilipangwa kurejea katika…

Read More

Paul Peter ataka rekodi mpya Bara

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Paul Peter amesema anataka kuvunja rekodi binafsi alizonazo Ligi Kuu Bara kila nafasi atakayopewa. Nyota huyo anayeongoza orodha ya wafungaji (kabla ya mechi za jana) sambamba na Saleh Karabaka anayecheza naye JKT na Peter Lwasa wa Pamba Jiji kila mmoja akifunga matatu, msimu uliopita akiwa Dodoma Jiji aliyoitumikia kwa miaka mitatu…

Read More

JKT Queens yaanza upyaa hesabu WPL

WATETEZI wa Ligi Kuu Bara Wanawake (WPL), JKT Queens wanaingia kambini kesho Alhamisi kuanza kazi ya kutetea taji kwa kuvaana na Bunda Queens. WPL ilisimama kwa wiki mbili kupisha kalenda ya Fifa kwa mashindano ya Kombe la Dunia la Futsal yanayoendelea Ufilipino ambapo Tanzania inawania kombe hilo. JKT ilishindwa kuanza mechi za WPL kwa vile…

Read More

Sababu mechi za Wagosi kuondolewa usiku Tanga

KAMA ni shabiki wa Coastal Union (Wagosi wa Kaya) na ulikuwa na mipango ya kutaka kushuhudia mechi za usiku kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga wakati wababe hao wa zamani wa Ligi ya Bara wakicheza, taarifa ikufikie kwamba zinapigwa mchana kweupe. Coastal iliamua mechi zote za nyumbani kupigwa usiku kutokana na uwanja huo kufungwa taa kama…

Read More

Ushabiki wa vifo Okt 29 unafunika ubinadamu

Watanzania walipoteza maisha katika vurugu za Oktoba 29, 2025, na baada yake. Hilo halibishaniwi. Kuhusu idadi, bado kuna shida. Maamlaka bado hazijatoa ripoti kamili. Pengine Tume ya Uchunguzi (Enquiry Commission), iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan itamaliza utata. Watanzania walipoteza mali zao. Wapo walioibiwa na kuvunjiwa vituo vyao vya kibiashara, kuna waliochomewa moto. Hili halibishaniwi….

Read More

Pantev apewa sharti zito Simba

BAADA ya Simba kupoteza mechi ya kwanza hatua ya makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, unaambiwa ndani ya klabu hiyo moto umewaka, huku mabosi wa wekundu hao wakimpa sharti gumu kocha Dimitar Pantev wakitaka ashinde mechi ijayo, la sivyo kibarua kinaota nyasi. Simba ambayo inatumia Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo jijini Dar kwa…

Read More

DRFA: Yanga freshi, zingine zisikate tamaa

Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam, Lameck Nyambaya, ameipongeza Yanga kwa kuanza vyema hatua ya makundi michuano ya kimataifa, huku akizitaka Simba, Azam na Singida Black Stars kuongeza juhudi na kubadili matokeo baada ya kupoteza mechi zao za kwanza.  Simba ilikubali kipigo cha bao 1–0 dhidi ya Petro Atletico…

Read More