Madagascar, Sudan mmetupa somo CHAN

KIJIWE kilipoa sana baada ya Taifa Stars kutolewa na Morocco katika robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024 ambayo kesho Jumamosi yatafikia tamati. Hatuwezi kuchangamka na huku timu ambayo inasimama kama alama ya kutuunganisha Watanzania na mwenyeji, kuaga katika ardhi ya nyumbani. CHAN imetufunza mengi na miongoni mwa masomo tumeyapata kwa timu mbili za Madagascar…

Read More

Pamba Jiji kutesti tatu Kenya

BAADA ya kuwa na kambi ya wiki mbili mkoani Morogoro, Pamba Jiji Jumatatu ijayo inatarajia kwenda Kenya kupiga kambi ya muda mfupi sambamba na kucheza mechi tatu za kirafiki kabla ya kurudi Tanzania tayari kwa ushindani wa Ligi Kuu Bara. Pamba Jiji ambayo imetoka kuifunga Fountain Gate mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki na leo…

Read More

Omary achekelea kurudi nyumbani | Mwanaspoti

BAADA ya kuanza kuitumikia Mashujaa kwa mkopo akitokea Simba, kiungo Omary Omary amefurahia kurudi nyumbani na kukutana na ushindani mkubwa akiamini kwamba amefanya uamuzi sahihi kurejea katika timu hiyo aliyoichezea kabla ya kutua Msimbazi msimu uliopita. Omary amefunguka hayo siku moja baada ya timu yake kuambulia suluhu dhidi ya Al Hilal katika mechi ya kirafiki…

Read More

CHAN 2024: Sudan, Senegal ushindi lazima

WABABE wawili kutoka kundi moja D, Senegal na Sudan wanakutana tena leo Ijumaa kwenye Uwanja wa Mandela, jijini Kampala, Uganda kutafuta mshindi wa tatu katika mashindano ya ubingwa wa mataifa ya Afrika (CHAN) 2024. Timu hizi zilikutana Agosti 19 katika mechi ya mwisho ya makundi visiwani Zanzibar, ambapo hakupatikana mbabe, lakini leo ni lazima mshindi…

Read More

Mzize awakosha Wafaransa Yanga | Mwanaspoti

TAARIFA njema kwa mashabiki wa Yanga kuanzia juzi ni uhakika wa mshambuliaji wa timu hiyo, Clement Mzize kusalia ndani ya kikosi hicho, lakini makocha wawili wa Kifaransa wamefungukia hatua hiyo wakisema mambo mazito. Tuanze na yule Mfaransa Hamdi Miloud ambaye aliachana na timu hiyo msimu uliopita mara baada ya kuwaachia makombe matatu, ameliambia Mwanaspoti, Mzize…

Read More

Fadlu afichua siri ya kambi, ataja kitu kizito

SIMBA jana ilimtambulisha rasmi mshambuliaji mpya, Seleman Mwalimu ‘Gomes’ ambaye Mwanaspoti liliwataarifu mapema angetua Msimbazi kwa mkopo kutoka Wydad Casablanca ya Morocco, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids akiichambua kambi ya Misri. Simba iliweka kambi ya karibu mwezi mzima nchini humo, ikianzia jiji la Ismailia kabla ya kuhamia Cairo na iliifunga rasmi juzi…

Read More

Kocha Abdul Saleh amrithi Mngazija Uhamiaji FC

KIKOSI cha Uhamiaji FC kimemtambulisha Abdul Saleh Mohammed kuwa kocha mkuu wa timu hiyo akichukua nafasi ya Ali Bakar Mngazija. Mngazija ambaye ametimkia Coastal Union ya Tanga, aliitumikia Uhamiaji FC kwa msimu mmoja pekee wa 2024-2025 ambapo timu hito ilimaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Zanzibar. Mbali na kufanya maboresho ya benchi la…

Read More

Uzinduzi Simba Day waleta shangwe Mafinga

Mashabiki na wa wananchama wa Simba Tawi la Mafinga na maeneo mbalimbali nje ya Mkoa wa Iringa, wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uzinduzi wa Wiki ya Simba Day  unaotarajiwa kufanyika Agosti 30, 2025, wilayani Mufindi mkoani hapa, huku fursa ya kiuchumi ikitajwa kuwanufaisha. Kauli hiyo imetolewa leo Agosti 28, 2025 na Mwenyekiti wa Tawi…

Read More

Mao ajiandaa kuitema KMC | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa KMC, raia wa Somalia, Ibrahim Elias ‘Mao’, huenda akaachana na timu hiyo baada ya mazungumzo ya kusaini mkataba mpya kuingia dosari, huku ikielezwa makubaliano imeshindikana kufikiwa baina ya pande hizo zote mbili. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zinaeleza Mao hatokuwa sehemu ya timu hiyo kutokana na kutokubaliana kwa baadhi ya vifungu vya kuboreshewa…

Read More