Mkude anahesabu siku tu Singida BS
BAADA ya kukaa nje ya uwanja karibu nusu msimu, kiungo wa zamani wa Simba na Yanga, Jonas Mkude anahesabu siku tu kwa sasa kwani anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi cha Singida Black Stars akiungana na Khalid Aucho waliyekipiga msimu uliopita wakiwa Jangwani. Ipo hivi. Mkude aliyependekezwa na kocha Miguel Gamond tangu mwanzoni mwa msimu huu,…