Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 27
Michezo

Tuwaombee… Dabi imeshika hatma zao

June 24, 2025 Admin

JUNI 25 kinapigwa Uwanja wa Mkapa kati ya Yanga dhidi ya Simba mchezo ambao ulipiga kalenda, lakini sasa hakuna kipengele tena ni lazima kiwake. Mchezo

Read More
Michezo

Maureen Sizya apika watu Sauzi

June 24, 2025 Admin

MTANZANIA Maureen Sizya ni mmoja wa makocha wa kikapu katika jopo la mradi ya BAL4HER nchini Afrika Kusini, alikoungana na wakufunzi mahiri kutoka Amerika, Afrika

Read More
Michezo

Yanga yashusha kiungo, yamficha kambini

June 24, 2025 Admin

YANGA wakati inapiga hesabu za kukutana na Simba, imeendelea na akili ya kukiboresha kikosi na kule kambini kuna mido wa kazi amefichwa akijifua taratibu. Kiungo

Read More
Michezo

Kikoti yeye na Coastal Union

June 24, 2025 Admin

KIUNGO Lucas Kikoti ameweka wazi kuwa, licha ya mkataba wake kumalizika rasmi mwishoni mwa msimu huu, moyo wake bado uko Coastal Union na hiyo ndiyo

Read More
Michezo

Jeshi la Polisi latoa uhakika wa usalama Kariakoo Dabi

June 24, 2025 Admin

Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam limewahakikishia usalama wananchi katika mechi ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa kesho Jumatano Juni 25, 2025

Read More
Michezo

Jeshi la Polisi Latoa Onyo Kabla ya Mechi ya Watani wa Jadi – Video – Global Publishers

June 24, 2025 Admin

Last updated Jun 24, 2025 Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro Jeshi la Polisi

Read More
Michezo

Ntibonela Bukeng aongoza tena kutupia BDL

June 24, 2025 Admin

NYOTA wa kikapu wa Savio, Mkongomani Ntibonela Bukeng anaendelea kuongoza kwa ufungaji katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), akiwa keshatupia nyavuni

Read More
Michezo

Simba kutozwa faini kukacha kikao

June 24, 2025 Admin

KUELEKEA mchezo wa Dabi ya Kariakoo, Simba imeshindwa kutokea katika mkutano wa pili wa maandalizi ya mechi hiyo inayotarajiwa kuchezwa kesho kwenye Uwanja wa Mkapa,

Read More
Michezo

Mkongomani kumchomoa Diao Azam FC

June 24, 2025 Admin

UONGOZI wa Azam FC upo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa AC Rangers ya Congo, Enock Lihonzasia. Azam FC ikiwa na mpango

Read More
Michezo

Bwalya mambo safi Pamba Jiji

June 24, 2025 Admin

UONGOZI wa Pamba Jiji umefanikisha kuinasa saini ya aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba raia wa Zambia, Rally Bwalya, baada ya mwanzo mwa msimu huu dili

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 26 27 28 … 645 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.