JUNI 25 kinapigwa Uwanja wa Mkapa kati ya Yanga dhidi ya Simba mchezo ambao ulipiga kalenda, lakini sasa hakuna kipengele tena ni lazima kiwake. Mchezo
Category: Michezo

MTANZANIA Maureen Sizya ni mmoja wa makocha wa kikapu katika jopo la mradi ya BAL4HER nchini Afrika Kusini, alikoungana na wakufunzi mahiri kutoka Amerika, Afrika

YANGA wakati inapiga hesabu za kukutana na Simba, imeendelea na akili ya kukiboresha kikosi na kule kambini kuna mido wa kazi amefichwa akijifua taratibu. Kiungo

KIUNGO Lucas Kikoti ameweka wazi kuwa, licha ya mkataba wake kumalizika rasmi mwishoni mwa msimu huu, moyo wake bado uko Coastal Union na hiyo ndiyo

Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam limewahakikishia usalama wananchi katika mechi ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa kesho Jumatano Juni 25, 2025

Last updated Jun 24, 2025 Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro Jeshi la Polisi

NYOTA wa kikapu wa Savio, Mkongomani Ntibonela Bukeng anaendelea kuongoza kwa ufungaji katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), akiwa keshatupia nyavuni

KUELEKEA mchezo wa Dabi ya Kariakoo, Simba imeshindwa kutokea katika mkutano wa pili wa maandalizi ya mechi hiyo inayotarajiwa kuchezwa kesho kwenye Uwanja wa Mkapa,

UONGOZI wa Azam FC upo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa AC Rangers ya Congo, Enock Lihonzasia. Azam FC ikiwa na mpango

UONGOZI wa Pamba Jiji umefanikisha kuinasa saini ya aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba raia wa Zambia, Rally Bwalya, baada ya mwanzo mwa msimu huu dili